Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #41
Mkuu Kuna siri kubwa juu ya namba hiiHata vitabu kwenye biblia vilipunguzwa mpaka 66
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kuna siri kubwa juu ya namba hiiHata vitabu kwenye biblia vilipunguzwa mpaka 66
Hata nisingeweka 666, lakini namba 9 ni kiungo muhimu katika mahesabu ya numerologyHesabu imeanza kwa kulazimisha majibu, kwanini usingeanza na 333 au 999 au 100 kama mtaji wa hesabu zako, Why 666 ni nini uko kwenye numerology.
Haya mambo ya shekhe yahaya ambaye dini yake inatoa hii elimuHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Hebu panga numerology ya neno YESUHabari za wakati huu wataalam..
Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.
Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9
Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.
List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.
View attachment 3061449
Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.
Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Unauhakika numerology ni somo la huyo Shekhe?Haya mambo ya shekhe yahaya ambaye dini yake inatoa hii elimu
Sisi wakristu hatuna hizi mambo ambayo Yanachelesha kufikia maendeleo endelevu pia yaweza kukupeleka jehanum
Nitafanya hivyo, ila hata wewe unaweza kufanya kwa kufuata hiyo formulaHebu panga numerology ya neno YESU
Lini?Nitafanya hivyo,
Siku yoyoteLini?
Jifunze historia kijanaUnauhakika numerology ni somo la huyo Shekhe?
Hichi ni kitu ambacho kinatambulika dunia nzima, tangu enzi za zamani
Inakuwaje letter kwenye numerology ikawakilishwa na double digit. Mfano hiyo J kwanini iwe 10 na sio 1.Hiyo ni formula maalum Mkuu, unaweza kutafuta source mbadala na ukaona
Wapi nimesema yesu amefundisha hii elimu??Jifunze historia kijana
Yesu hakufundisha hii elimu
Pia ni kinyume na mapenzi ya Mungu
Letter A-Z zinapewa namba kulingana na nafasi zaoInakuwaje letter kwenye numerology ikawakilishwa na double digit. Mfano hiyo J kwanini iwe 10 na sio 1.
Kwenye Ulimwengu wao wa Giza, wanaruhusiwa kusoma nyota na kuziiba.Jifunze historia kijana
Yesu hakufundisha hii elimu
Pia ni kinyume na mapenzi ya Mungu
Hakika Umasikini sio mzuriumasikini ni laana wallah
Numerology inawakilishwa na single digit mkuu ambazo ni 1 -9.Letter A-Z zinapewa namba kulingana na nafasi zao
Kutumia namba 9 kuzidisha ni kwa lengo la kupata idadi halisi ya jina husika, hatakama herufi imepewa namba 10, lakini kuzidisha kwa 9 ndyo unarejesha katika mfumo wa numerology halisiNumerology inawakilishwa na single digit mkuu ambazo ni 1 -9.
J-1, E-5, S-3, U-6, S-3. =. 1+5+3+6+3 = 18 = 9
Jina JESUS ni 9 in mumerology.
Nadhani unaielewa sifa ya namba 9 kwenye numerology inawakilisha umungu.
HakikaYote Kheri