Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake

Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Ninavyojua mimi, Mwamba Magufuli HAUWEZI kuchafuliwa na mtu yeyote au na kitu chochote na ndio maana licha ya kifo chake bado Mwamba Magufuli ana make headlines kuliko walio hai!
 
Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Kinacho nishangaza ni kuona ccm na serikali yake wmeona makosa waliyo fanya kukabidhi nchi mikononi mwa kichaa kwa zaidi ya miaka sita. Na mpaka sasa wameacha njia kichaa alizo kuwa anatumia ndio ziendelee kuwaweka madarakani. Mimi nilifikiri ccm baada ya kufanya makosa wenge kaa chini nakujadili namna ya kuhakikisha makosa hajirudii tena. Sio tu ndani ya chama bali pia serikalini. Mimi nafikiri ccm inaongozwa na vichaa kuliko magufuli.
 
Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Wewe unapswa kukisoma kitabu ili uelewe kwa kina zaidi lakini kuna interview alifanyiwa kabendera. Ukiipata hiyo itakusaidia.

Hata hivyo kama ukiweza andika tu kitabu chako kuhusu hao marais wengine. Kumbukankiwa Mkapa na Mwinyi walishaandika vyao.


View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=Rsd-cyHcg19cTDbv
 
Wanawake ambao wanaume zao walipewa ubalozi hao itakuwa alikuwa anajilia tu.....yule mwingine mumewe aliamua aache mimba kabisa

usikute na mtoto anaitwa magufuli
gjw9my.jpg
Aaah qmmk walah 😂
 

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=onGz-98ZMq-nvwC3

Kwenye hii video angalia kuanzia dakika ya 50 anasema alimpigia simu Generali mmoja wa JWTZ kwa simu inayoficha mawasiliano yao.

Generali akaenda chumbani kwake, akafunga kufuli, halafu akamwambia subiri kwanza mimi nina kitanda kikubwa hivi, akaingia uvunguni mwa kitanda chake kabla ya kuanza kuongea naye.

Huyu ni generali aliyekuwepo Uganda na kumuondoa Iddi Amin. Ni shujaa.

Sikiliza mwenyewe halafu tumia akili kidogo kutafakari uongo wa kitoto wa aina hii.
 
Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Kwa kawaida mtu akifariki husifiwa na hata mabaya aliyotenda hufunikwa. Lakini ukiona maovu ya mtu aliyekwishafariki yanafunuliwa basi ufahamu kuwa huyo mtu alikuwa amefanikiwa kuwadhibiti watu ili siri zake zisitoke. Hivyo, Mungu humuinua mtu au watu kuweka wazi maovu yaliyofunikwa kwa miaka yote. Hii ni kwasababu Maandiko yanasema "Hakuna kilichofichwa ambacho hakitawekwa wazi".
 

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=onGz-98ZMq-nvwC3
Kwenye dakika 55 Kabendera anasema inabidi kuondoa dhambi ya waasisi wa hii nchi kuanzisha mahakama kama iliyowahukumu nazi Nuremberg anasema Nyerere ndio muasisi, chanzo cha haya yote.

Kwahiyo wote hawa waliosalia toka uhuru hadi sasa inabidi wafikishwe mahakamani kuanzia waasisi wa hili taifa ili kuondoa mbegu mbovu. Ujamaa na azimio la arusha vimechangia sana haya kutokea Kabendera anaendelea.

Kuna uongouongo mwingi, inconsistents, anasema ukikaa barazani unasikia mengi.
 
Back
Top Bottom