Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Ili iweje? Amkomoe nani?Kabendera kafadhiliwa na msoga gang ili kumchafua magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili iweje? Amkomoe nani?Kabendera kafadhiliwa na msoga gang ili kumchafua magufuli
Unataaka kusema kwamba J alimtomba? Yaan unatuambia alitombwa akafurahia? Punguzeni basi mambo yenu mnamchafua na yeye km hamuelewilakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.
Ninavyojua mimi, Mwamba Magufuli HAUWEZI kuchafuliwa na mtu yeyote au na kitu chochote na ndio maana licha ya kifo chake bado Mwamba Magufuli ana make headlines kuliko walio hai!Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.
Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.
Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.
Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?
Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.
Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.
Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Kinacho nishangaza ni kuona ccm na serikali yake wmeona makosa waliyo fanya kukabidhi nchi mikononi mwa kichaa kwa zaidi ya miaka sita. Na mpaka sasa wameacha njia kichaa alizo kuwa anatumia ndio ziendelee kuwaweka madarakani. Mimi nilifikiri ccm baada ya kufanya makosa wenge kaa chini nakujadili namna ya kuhakikisha makosa hajirudii tena. Sio tu ndani ya chama bali pia serikalini. Mimi nafikiri ccm inaongozwa na vichaa kuliko magufuli.Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.
Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.
Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.
Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?
Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.
Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.
Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Kwani Chadema inahusikaje?Kabendera ni zaidi ya Chadema na Sinema 🐼
Wapo wazungu nyuma wana -insinuate somethingNasema tena sio kwa bahati mbaya.
Wewe unapswa kukisoma kitabu ili uelewe kwa kina zaidi lakini kuna interview alifanyiwa kabendera. Ukiipata hiyo itakusaidia.Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.
Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.
Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.
Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?
Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.
Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.
Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Wanawake ambao wanaume zao walipewa ubalozi hao itakuwa alikuwa anajilia tu.....yule mwingine mumewe aliamua aache mimba kabisa
usikute na mtoto anaitwa magufuli
Na nyie muambieni mama yenu aandike cha kumsifia dhalimu magu.Hichi kitabu kimeandikwa na yule mama yetu.
Kwamba Kabendera hawezi kujua ukweli hadi alipwe kumchafua mtu? Au mnadhani mkisema hivi ndio tutaona alichoandika ni uongo?Kabendera kafadhiliwa na msoga gang ili kumchafua magufuli
Je alikasirika na kushiriki kufanikisha corona 2019?"Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka"?
Dogo Tulia
View attachment 3192078
Nimewaza kama wewe mkuuTaarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.
Kwa kawaida mtu akifariki husifiwa na hata mabaya aliyotenda hufunikwa. Lakini ukiona maovu ya mtu aliyekwishafariki yanafunuliwa basi ufahamu kuwa huyo mtu alikuwa amefanikiwa kuwadhibiti watu ili siri zake zisitoke. Hivyo, Mungu humuinua mtu au watu kuweka wazi maovu yaliyofunikwa kwa miaka yote. Hii ni kwasababu Maandiko yanasema "Hakuna kilichofichwa ambacho hakitawekwa wazi".Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.
Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.
Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.
Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?
Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.
Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.
Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Mmh punguzeni ukali wa maneno jamani,mtaja jutaa,aayahUnataaka kusema kwamba J alimtomba? Yaan unatuambia alitombwa akafurahia? Punguzeni basi mambo yenu mnamchafua na yeye km hamuelewi