Katika numerology, jina la JESUS lina idadi sawa na namba '666'

Katika numerology, jina la JESUS lina idadi sawa na namba '666'

Mbona kama unalazimishia sana mzee baba...

Kwanza kipi kilichotangulia kati ya Yesu Kristo na Ufunuo wa Yohana ambao ndio ulipata kueleza habari zijazo za mnyama mwenye chapa 666?

Habari za wakati huu wataalam..

Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.

Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9

Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.

List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.

View attachment 3061449

Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.

Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mbona kama unalazimishia sana mzee baba...

Kwanza kipi kilichotangulia kati ya Yesu Kristo na Ufunuo wa Yohana ambao ndio ulipata kueleza habari zijazo za mnyama mwenye chapa 666?
Mada haijaja na jina la yesu bali JESUS, pia kuhusu habari za mnyama mwenye 666 mimi sizijui
 
Kutumia namba 9 kuzidisha ni kwa lengo la kupata idadi halisi ya jina husika, hatakama herufi imepewa namba 10, lakini kuzidisha kwa 9 ndyo unarejesha katika mfumo wa numerology halisi
Nipe source ya hii fomula nijifunze.
 
Habari za wakati huu wataalam..

Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.

Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9

Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.

List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.

View attachment 3061449

Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.

Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Andiķo linakosa logic
 
Mada haijaja na jina la yesu bali JESUS, pia kuhusu habari za mnyama mwenye 666 mimi sizijui

Okay, kumbe mada yako haijadili jina Jesus Christ aliyeandikwa kwenye Biblia...

Na unajadili vipi 666 pasipo kuhusianisha na chapa ya mnyama ambaye ametajwa kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana... (bila hicho kitabu hakuna habari za namba 666)

Basi ungesema kama mada inawahusu kina Jesus Navas, Gabriel Jesus...
 
Okay, kumbe mada yako haijadili jina Jesus Christ aliyeandikwa kwenye Biblia...

Basi ungesema kama mada inawahusu kina Jesus Navas, Gabriel Jesus...
Sahihi kabisa, mada inahusu jina la JESUS na yoyote anaye tumia au anayeitwa jina hilo anahusika
 
Mbona kama unalazimishia sana mzee baba...

Kwanza kipi kilichotangulia kati ya Yesu Kristo na Ufunuo wa Yohana ambao ndio ulipata kueleza habari zijazo za mnyama mwenye chapa 666?
Huyo anayeongelewa kwenye ufunuo wa Yohana ni Mpinga Kristo Yesu, Si Yesu original.

KAZI ya shetani ni kujiinua Ili afanane na Mungu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Mimi nimetumia JESUS sio yesu
It's the identical person.
Saying that it's not the same person is like saying that the Sea is not the same as the Mar. One is in English and the other is in Spanish.
 
Mamajusi wale wasoma nyota, waliiona nyota ya Yesu, wakajaribu kuijua wasiweze, wakaambulia kujua tu ni mfalme aliyezaliwa.

Hawakujua ni ufalme na mfalme yupi,

Kumbe ni Mungu mwenyewe amekuja duniani Kwa mwili wa mwanadamu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
It's the identical person.
Saying that it's not the same person is like saying that the Sea is not the same as the Mar. One is in English and the other is in Spanish.
I use the name Jesus for specific reason, to show people that there is some problem in the name and it's better to use the original one.
 
Mamajusi wale wasoma nyota, waliiona nyota ya Yesu, wakajaribu kuijua wasiweze, wakaambulia kujua tu ni mfalme aliyezaliwa.

Hawakujua ni ufalme na mfalme yupi,

Kumbe ni Mungu mwenyewe amekuja duniani Kwa mwili wa mwanadamu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Amen
 
Okay, kumbe mada yako haijadili jina Jesus Christ aliyeandikwa kwenye Biblia...

Na unajadili vipi 666 pasipo kuhusianisha na chapa ya mnyama ambaye ametajwa kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana... (bila hicho kitabu hakuna habari za namba 666)

Basi ungesema kama mada inawahusu kina Jesus Navas, Gabriel Jesus...
Mkuu, naomba unijuze zaidi kuhusu huyo mnyama kwenye Biblia, au ni andiko gani hilo na mimi niende nikajifunze
 
Acha uongo ni 9, Sasa iyo sita sita imetoka wapi na kwanini umezidisha na sita, lazima urahisihe upate single digit ambayo ni tisa
 
Acha uongo ni 9, Sasa iyo sita sita imetoka wapi na kwanini umezidisha na sita, lazima urahisihe upate single digit ambayo ni tisa
Tizama tena calculation na uelewe vizuri mlolongo mzima
 
Habari za wakati huu wataalam..

Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology.

Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18, 1+8= 9

Hivyo tunatumia namba 9 kuzidisha kwa kila namba za herufi ya jina husika.

List ya A-Z ipo kwa lengo la kupata namba ambazo hutambulisha herufi za jina husika katika kukokotoa.

View attachment 3061449

Hayo ni maajabu ya namba 9 katika numerology, lakni sidhani kama jawabu hili limekuja kwa bahati mbaya, nadhani ipo sababu.

Kwa wataalamu wa numerology,
hii ni Coincidence au ilipangwa iwe hivyo na waliotunga hilo jina?
Jesus ni jina la Kilatini linalotokana na jina la Kigiriki Iesous. Biblia haikuabdikwa kwa Kilatini, bali kwa Kiarameiki, Kiebrania na Kigiriki. Hizi ndizo lugha za asili na baadaye ikitafsiriwa katika lugha mbalimbali ikiwemo na ya Kilatini. Inawezekanaje numerology yako isitokane na lugha ya asili ambayo ilitumiwa katika uandishi wa Biblia ije itokane na tafsiri yake? Pili hesabu uliyofanya kutoka herufi za jina Jesus ni za Kilatini au za lugha gani? Neno 'moyo' kwa Kiswahili ni kifungo kinachosukuma damu (heart). Kwa Chichewa neno 'moyo' ni maisha (life). Je, ukitaka kumweleza mtu maana ya neno moyo kwa watu wanaotumia Kiswahili utatumia neno moyo kama kiungo kinachosukuma damu au tafsiri yake ambayo kwa Chichewa, kwa mfano, itakuwa na maana ya maisha (life)? 'Moyo' (kama heart) kwa Chichewa ni mtima.
 
Back
Top Bottom