Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake

Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Kama aliweza kumpa utukufu, angeshindwa nini kumtaka badala ya kumbaka? Je kuna mangapi kati ya wawili hawa yanafichwa? Kwanini alimpendelea yeye? Je alipewa au kutoa nini?
 
Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Kwanza hauwezi kumpangia mtu aandike kitabu kuhusu nani na kwa wakati upi, secondly yeyote(hata wewe) unaweza kuandika kuhusu wengine acha Kabendera aandike anayoona ndiyo muhimu(according to him) hivyo mahaba yako kwa mtu(in this specific case Jiwe) aliyeandikwa hayawezi kuzuia kiu ya wasomaji waliopitia na kuteseka na udhalimu wa Jiwe na wale waliokuwa wakiusikia tu. People have the right to know.
Kama kwako Lissu kushambulia, Aqulina kuuawa, Azory Gwanda na Ben Saanane kupotezwa ilikuwa furaha na faraja kwako kuna watu waliumizwa na hayo(au nawe ni wale "kifo ni kifo tu?")
Regime zote zilikuwa na matatizo/majanga mengi lakini ukatili uliokithiri uliokuwa ukifanywa wakati wa utawala wa Jiwe haijawahi kutokea since tupate uhuru 1961 na mfumo ule wa kikatili alioutengeneza bado haujafa, ameharibu utamaduni wa Kitanzania kwa kiwango kikubwa mno no wonder baadhi ya watu wanahisi hakuwa na asili ya Tanzania.
Kabendera ana uhuru kama muandishi kuandika kuhusu chochote alimradi asivunje sheria, yeyote anaweza kwenda mahakamani kupinga usambazaji wa kitabu husika ndani ya Tanzania.
 
Cha msingi apelekwe mahakamani akathibitishe tuhuma hizo.
Mahakamani kuna aibu nyingi za watu zitajulikana kuliko hizi chache tulizosikia.
Nasubiri nisikie wafuasi wa furani wakafungue mashtaka ili kumsafisha dhidi tuhuma za aina hii.
Sidhani kama kuna jasiri wa aina hiyo
 
Kwanza hauwezi kumpangia mtu aandike kitabu kuhusu nani na kwa wakati upi, secondly yeyote(hata wewe) unaweza kuandika kuhusu wengine acha Kabendera aandike anayoona ndiyo muhimu(according to him) hivyo mahaba yako kwa mtu(in this specific case Jiwe) aliyeandikwa hayawezi kuzuia kiu ya wasomaji waliopitia na kuteseka na udhalimu wa Jiwe na wale waliokuwa wakiusikia tu. People have the right to know.
Kama kwako Lissu kushambulia, Aqulina kuuawa, Azory Gwanda na Ben Saanane kupotezwa ilikuwa furaha na faraja kwako kuna watu waliumizwa na hayo(au nawe ni wale "kifo ni kifo tu?")
Regime zote zilikuwa na matatizo/majanga mengi lakini ukatili uliokithiri uliokuwa ukifanywa wakati wa utawala wa Jiwe haijawahi kutokea since tupate uhuru 1961 na mfumo ule wa kikatili alioutengeneza bado haujafa, ameharibu utamaduni wa Kitanzania kwa kiwango kikubwa mno no wonder baadhi ya watu wanahisi hakuwa na asili ya Tanzania.
Kabendera ana uhuru kama muandishi kuandika kuhusu chochote alimradi asivunje sheria, yeyote anaweza kwenda mahakamani kupinga usambazaji wa kitabu husika ndani ya Tanzania.
Kwa muda sasa nimekuwa nafikiri kwa jicho la 3 kuhusu watu wanaofurahia mambo mabaya yanayo wapata wengine Tena yanayo sababishwa kwa makusudi na binadamu mwingine
 
Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Wewe punguani kweli unatumia fikra zako na chuki zako binafsi dhidi ya Rais wetu kuelezea upuuzi wako yaani Rais akubali hizi habari ziandikwe hili iweje kwa mamlaka aliyonayo kama angekuwa na roho mbaya JPM angeweza kuchamfua zaidi ya hii, nyie pambaneni na Kabendera. Muacheni Rais afungue nchi.
 
Back
Top Bottom