Katika Picha: Maandamano ya wanahabari Leo

Katika Picha: Maandamano ya wanahabari Leo

Status
Not open for further replies.
, mengi sana usinione hivi, kwa ninayoyajua wewe kwangu ni mtoto mdogo sana, ninarudia tena msiammo wangu uko pale pale, ukitaka heshima nitakupa na ukitaka viroja sina noma lakini huwezi kunitisha hata siku moja, watishe hao wengine na haya majina yako utoto mtumzima mika 60, aibu sana!


Jamani huyu mtu anahitaji msaada wa haraka sana, maana yeye anajua mengi tu anaonekana mwingi wa habari.Yeye kuwa na habari ni ufahari sana!! hata akifa leo atabaki na habari tu, this guy where is he coming form? hakuna rafiki yake wa karibu ampepee?

By the way, post zote zinazokuhusu hujazijibu, usaidiwe?? acha kuruka ruka, ningekuwa mimi ningekaa kimya

nyie ndio mliomshauri Kubenea aandike utumbo ule, leo mnapiga kelele mmeonewa, mnabaki ""ushahidi hupo, tutautoa mahakamani" wakati mnaandika magazetini mliandika kwa umma wote now, mnataka tuwaonee huruma kwa ujinga wenu.

FMES, wenye akili wamekaa kimya WANAOONGEA KAMA KIBANDA WA TZ DAIMA wamesema kubenea alikosea.FULL STOP

MPINGE KIBANDA SASA

Hii kuringa ringa na kujiona Babu K, ndio hii tunayoipinga TUKIWA NA LENGO LA KUTENGENEZA JF mpya zama zako zimeisha, kama una habari hutaki kumwaga humsaidii yeyote kamweleze mkeo na nyumba yako ndogo

""Nina mengi sana usinione hivi"" FMES kaka unatisha... kumbe wewe unawaona watu humu
 
Kumbe kuna watu wanaelewa kinachoendelea hapa.

Ma mods waliwahi kusema, kwenye thread fulani siku nyingi huko nyuma, kuhusu direction ya Jamiiforums na kuisapoti and so forth, wakataja watu wachache fulani hivi, akiwemo huyu, wakasema ametoka nao mbali sana na aliisapoti Jamiiforums katika wakati mgumu. (Kama natunga watani call out.)

Kwa hiyo FMES ni moja kati ya treasured members wa hapa. Lakini, ukweli ni kwamba hawapendi baadhi ya lugha anazotumia hapa. Wafanyeje ?

Ku address matatizo ya huyu bwana ikabidi ma mods wa escalate the issue to Maxence Melo himself. Yani it was beyond Invisible!!! Ndio juzi hapa with great pain and gall Maxince Melo akaanzisha thread maalum ku address hizi issue. I mean, it was above Invisible's head!!

Kwa hiyo, you are right on the money, anawapa sana shida ma mods. Wanamuheshimu lakini at the same time hawataki kuonekana wana ka Mtandao cha walio juu ya taratibu za forum. He's the biggest jigsaw puzzle to them.

Na members wengine maveterani wenzake wanamuonea onea aibu. Lakini jana tumeona bellwether member mmoja nae kamtolea uvivu. It was humiliating. Mimi sikuamini. Lakini nae alikuwa anauma na kupuliza. Anamwambia oooh sisi wakubwa achana na watoto, utafanana nao. Yani wengi hawawezi kum confront huyu mtu usoni, directly. Wapo wachache sana huwa hawamuogopi. Leo Mama kakataa hizi shenanigans.

,SASA AMEGEUKA KAMA MUGABE....SO FROM NOW ON...FMES NI MUGABE WA JF!!!!

Haiwezekani tuwaseme mafisadi tugope kusemana wenyewe! haiwezekani pia Kubenea kakosea asisemwe!

MUGABE badilika kaka
 
Dah,

Eti JF Kioo cha jamii? I mean kuchambua na kurekebisha sijui?

Where are you people leading us?

Please Mama, I like you, I wanna read something from your, I mean your view about "Maandamano ya wanahabari leo", don't dissapoint me.

FM, please, go back to the point, I wanna read something from you too, about the subject eh, may be you forgot the subject, gonna remind you eh "Maandamano ya wanahabari Leo" remember?

As for me, all my points have been said by other members.

"MAANDAMANO YA WANAHABARI LEO" is the subject, have your say.........

Deal?

Call me Lizy

..hizi ni side show(s) Lizy, ndio mambo yenyewe!! wamepaniana, waache watoleane uvivu.

very entertaining, natamani ingekuwa ijumaa😀 kanyaga twende...
 
Jamani huyu mtu anahitaji msaada wa haraka sana, maana yeye anajua mengi tu anaonekana mwingi wa habari.Yeye kuwa na habari ni ufahari sana!! hata akifa leo atabaki na habari tu, this guy where is he coming form? hakuna rafiki yake wa karibu ampepee?

Hao marafiki wanahitaji kukusaidia wewe maana mimi huwa ninasimama mwenyewe na jina moja tu!

By the way, post zote zinazokuhusu hujazijibu, usaidiwe?? acha kuruka ruka, ningekuwa mimi ningekaa kimya nyie ndio mliomshauri Kubenea aandike utumbo ule, leo mnapiga kelele mmeonewa, mnabaki ""ushahidi hupo, tutautoa mahakamani" wakati mnaandika magazetini mliandika kwa umma wote now, mnataka tuwaonee huruma kwa ujinga wenu.

JF tulipofungiwa Kubenea alipigia kelele sana serikali bila kuuliza tumekosa nini kwa sababu anaheshimu uhuru wa habari, ndio maana na sisi tunasimama naye to the end, hayo maneno yako ni ya mut asiyejua kitu kwa hiyo sio kosa lako.

FMES, wenye akili wamekaa kimya WANAOONGEA KAMA KIBANDA WA TZ DAIMA wamesema kubenea alikosea.FULL STOP MPINGE KIBANDA SASA

Kazi yangu kwa sasa i moja tu nayo ni kupma Kubenea msaada wowote aunaouataka katika hiki kipindi kigumu cha majaribio ya msimamo, hayo yako ya kibanda na teh rest hayanishitui hata kidogo ni ya kawaida, kelele za mlango!

Hii kuringa ringa na kujiona Babu K, ndio hii tunayoipinga TUKIWA NA LENGO LA KUTENGENEZA JF mpya zama zako zimeisha, kama una habari hutaki kumwaga humsaidii yeyote kamweleze mkeo na nyumba yako ndogo
""Nina mengi sana usinione hivi"" FMES kaka unatisha... kumbe wewe unawaona watu humu

Hapna sina nyumba ndogo kama wewe sio tabia zangu hizo hata siku moja, nina mke mmoja tu, JF mpya haiwezi kutengenzwa na wewe na haya majina, JF inatengenezwa na hoja sio matusi na majina 100,

Nilipogundua kua una jina unatumia kwenye vikao vya Premium, nikatumia ustaarabu wala sikumuambia mtu nikajitoa na baada ya kugundua kwua ulikuwa unayapeleka mahali ya siri zetu kule, sasa unaweza kusema unayotaka lakini siwezi kubadili msimamo wangu kwa sababu ya wewe unayetaka JF iwe matusi,

Hayo ya majina sheria ziko clear hapa JF, tena nashangaaa kwamba unatukana matusi na unaachiwa!
 
SASA AMEGEUKA KAMA MUGABE....SO FROM NOW ON...FMES NI MUGABE WA JF!!!! Haiwezekani tuwaseme mafisadi tugope kusemana wenyewe! haiwezekani pia Kubenea kakosea asisemwe!

MUGABE badilika kaka

Unajua sasa ni clear kuwa tatizo ni kumsimamia kwangu Kubenea, kwenye hilo unaweza kusema anything sina apology kumsimamia muandishi ninayeamini kuwa ni shujaaa wa taifa.
'
Kwa wale mliotumwa kumchafua Kubena hapa, mna kazi kubwa sana ya kupambana na mimi maana nitamsiamia mpaka mwisho wa safari kama na yeye alivyotusimamia wakati wa shida.
 
Nashangaa wamekubaliana wasitaje jina la Mkuchika lakini mabango mengi yana jina hilo!

Kumbe jina la Mkuchika litaendelea kutamba pamoja na kifungo kutoisha


Sipendi kuamini hukufikiri kabla ya kuandika...
 
Mods,
Hakuna namna ya kuwaweka kando kidogo watu wanapoanza kushambuliana wakaendelea na thread ya peke yao bila kuvuruga thread zilizoanzishwa na watu wengine?
Thread hii ilianza vizuri sana na ilipaswa kubaki hivyo.
 
HAya kaka mshindi wewe sindano ulizozipata leo zinakutosha sana. Swala ni tabia yako wala usifikiri sisi wengine Kubenea hatumpendi! matusi yako, kibri n.k vinashusha hadhi yako, rejea posty zote mkuu , jrekebishe, anayetumi matusi humu ni wewe , anayekimbili kusema unatukana ni wewe! naona utakuwa na matatizo ya ubongo Maana ujibuji wako wa post, mzee umeniacha hoi! kama JF wewe ni expert, basi huko juu kaka

Tabia yangu ya kusimamia hoja haiwezi kubadilika kwa sababu tu wewe hupendi, kwamba eti ni lazima niandike kama unavyotaka wewe hapana hilo sio lengo la forum, lengo i kpiganisha hoja ili kupata ideas zenye kukubalika na jamii, sasa wewe hunishambulii kwa sababu ninasema uongo, au ninemsema hoja za kuzusha ila unanishambulia kwa sababu ninamsimamia Kuebena bila kuyumba, kwenye hilo sina apologies na sitabadilika,

Wakati wa topic za Msiba wa Balali ndipo kwa mara ya kwanza ulianza kutoa makucha yako, nikawaonya wananchi hapa kwamba wasipokuwa macho na wewe ndio umeanza kuonyesha rangi zako za kweli nazo ni chuki, uchonganishi na kutaka uongozi kwa nguvu, sasa ukweli wako uko wazi ndio huu wanauouna.

Wewe unaweza kufanya yote, lakini one thing huwezi ni kunitoa my message kwamba Kubenea hana makosa ila ameonewa na serikali na ninajua kwua anao ushahidi wa habari aliyoandika, ubingwa ndnai ya hii forum hupatikana kwa hoja sio mtusi na njia zingine za kitoto, hapa ni watu wazima wananchi ambao tuna uchungu na taifa letu na sisi ni raia wa Tanzania, I hope you are too!


I ma done with you, kama una akili utabadilika, ila at leat baada ya kuelezwa ukweli wako utabadilika , usipobadilika..tutaendela kukusaidia. Hakuna wa kumchafua Kubenea kwa, ila ishu ya ile habari yake haikukaa sawa, lawama kubwa ni kuwa je , jemedari wetu kama kubenea akikosea makosa kama yale haoni anaacha matatizo makubwa sana. who is the looser now! sisi, especially mimi. Lala salama kaka MUGABE. mugabe imewekwa hapo kuwa ni wewe tu unataka uonekane humu JF!

Katika maelezo yako yote toka uanze, sijaona anything serious cha kunifanya nibadilike, sana sana ninawaonea huruma wasiokufahamu vizuri maana sio uongo kuna baadhi ya members hapa umeanza kuwachanganya kidogo kwamba you are for real wakati wewe ni a loser na ume-lost, sasa ni furaha yako kuona kila mtu anakuwa kama wewe, a loser kwangu umekwama kama vile ulivyokwamba kwenye real life na mimi, you know better kwa hiyo sina cha kubadilika na siwezi kubadili msaimamo wangu over Kubenea kua amesema ukweli, ni serikali yetu ambayo haina record ya kusema ukweli ndio inayosema uongo kwneye hii ishu ya kufungiwa kwa gazeti, kama kwa kuwa na huu msimamo kunanifanya niwe anything you said sina tatizo kukubali.

Tanzania tuna waandishi wachache sana kama Kubenea, ambao wako radhi kuweka maisha yao on line kwa sababu ya faida ya wananchi wengine kama mimi huko mblele ya safari, hakuna masika yasiyokua na mbu anayoyapitia sasa hivi ni a price tena ndogo sana ya ukweli ambayo mimi hainipi taabu kuikubali. Change is coming kwa taifa letu hilo halina ubishi maana histoiria iko very clear kwamba change inapokaribia kufika, watawala hujaribu kila mbinu chafu ili kuizuia kama hizi za Mkuchika,

Kubenea ni shujaa wangu na nitamsimamia by any means necessary, pamoja na njama zote za kujaribu kumchafua, as of me nafikiri unahitaji kuuliza wanaojijua vizuri kwamba unapoteza muda bure, so far umenifundisha one thing, kwamba kama siku zote nilivyokuwa nikiamini, kwamba huna hoja nzito hata siku moja, na pia siasa ya bongo huifahamu vizuri sana, na siasa kwa ujumla huielewi ndio maana hapa tu mahali padogo JF panakupa shida, ishu ndogo kama hiii imekusumbua weee ni kwa sababu unataka wote hapa tuamini kwamba kama wewe hujaona ushahidi basi haupo, halafu mimi ninayesema upo pamoja na kwamba hujauona ninakuwa dikteta, sawa sawa lakini msiamamo wangu uko pale pale kwamba Kubenea yuko right ni serikali ndio iko wrong.

Na kama unataka kujadili topic ya Kubenea tena nipo tayari at anytime kukuelimisha kwamba hana makosa, kama na wewe unataka kuonekana humu forum kama unavyolia jifunze kuwa na hoja nzito, sio viroja.
 
Mods,
Hakuna namna ya kuwaweka kando kidogo watu wanapoanza kushambuliana wakaendelea na thread ya peke yao bila kuvuruga thread zilizoanzishwa na watu wengine?
Thread hii ilianza vizuri sana na ilipaswa kubaki hivyo.

Wild, hilo umesema kweli ndugu, make kwa siye wengine wenye mitandao ya manati, unaperuzi weeee kufatilia mada na kusihia kukatishwa tamaa kwa hoja kubadilika kuwa malumbano binafsi! Jamani hoja hoja hoja wakuu, tuache mambo ya 'malumbano binafsi'
 
Unakuwa mwanaharamu unapookotwa na kutunzwa na wanajeshi Lugalo,
Muongozo tafadhali....DatazaMan kashikwa pabaya kama kawaida yake anaanza kuleta vioja......FMES usiwe mbabe kama Mugabe kwa watu usiowajua sasa unaona unavyovuliwa nguo hadharani....
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom