, mengi sana usinione hivi, kwa ninayoyajua wewe kwangu ni mtoto mdogo sana, ninarudia tena msiammo wangu uko pale pale, ukitaka heshima nitakupa na ukitaka viroja sina noma lakini huwezi kunitisha hata siku moja, watishe hao wengine na haya majina yako utoto mtumzima mika 60, aibu sana!
Jamani huyu mtu anahitaji msaada wa haraka sana, maana yeye anajua mengi tu anaonekana mwingi wa habari.Yeye kuwa na habari ni ufahari sana!! hata akifa leo atabaki na habari tu, this guy where is he coming form? hakuna rafiki yake wa karibu ampepee?
By the way, post zote zinazokuhusu hujazijibu, usaidiwe?? acha kuruka ruka, ningekuwa mimi ningekaa kimya
nyie ndio mliomshauri Kubenea aandike utumbo ule, leo mnapiga kelele mmeonewa, mnabaki ""ushahidi hupo, tutautoa mahakamani" wakati mnaandika magazetini mliandika kwa umma wote now, mnataka tuwaonee huruma kwa ujinga wenu.
FMES, wenye akili wamekaa kimya WANAOONGEA KAMA KIBANDA WA TZ DAIMA wamesema kubenea alikosea.FULL STOP
MPINGE KIBANDA SASA
Hii kuringa ringa na kujiona Babu K, ndio hii tunayoipinga TUKIWA NA LENGO LA KUTENGENEZA JF mpya zama zako zimeisha, kama una habari hutaki kumwaga humsaidii yeyote kamweleze mkeo na nyumba yako ndogo
""Nina mengi sana usinione hivi"" FMES kaka unatisha... kumbe wewe unawaona watu humu