Acha waendelee, acha kuamulia!!! au umeona FM anashindwa? au wewe mwenyewe ni FM kwa jina lingine?
Huyu FM kila siku anagombana na watu, hasikii haambiliki, nafurahi watu wengi wanavyoona anavyowaza anajua yeye. ana data yeye, msomi yeye, kila kitu yeye, yaani ni yeye tu humu ndani .Huwa nawaza ngekuwa INDIA angetaka kuabudiwa kama mtu
ebu waweke kwenye mizani kati ya FM na MKJJ, angalia mawazo yao! hili hata MKJJ amemlaumu sana FM ,. ila haelewi?
mara zote huwa yeye anashindwa kwa hoja, hii staili yake ya kuchambua kila setensi ina prove jinsi gani anavyoona anajua kila kitu! anaweza kujibu kila hoja? angalia uchambuzi wake yumechoka, hata mtoto wa form four hawezi akajibu kama huyu mkuu
you know what?? haelewi , haambiliki
mkuu ukibadili tabia yako.AKIONA ANASHINDWA ANAKIMBILIA KUSEMA "WEWE KUHANI"
HILI HALITAWASAIDIA KUBENEA KACHEMSHA, KAMA KUNA WATU WANAOGOPA KUWAAMBIA NI HAOHAO NA UNAFIKI WAO! WA KUTAKA WAPEWE THANKS NA FULANI, AU WANYENYEKEWE!
UKWELI NI KUWA THERE IS NO SIMPLE WORDS YA KUHALALISHA ALIYOYAFANYA KUBENEA, MTAKE MSITAKE
SIJAONA MTU AKIJIBU MASWALI YA WABEROYA, HOJA ZA MAMA, KUHANI N.K?
HIVI TATIZO NINI?
KINEPI-NEPI MKUU, MWACHE HUYU FM, ajue kuwa kuna watu duniani wenye mawazo kama yeye, ona sasa anasema yeye ni mtu wa matawi ya juu? anamtisha nani huyu, kwangu mimi naona ni kamtu fulani kalevilevi tu, hakana mbele wala nyuma! kamekosa kuheshimiwa huko kanataka heshima JF
anawapa kazi ma moderator, maana wanamuonea aibu... pengine, acha sisi tumnyoshe kidogo japo ameshakomaa, tutatumia nyundo na zana nyingine
Nilimuahidi na nina mtrack , kuwa popote atakapotukana matusi ninaye! naahidi kazi hiyo, naomba mniunge mkono, naoma tuendeleze hili libeneke for next 12 hours kwa hoja
nataka nikuonyeshe wewe ni mjinga huna lolote, huna data, una akili ndogo, huna hoja,una mawazo ya miaka ya 40 n.k
hapa sio home kwako, wala huna mtu wa kumfuatilia, hoja hujibiwa kwa hoja
ukitaka kuprove kuwa huwa hata hafikirii, angalia muda nitakaopost hii post na muda atakaochukua kuandika.
mama kula tano
MAMA MAMA, MAMA HUYOO , MAMA MAMAHUYOO, MAMA MAMAHUYOO!
mpaka sasa MAMA 7-FMES-0, mechi inaendelea
SAMAHANI SITAKI THANKS