Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #81
Muda upo Mkuu, inategemea na mpangilio wa muda na majukumu ambayo mtu anayoWenzetu huo muda mnapataga wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda upo Mkuu, inategemea na mpangilio wa muda na majukumu ambayo mtu anayoWenzetu huo muda mnapataga wapi?
Tatizo gani? Yaani kubuni uwongo na kuuleta humu ndiyo kuonyesha tatizo la jina Jesus? Inakuwa neno kutoka lugha ya asili lisiwe na tatizo na tatizo lichukuliwe kwenye translation. Pili, value ya herufi e au E imetolewa kutoka lugha gani ili kuleta jumla ya namba 666 iliyoandikwa kwenye Biblia?Lengo la kutumia au kuweka jina la JESUS ni kuonyesha kwamba kuna tatzo katika jina hili, ni vyema kutumia majina ya asili kwenye maswala ya Kiimani.
Mfano mzuri ni waislamu, wao wanatumia majina halisi ya viongozi au waasisi wao, mfano Muhamad ni jina ambalo linatumika mataifa yote pasipo kuwa na tafsiri yoyote.
Pia sio vyema kutumia neno 'GOD' kwani nalo lina utata na ipo siku nitaleta uzi kuhusu jina hilo.
Sijatumia namba 666 ambayo ipo katika Biblia, kwanza hata sijui ni andiko gani linasema hiyo nambaTatizo gani? Yaani kubuni uwongo na kuuleta humu ndiyo kuonyesha tatizo la jina Jesus? Inakuwa neno kutoka lugha ya asili lisiwe na tatizo na tatizo lichukuliwe kwenye translation. Pili, value ya herufi e au E imetolewa kutoka lugha gani ili kuleta jumla ya namba 666 iliyoandikwa kwenye Biblia?
Kwa nini hukutumia asili ya neno la Kigiriki 'Ieosus' na badala yake umetumia lugha ya translation 'Jesus' ambacho ni Kilatini? Pia, hizo namba ulizotumia zinatokana na lugha gani?Sijatumia namba 666 ambayo ipo katika Biblia, kwanza hata sijui ni andiko gani linasema hiyo namba
Tatizo ambalo lipo ni sawa na tatizo ambalo linahusu watu kutengeneza picha ya Yesu vichwani mwao kwa kumfananisha na yule muigizaji katika sinema ya Yesu.
Katika numerology namba zote ni sawa na hazibagui Lugha, nimetumia jina la JESUS kwani ndilo ambalo lina tatizo na sio hayo majina mengineKwa nini hukutumia asili ya neno la Kigiriki 'Ieosus' na badala yake umetumia lugha ya translation 'Jesus' ambacho ni Kilatini? Pia, hizo namba ulizotumia zinatokana na lugha gani?
Hili jina la JESuS lina upungufu nini mbona jina lile lile YESU haileti hesabu hizoHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Hesabu haiwezi kuwa sawa kwa majina tofautiHili jina la JESuS lina upungufu nini mbona jina lile lile YESU haileti hesabu hizo
Katika numerology namba ambazo zinatumika kama ufunguo (The key to the Universe) ni 3,6 na 9.Nmekaa kutafakari eti unazidisha kwa tisa 9, hiyo 9 inapatikanaje na kwanini isiwe 8.
Sawa ningeshangaa yani hesabu ya jina lake ifanane na cheo cha papaHesabu haiwezi kuwa sawa kwa majina tofauti
Unaakili sana mkuu, niliwaza the sameKwa nini umechagua jina la Yesu la Kingereza? Au Kingereza ni lugha ya mbinguni kama Kiarab? Navyoona bado haujamaliza homework yako. Kafangie kazi na haya majina ya Yesu kwenye lugha nyingine:
1. Hebrew Jesus ni Yeshua (יֵשׁוּעַ)
2. Kiswahili Jesus ni Yesu
3. Kiarab (Islam) ni Jesus ni Isa (عيسى)
4. Kiarab (Christian) Jesus ni Yasu (يسوع)
5. Amharic Jesus ni Iyesus (እየሱስ።)
6. Aramaic/Syriac Jesus ni Ishi (ܝܫܘܥl)
Sasa hebu tupe numerology kwa hayo majina mengine.
Acha uhuni.Hata nisingeweka 666, lakini namba 9 ni kiungo muhimu katika mahesabu ya numerology
Wapi nimempinga kristo?Una kitu utafika mbali hasa Jehanam ya moto
Hiyo ni Roho ya mpinga Kirsto.
Tajiri aliyekalia kusoma ujinga ni nani hapa?umaskini ni mbaya sanaa
Kwani kosa la kupinga liko wapi? Wewe,kosa la kumuamini liko wapi? Ila,bora ya yeye asieamini kitu abacho hajakionaWapi nimempinga kristo?
Mada ni numerology, hayo mengine mimi siyajui.Kwani kosa la kupinga liko wapi? Wewe,kosa la kumuamini liko wapi? Ila,bora ya yeye asieamini kitu abacho hajakiona
Sio kazi yangu kuhesabu matajiriTajiri aliyekalia kusoma ujinga ni nani hapa?
Mimi sio muhuniAcha uhuni.