Katika Picha: Maandamano ya wanahabari Leo

Katika Picha: Maandamano ya wanahabari Leo

Status
Not open for further replies.


lakini ninashukuru kwamba toka nikuombe uache kunitumia PM za kijinga sasa umeacha hilo ninashukru sana.

You see this Mama ?

This is what I was talking about. Now, a lotta people will actually believe that you are really reaching out to this character in private. Alinitungia hivi vitu na mimi. You thought I was crazy at some point dealing with this being.

Umenielewa sasa ? You see what I am talking about Mama?
 
Hizi lugha za walevi wa kangara huwa siziongei, maana I am too big for this.

that is what is called ARROGANCE. Brainstorm it and make self evaluation. Take or leave it, thats it.

KEEP YOU CAN'T EVEN PUT YOUR WORD. I WANNA SEE IF YOU ARE TOO BIG FOR THIS, HOW YOU WANNA STOP FROM THIS SMALL THING.
 
Mama na Fieldmashal cut it off. Stop that does not help shit.

Acha waendelee, acha kuamulia!!! au umeona FM anashindwa? au wewe mwenyewe ni FM kwa jina lingine?

Huyu FM kila siku anagombana na watu, hasikii haambiliki, nafurahi watu wengi wanavyoona anavyowaza anajua yeye. ana data yeye, msomi yeye, kila kitu yeye, yaani ni yeye tu humu ndani .Huwa nawaza ngekuwa INDIA angetaka kuabudiwa kama mtu

ebu waweke kwenye mizani kati ya FM na MKJJ, angalia mawazo yao! hili hata MKJJ amemlaumu sana FM ,. ila haelewi?

mara zote huwa yeye anashindwa kwa hoja, hii staili yake ya kuchambua kila setensi ina prove jinsi gani anavyoona anajua kila kitu! anaweza kujibu kila hoja? angalia uchambuzi wake yumechoka, hata mtoto wa form four hawezi akajibu kama huyu mkuu

you know what?? haelewi , haambiliki

mkuu ukibadili tabia yako.AKIONA ANASHINDWA ANAKIMBILIA KUSEMA "WEWE KUHANI"

HILI HALITAWASAIDIA KUBENEA KACHEMSHA, KAMA KUNA WATU WANAOGOPA KUWAAMBIA NI HAOHAO NA UNAFIKI WAO! WA KUTAKA WAPEWE THANKS NA FULANI, AU WANYENYEKEWE!

UKWELI NI KUWA THERE IS NO SIMPLE WORDS YA KUHALALISHA ALIYOYAFANYA KUBENEA, MTAKE MSITAKE


SIJAONA MTU AKIJIBU MASWALI YA WABEROYA, HOJA ZA MAMA, KUHANI N.K?

HIVI TATIZO NINI?

KINEPI-NEPI MKUU, MWACHE HUYU FM, ajue kuwa kuna watu duniani wenye mawazo kama yeye, ona sasa anasema yeye ni mtu wa matawi ya juu? anamtisha nani huyu, kwangu mimi naona ni kamtu fulani kalevilevi tu, hakana mbele wala nyuma! kamekosa kuheshimiwa huko kanataka heshima JF

anawapa kazi ma moderator, maana wanamuonea aibu... pengine, acha sisi tumnyoshe kidogo japo ameshakomaa, tutatumia nyundo na zana nyingine

Nilimuahidi na nina mtrack , kuwa popote atakapotukana matusi ninaye! naahidi kazi hiyo, naomba mniunge mkono, naoma tuendeleze hili libeneke for next 12 hours kwa hoja

nataka nikuonyeshe wewe ni mjinga huna lolote, huna data, una akili ndogo, huna hoja,una mawazo ya miaka ya 40 n.k

hapa sio home kwako, wala huna mtu wa kumfuatilia, hoja hujibiwa kwa hoja

ukitaka kuprove kuwa huwa hata hafikirii, angalia muda nitakaopost hii post na muda atakaochukua kuandika.

mama kula tano


MAMA MAMA, MAMA HUYOO , MAMA MAMAHUYOO, MAMA MAMAHUYOO!


mpaka sasa MAMA 7-FMES-0, mechi inaendelea


SAMAHANI SITAKI THANKS
 
You see this Mama ?

This is what I was talking about. Now, a lotta peope will actually believe that you are actually reaching out to this character in private. Alinitungia hivi vitu na mimi. You thought I was crazy at some point dealing with this being.

Umenielewa sasa ? You see what I am talking about Mama? Unaona anavyotengeneza vitu ?


You know what, I believed that its you who is sending those messages to this ARROGANT GUY, i think its time know you should write here that you never ever wrote messages to him. You never know who believed like I did.
 
Acha waendelee, acha kuamulia!!! au umeona FM anashindwa? au wewe mwenyewe ni FM kwa jina lingine?

Huyu FM kila siku anagombana na watu, hasikii haambiliki, nafurahi watu wengi wanavyoona anavyowaza anajua yeye. ana data yeye, msomi yeye, kila kitu yeye, yaani ni yeye tu humu ndani .Huwa nawaza ngekuwa INDIA angetaka kuabudiwa kama mtu

ebu waweke kwenye mizani kati ya FM na MKJJ, angalia mawazo yao! hili hata MKJJ amemlaumu sana FM ,. ila haelewi?

mara zote huwa yeye anashindwa kwa hoja, hii staili yake ya kuchambua kila setensi ina prove jinsi gani anavyoona anajua kila kitu! anaweza kujibu kila hoja? angalia uchambuzi wake yumechoka, hata mtoto wa form four hawezi akajibu kama huyu mkuu

you know what?? haelewi , haambiliki

mkuu ukibadili tabia yako.AKIONA ANASHINDWA ANAKIMBILIA KUSEMA "WEWE KUHANI"

HILI HALITAWASAIDIA KUBENEA KACHEMSHA, KAMA KUNA WATU WANAOGOPA KUWAAMBIA NI HAOHAO NA UNAFIKI WAO! WA KUTAKA WAPEWE THANKS NA FULANI, AU WANYENYEKEWE!

UKWELI NI KUWA THERE IS NO SIMPLE WORDS YA KUHALALISHA ALIYOYAFANYA KUBENEA, MTAKE MSITAKE


SIJAONA MTU AKIJIBU MASWALI YA WABEROYA, HOJA ZA MAMA, KUHANI N.K?

HIVI TATIZO NINI?

KINEPI-NEPI MKUU, MWACHE HUYU FM, ajue kuwa kuna watu duniani wenye mawazo kama yeye, ona sasa anasema yeye ni mtu wa matawi ya juu? anamtisha nani huyu, kwangu mimi naona ni kamtu fulani kalevilevi tu, hakana mbele wala nyuma! kamekosa kuheshimiwa huko kanataka heshima JF

anawapa kazi ma moderator, maana wanamuonea aibu... pengine, acha sisi tumnyoshe kidogo japo ameshakomaa, tutatumia nyundo na zana nyingine

Nilimuahidi na nina mtrack , kuwa popote atakapotukana matusi ninaye! naahidi kazi hiyo, naomba mniunge mkono, naoma tuendeleze hili libeneke for next 12 hours kwa hoja

nataka nikuonyeshe wewe ni mjinga huna lolote, huna data, una akili ndogo, huna hoja,una mawazo ya miaka ya 40 n.k

hapa sio home kwako, wala huna mtu wa kumfuatilia, hoja hujibiwa kwa hoja

ukitaka kuprove kuwa huwa hata hafikirii, angalia muda nitakaopost hii post na muda atakaochukua kuandika.

mama kula tano


MAMA MAMA, MAMA HUYOO , MAMA MAMAHUYOO, MAMA MAMAHUYOO!


mpaka sasa MAMA 7-FMES-0, mechi inaendelea


SAMAHANI SITAKI THANKS

Ndugu una umri gani???Samahani kama swali langu limekuhudhi.
 


You know what, I believed that its you who is sending those messages to this ARROGANT GUY, i think its time know you should write here that you never ever wrote messages to him. You never know who believed like I did.

Mama,

I will be damned in hell of fire if I ever did, or will ever, engage in private messages with this character. You write this guy a PM he is gonna run with it to Kubenea!! I have never sent this guy a private message. Never!!
Plus, I have never used a different name here. Not once!! Never ever.
 
WEWE NI FISADI NA MNAFIKI MKUBWA, na DATAZ zako unanyanyasa watu humu, ziweke matakoni basi tuone kama zitakutajirisha,

Dataz zinawekwa hapa ubaoni watu wasome waelwewe kinachoendelea, sio huko unakosema, maana hizo lugha za walevi huwa situmii, kama nilivyosema kuwa I am too big na hizo lugha zako za mitaaani, it tells wewe ni mtu wa aina gani! no wonder hakuna maelewano toka uingie hapa na majina yako lukuki!

Hizo dataz ndio zimekupatia zile daladala eeh? NANI ANASHIDA YA KUKENULIWA MENO NA MTU MZIMA HOVYOOOOOOOOOO KAMA WEWE

Biashara za dala dala who? Mimi ? Unaona sasa ndio maana inakwua taabu maana unabahatisha ya dala dala yanatoka wapi? Yaani unaiona mimi ni mut wa kumiliki dala dala? Hapana sina dala dala na wala sina huio mpango, again sina miaka 60 na akili za mtoto wa miaka 10 kichwani!

nadhani mkeo hatimizi wajibu wake wa kukukosoa, usingefikia hali hii, kujiona jogoo na wewe ndio wewe kwenye forum ya members ca 7000. Tena toka ulipolijua neno PERIOD basi imekuwa nongwa...

Sipigwi vibao na mke wangu kama wewe, na sipewi amri na mke wangu hata siku moja, you know that, hapana hapa JF ninashirki kama wanachama wengine, lakini kuna wenye inferior kama wewe siwezi kuwasaidia na siwezi kujishusha hapa ni mwisho mkuu what you see is what you get, you know that!
 
Dah,

Eti JF Kioo cha jamii? I mean kuchambua na kurekebisha sijui?

Where are you people leading us?

Please Mama, I like you, I wanna read something from your, I mean your view about "Maandamano ya wanahabari leo", don't dissapoint me.

FM, please, go back to the point, I wanna read something from you too, about the subject eh, may be you forgot the subject, gonna remind you eh "Maandamano ya wanahabari Leo" remember?

As for me, all my points have been said by other members.

"MAANDAMANO YA WANAHABARI LEO" is the subject, have your say.........

Deal?

Call me Lizy
 
huyu bwana is so arrogant, nadhani hajui hili. Na msipomwambia mapema atakuwa dikteta zaidi ya Hitler. Au ndio yale ya amani na utulivu huku watu mnaumia na kusemea kichinichini. Nimechoka mimi, PATIENCE HAS ITS LIMITS.

ni maneno kama haya ndio yanaonyesha uwezo wako wa kufikiri unapoanzia na kuishia, unataka uongozi tu hata pasipo husu lazima uwe kinara tu, hapa ni hoja sio majina wala matusi, ila ni hoja tu!

Msimamo wangu hauwezi kubadilika kwa sababu yako, weka hoja ninaweka hoja, sasa ukitaka mengine ndio hivi sina noma, lakini toka majuzi nimekupa break za kutosha, ya udikteta wala sina tatizo maana yanajulikana tena hasa kwenye real life, au?
 
MNAFIKI NI WEWE MALUUNI UNAYERINGIA PhD (not the spelling), tena sio za kaka zako,

Hapana mnafiki alitukanwa na Kikwete siku moja kwenye public sio mimi, alipoulizwa baadaye alsiema wazi kuwa jamaa ni mnafiki sana, kama wewe unayo hiyo PHD mimi siitaki, samahani sana! Na sina kaka ila nina dada.

unaringia za dada zako (sijui mashemeji zako waringie nini). Kaza buti na wewe uitafute MTEGEMEA CHA NDUGUYE HUFA MASKINI, au zile magari zinatosha.

ni kweli nimeona dada zangu wakihenyeka kutafuta PHD, na nimeona behavior zao baada ya kuzipata, sasa inanishangaza sana kuamini kuwa na wewe unayo na hizi tabia, sina mashemeji, eti mimi ninategema cha ndugu na wakati umesema nina dala dala? I see unafurahisha sana!

Sina shida ya kukufanya chochote zaidi ya kukuambia ukweli, YOU ARE SO ARROGANT, HABARI NDIYO HIYO. JIREKEBISHE.

anayetakiwa kujirekebisha anajielewa sana, wala sina sababu ya kumtaja!
 
Tena hapo ndipo penyewe, halafu ona unavyojicheka mwenyewe.....usipobadili tabia utakuwa dikteta zaidi ya Hitler, hiyo sio sumu...kwa ile lugha ungeita kumkoma nani......nyani.....nini utajaza mwenyewe.

Pure nonesense, yaani huzuni sana!
 
You see this Mama ?

This is what I was talking about. Now, a lotta people will actually believe that you are really reaching out to this character in private. Alinitungia hivi vitu na mimi. You thought I was crazy at some point dealing with this being.

Umenielewa sasa ? You see what I am talking about Mama?

Masikini ya Mungu, unajua ni huruma tupu unajua jinsi ninakudharau nasikia hata kutapika, kama nilivyosema hizi PHD za online sina hamu kabisaaa!
 
that is what is called ARROGANCE. Brainstorm it and make self evaluation. Take or leave it, thats it.

siongei lugha za walevi hapa JF, hata siku moja unaonekana kujua sana hizo lugha za low minds, samahani huwa sizitumii!
 


AKIONA ANASHINDWA ANAKIMBILIA KUSEMA "WEWE KUHANI"

HILI HALITAWASAIDIA KUBENEA KACHEMSHA...

SIJAONA MTU AKIJIBU MASWALI YA WABEROYA, HOJA ZA MAMA, KUHANI N.K?

anawapa kazi ma moderator, maana wanamuonea aibu...

Kumbe kuna watu wanaelewa kinachoendelea hapa.

Ma mods waliwahi kusema, kwenye thread fulani siku nyingi huko nyuma, kuhusu direction ya Jamiiforums na kuisapoti and so forth, wakataja watu wachache fulani hivi, akiwemo huyu, wakasema ametoka nao mbali sana na aliisapoti Jamiiforums katika wakati mgumu. (Kama natunga watani call out.)

Kwa hiyo FMES ni moja kati ya treasured members wa hapa. Lakini, ukweli ni kwamba hawapendi baadhi ya lugha anazotumia hapa. Wafanyeje ?

Ku address matatizo ya huyu bwana ikabidi ma mods wa escalate the issue to Maxence Melo himself. Yani it was beyond Invisible!!! Ndio juzi hapa with great pain and gall Maxince Melo akaanzisha thread maalum ku address hizi issue. I mean, it was above Invisible's head!!

Kwa hiyo, you are right on the money, anawapa sana shida ma mods. Wanamuheshimu lakini at the same time hawataki kuonekana wana ka Mtandao cha walio juu ya taratibu za forum. He's the biggest jigsaw puzzle to them.

Na members wengine maveterani wenzake wanamuonea onea aibu. Lakini jana tumeona bellwether member mmoja nae kamtolea uvivu. It was humiliating. Mimi sikuamini. Lakini nae alikuwa anauma na kupuliza. Anamwambia oooh sisi wakubwa achana na watoto, utafanana nao. Yani wengi hawawezi kum confront huyu mtu usoni, directly. Wapo wachache sana huwa hawamuogopi. Leo Mama kakataa hizi shenanigans.
 
SIJAONA MTU AKIJIBU MASWALI YA WABEROYA, HOJA ZA MAMA, KUHANI N.K?

HIVI TATIZO NINI?

KINEPI-NEPI MKUU, MWACHE HUYU FM, ajue kuwa kuna watu duniani wenye mawazo kama yeye, ona sasa anasema yeye ni mtu wa matawi ya juu? anamtisha nani huyu, kwangu mimi naona ni kamtu fulani kalevilevi tu, hakana mbele wala nyuma! kamekosa kuheshimiwa huko kanataka heshima JF

anawapa kazi ma moderator, maana wanamuonea aibu... pengine, acha sisi tumnyoshe kidogo japo ameshakomaa, tutatumia nyundo na zana nyingine

Nilimuahidi na nina mtrack , kuwa popote atakapotukana matusi ninaye! naahidi kazi hiyo, naomba mniunge mkono, naoma tuendeleze hili libeneke for next 12 hours kwa hoja

nataka nikuonyeshe wewe ni mjinga huna lolote, huna data, una akili ndogo, huna hoja,una mawazo ya miaka ya 40 n.k

hapa sio home kwako, wala huna mtu wa kumfuatilia, hoja hujibiwa kwa hoja

ukitaka kuprove kuwa huwa hata hafikirii, angalia muda nitakaopost hii post na muda atakaochukua kuandika.

mama kula tano


MAMA MAMA, MAMA HUYOO , MAMA MAMAHUYOO, MAMA MAMAHUYOO!


mpaka sasa MAMA 7-FMES-0, mechi inaendelea


SAMAHANI SITAKI THANKS

Mtatizo ya akili, utabadili majina hapa mpaka uchoke mimi jina moja tu, sasa unataka watu waamini kuwa wewe ni mwingine duh uan akili sana mkuu, haya maneno yako ya choooni namuanchia mkuu Max, hayanihusu,

Msimamo wangu ni ule ule hauwezi kubadilika kwa sababu ya majina yako unahangaika bure, na the more unavyojibadili ni the more unavyoji-expose!

Mimi na wewe anayekosa raha ni nani?
 
Ndugu una umri gani???Samahani kama swali langu limekuhudhi.

Nimekua sana sasa mama yako anaujua fika umri na na details zotekamuulize-,-hongera kwa kumjua baba yako , samahani kama taarifa hii imekufurahisha.
 
You know what, I believed that its you who is sending those messages to this ARROGANT GUY, i think its time know you should write here that you never ever wrote messages to him. You never know who believed like I did.

Hizo mesaage zako upupu mtupu wala hazinisiumbui, unahngaika tu mimi huwezi fanya kitu maana msimamo wangu hauwezi kubadilika hata siku moja na hizi nonesense zako unapoteza muda bure na unazidi kunipa umaarufu tu wa bure!

Kumbe kuna watu wanaelewa kinachoendelea hapa.

Ma mods waliwahi kusema, kwenye thread fulani siku nyingi huko nyuma, kuhusu direction ya Jamiiforums na kuisapoti and so forth, wakataja watu wachache fulani hivi akasema wametoka nao mbali sana na waliisapoti Jamiiforums katika wakati mgumu. (Kama natunga watani call out.)

Nilipoona hivyo nikajua kwamba Ok, FMES ni moja kati ya treasured members wa hapa. Lakini, ukweli ni kwamba hawapendi baadhi ya lugha anazotumia hapa. Wafanyeje ?

Hapana wadanganye wajinga ndio maana nilijitoa kule Premium siku nyingi maana niligundua kua una jina moja kule, unalitumia kwa hiyo habari zote za siri ulikuwa unazipeleka mahali, nimekumabia kwua siku zote huwa niko one step ahead huna hizo akili unazofikiri unazo.

Ku address matatizo ya huyu bwana ikabidi ma mods wa escalate the issue to Maxence Melo himself. Yani it was beyond Invisible!!! Ndio juzi hapa with great pain and gall Maxince Melo akaanzisha thread maalum ku address hizi issue. I mean, it was above Invisible's head!!

Wewe umemtumia Max maneno mengi sana ya kizabizabina kwa kutumia majina yako, na yeye akaamini kuwa ni kweli kuna watu wanalalamika, lakini in the end akagundua akili zako za kiminziro, akili kama za yule mbunge wa kule Kintu, toka juzi unajaribu kunigombanisha na Mtanzania, umeshindwa, jana ukajaribu na MJJ na Mkandara ukashindwa, nakuona unavyohangaika sasa unafikiri kwa kutumia majina yako haya utaharibu jinalangu, mimi ninajiamini sana mkuu tena jina moja tu sihitaji kama tabia zako,

Miaka 60 akili za mtoto wa miaka 10, yaani aibu tupu bro hata kusema, hapa nipo JF siendi kokote maana nikiondoka basi utawapiga wtu viboko maana unajua wkua mimi ndio kikwazo chako cha kutishia watu hapa, sasa umekwamba maana siendi kokote!


Kwa hiyo, you are right on the money, anawapa sana shida ma mods. Wanamuheshimu lakini at the same time hawataki kuonekana wana ka Mtandao cha walio juu ya taratibu za forum. He's the biggest jigsaw puzzle to them. Na members wengine maveterani wenzake wanamuonea onea aibu. Lakini jana tumeona bellwether member mmoja nae kamtolea uvivu. It was humiliating. Mimi sikuamini. Lakini nae alikuwa anauma na kupuliza. Anamwambia oooh sisi wakubwa achana na watoto, utafanana nao. Yani wengi hawawezi kum confront huyu mtu usoni, directly. Wapo wachache sana huwa hawamuogopi. Leo Mama kakataa hizi shenanigans.

Haya ni maneno ya mtu mwenye PHD? inasikitisha sana, Mwanakijiji amesema aliyosema na nikajibu niliyojibu tunasonga mbele, hayo maneno yako ya kunigombanisha na MMJ hata vyombo vikubwa sana bongo wamejaribu na sijawahi hata kumuambia mkulu MMJ, ninaheshimu watu wote kama yeye wenye msimamo imara, sasa ndugu nina mengi sana, kwa ninayoyajua wewe kwangu ni mtoto mdogo sana, ninarudia tena msimamo wangu uko pale pale, ukitaka heshima nitakupa na ukitaka viroja sina noma lakini huwezi kunitisha hata siku moja, watishe hao wengine na haya majina yako utoto mtumzima miaka 60, aibu sana!
 
Mama,

I will be damned in hell of fire if I ever once, or will ever, engage in private conversations with this character. You write this guy a PM he is gonna run with it to Kubenea!! I have never sent this guy a private message. Never!!
Plus, I have never used a different name here. Not once!! Never ever.

Unaona sasa kumbe ya Kubenea ndiyo yanayokusumbua, wivu nimekuambia ni ugonjwa mbaya sana bro si unaona sasa unajisema mwenyewe!!!!
 
This is what I was talking about. Now, a lotta people will actually believe that you are really reaching out to this character in private. Alinitungia hivi vitu na mimi. You thought I was crazy at some point dealing with this being.

Umenielewa sasa ? You see what I am talking about Mama?



Sidhani kama ninahitaji kusema anything on this PM chini kuwa ni ya nani wananchi watasoma na kuamua




"Mkuu nashukuru sana kwa michango yako. Wengine huwa tuko hapa kwa sababu ya watu kama nyie, I appriciate on your comments and views.

Nchi yetu imeondoka kama nilivyosema kwenye message yangu ya jana, nimeangalia abc nimeona hakuna jinsi inabidi nikubali. pamoja na kuwa na Elimu ya juu kabisa yaani PhD nimesaidia watanzania wengi sana lakini naona nchi imetekwa sina la kuongezea katika kukomboa nchi yetu.

Mkuu nasoma sana message zako wengine wakati tunaamua kutoa mawazo ya namna hiyo tunayatoa kwa machungu sana. maana hata pamoja na miaka yetu, tanzania kama nchi imetuanguasha. Tunasaidia nchi nyiongi sana. Hatuna jinsi zaidi ya kuangalia maisha ya watoto wetu na familia zetu badala ya Taifa.

Lakini tutaendelea kupambana tu, Mkuu hata chama hatuna hila tunaangalia watu wenye mwelekeo tu, Mkuu mimi nakushukuru kwamba huwa huna upande hila Mkuu Mtanzania naogopa sana."
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom