Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake

Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Kuna vitu ukiangalia kwa jicho la tatu unaelewa tu kirahis kuwa ni propaganda. Bahati mbaya propaganda zao walaji ni kundi la wasomi na sio wajinga kwa iyo mbinu yao tushaijua wakajipange upya. Hata wakitumia nguvu nyingi haisaidii. Ni bora wangewekeza nguvu nyingi katika kulinda rasilimali za taifa, kujenga nchi na kuliletea maendeleo taifa hapo tungemsahau magufuli na kuwaona wao ndio wa maana kuliko kuhangaika kumchafua hata haisaidii.
 
Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Unadhani Rais kuna wakati anabaki nyumba nzima pekee yake na hakuna wa kumuona wala kumlinda.
Muulize Kidoti upuru wa Uchwara.
 
Pumbavu badala ya kuleta mada za kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia hadi elimu za juu! Kabenderaa! Kabenderaa! Washenzi, huyo kabendera pumbavu zake aende huko na bendera zake hatutaki kusikia Tena jina hilo humu ndani aende kwa baba zake. Acheni ujinga nchi hii mbona mnatokwa na akili kiasi wajinga wakubwa Hawa wanataka kutuharibia akili za vijana wetu. Tena wakome kama walivyokoma kwenye manyonyo ya kumama zao.
 

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=onGz-98ZMq-nvwC3

Kwenye hii video angalia kuanzia dakika ya 50 anasema alimpigia simu Generali mmoja wa JWTZ kwa simu inayoficha mawasiliano yao.

Generali akaenda chumbani kwake, akafunga kufuli, halafu akamwambia subiri kwanza mimi nina kitanda kikubwa hivi, akaingia uvunguni mwa kitanda chake kabla ya kuanza kuongea naye.

Huyu ni generali aliyekuwepo Uganda na kumuondoa Iddi Amin. Ni shujaa.

Sikiliza mwenyewe halafu tumia akili kidogo kutafakari uongo wa kitoto wa aina hii.

Kwahiyo ukweli ni upi?
 
Ukweli ukweli ni upi?.

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=onGz-98ZMq-nvwC3
Kwenye dakika 55 Kabendera anasema inabidi kuondoa dhambi ya waasisi wa hii nchi kuanzisha mahakama kama iliyowahukumu nazi Nuremberg anasema Nyerere ndio muasisi, chanzo cha haya yote.

Kwahiyo wote hawa waliosalia toka uhuru hadi sasa inabidi wafikishwe mahakamani kuanzia waasisi wa hili taifa ili kuondoa mbegu mbovu. Ujamaa na azimio la arusha vimechangia sana haya kutokea Kabendera anaendelea.

Kuna uongouongo mwingi, inconsistents, anasema ukikaa barazani unasikia mengi.
 
Kwahiyo ukweli ni upi?
Nimetoa changamoto mwisho hapo sikiliza mwenyewe zote mbili, halafu tumia akili yako mwenyewe kutafakari kama kuna ukweli au ni story ya kutunga, kuuza kitabu, kujipatia umaarufu, kulipa kisasi, kumpaka mtu matope kuchangamsha genge.
 
Kwanza, nataka kukiri kwamba sijakisoma kitabu hicho, lakini kupitia nukuu mbalimbali za mitandaoni, kidogo nimeweza kupata muhtasari wa kilichomo ndani yake.

Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake. Kuna nguvu kubwa inayotoka kwa viongozi wa juu. Naamini kuwa kama kusingekuwapo na maslahi ya viongozi wa mamlaka ya juu, kitabu hiki kisingepata umaarufu huu. Maagizo kutoka juu yangekuwa yamepewa juu ya kitabu hiki.

Taarifa zilizomo ndani ya kitabu hazijatolewa kwa bahati mbaya. Naamini kwamba mnufaika mkuu wa kitabu hiki si Kabendera mwenyewe.

Katika moja ya kurasa, kuna madai kuwa Hayati alitaka kumbaka fulani, lakini tukichunguza kwa makini, je, huyo aliyetaka kubakwa ni nani kwenye mamlaka ya sasa,
Je ana nguvu gani ki mamlaka?
Je, Hayati angeweza kujaribu kutekeleza jambo hili kama angalijua kuwa kuna watu watakuwepo wakati wa tukio hilo? Ikiwa hakukuwa na watu, je, ni nani aliyejua kuhusu tukio hili zaidi ya Hayati na mtendewa?

Kwa ujumla, naamini kwamba mtu aliyehusika na utoaji wa taarifa hizi ni miongoni mwa wahusika wawili kati ya hayati na mtendewa na mtendewa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kujua yaliyomo ndani ya kitabu hicho. Bila shaka, angekuwa ameanzisha hatua au kutoa maagizo juu ya usambazaji wa kitabu hiki, lakini je ni kwanini hatusikii chochote juu yake je amefurahishwa?.

Na je maraisi wengine wastaafu wao walikua ni wema sana na hata tusisikie negativities zao kwanini licha ya scandle zote za ufisadi mkubwa inamaana hapakuwa na waandishi wenye uwezo wa kuandika vitabu, je mambo yaliyofanyika awamu ya 3 au ilikuwa ni sehemu ya scene ya movie na wala haipaswi kuyachukulia serious?,
je ni kwanini iwe kwa Hayati tu?,
kwanini usambazwaji wa kitabu chenye niche hii kinasambazwa kwenye wakati huu wa mwaka wa uchaguzi?.

Kuhusu suala la mtoto kujiua, naona kwamba hili ni jambo la faragha, halina uhusiano wa moja kwa moja na uongozi wa taifa. Kwa mfano, mimi na mke wangu tunakuwa na migogoro mara kwa mara, hivo basi kabendera kutokuniandika kwenye kitabu ni kunishushia heshima.
Kwa jinsi hili taifa linavyo endeshwa ni sawa na mwanamke alie olewa na mwanamme wa pili kisha mwanamme huyo anashindwa kutimiza ahadi zake kwa mwanamke na baada ya kujua kuwa ameshindwa kutimiza anaanza kumpondea mume wa kwanza kuwa mala ohh yule alikuwa anakupiga kila siku ila mimi nakubembeleza kama mtoto.
Hapo sehemu ya "hayati" ungekua unataja majina yao.
 
Nimetoa changamoto mwisho hapo sikiliza mwenyewe zote mbili, halafu tumia akili yako mwenyewe kutafakari kama kuna ukweli au ni story ya kutunga, kuuza kitabu, kujipatia umaarufu, kulipa kisasi, kumpaka mtu matope kuchangamsha genge.
Unataka mwisho ufikiwe utakavyo bila mchakato na mchujo?Kama nani?
 
Izy_Name nikuambie kitu, Mwandishi kamzungumzia Magufuli sasa kama Rais na historia yake kama alikua sasa alikuwa na haja gani ya kuwazungumzia marais wengine wakati wao sio wahusika katika kitabu hicho ??
Tafakari
 
sikumsapoti jiwe baada ya mwaka mmoja kuingia madarakani. lakini mambo mengi ameandika kabendera naona ni more of hearsay isiyo na uthibitisho kabisa unless ataje source. huwa sipendi kuegemea upande mmoja, huwezi kusikia tu kitu ukakiandika kama cha kweli kwa sababu wewe umekiamini. all in all, jiwe alikuwa na roho ya kikatili sana hata kama siamin kila kitu kilichoandikwa na kabendera.
 
Nimetoa changamoto mwisho hapo sikiliza mwenyewe zote mbili, halafu tumia akili yako mwenyewe kutafakari kama kuna ukweli au ni story ya kutunga, kuuza kitabu, kujipatia umaarufu, kulipa kisasi, kumpaka mtu matope kuchangamsha genge.
Ukweli hupatikana kwa kutafakari au kuona, kusikia na kugusa na kuhusianisha na Hali halisi? Kwanini tuamini haya unayosema wewe ni kweli na sio hayo yanayolezwa na Kaflag ambaye na yeye ni Miongoni waliomizwa na Jiwe? Kwamba he had actual experience of the evils of that man?
Kwanini amchafue na alishaoasuka ardhini?
Kwanini unadhani Kabendera anatafuta umaarufu ambao Jiwe alimoa mwenyewe na kimsingi anataka umaarufu wa muziki au siasa? Au umaarufu wa Nini hasa?
 

View: https://youtu.be/HfQqupIGlKM?si=onGz-98ZMq-nvwC3

Kwenye hii video angalia kuanzia dakika ya 50 anasema alimpigia simu Generali mmoja wa JWTZ kwa simu inayoficha mawasiliano yao.

Generali akaenda chumbani kwake, akafunga kufuli, halafu akamwambia subiri kwanza mimi nina kitanda kikubwa hivi, akaingia uvunguni mwa kitanda chake kabla ya kuanza kuongea naye.

Huyu ni generali aliyekuwepo Uganda na kumuondoa Iddi Amin. Ni shujaa.

Sikiliza mwenyewe halafu tumia akili kidogo kutafakari uongo wa kitoto wa aina hii.

Hao majenerali wana nguvu wakiwa jeshini, nje ya hapo ni warembo wa kawaida sana. Iddy Amin aliondolewa madarakani miaka zaidi ya 40 iliyopita. Huenda huyo General alikuwa na 30+ wakati huo. Hadi sasa atakuwa late 60s ama early 70s. Sasa mtu wa umri huo si ni general jina tu.
 
Ukweli hupatikana kwa kutafakari au kuona, kusikia na kugusa na kuhusianisha na Hali halisi? Kwanini tuamini haya unayosema wewe ni kweli na sio hayo yanayolezwa na Kaflag ambaye na yeye ni Miongoni waliomizwa na Jiwe? Kwamba he had actual experience of the evils of that man?
Kwanini amchafue na alishaoasuka ardhini?
Kwanini unadhani Kabendera anatafuta umaarufu ambao Jiwe alimoa mwenyewe na kimsingi anataka umaarufu wa muziki au siasa? Au umaarufu wa Nini hasa?

Umesikiliza hiyo video, ya Generali kujificha chini ya uvungu?

Nimekuambia sikiliza halafu make your own mind up. Conclusion utayoifikia ndiyo unayopaswa kuifikia kutokana uwezo wako wa kuchambua mambo.
 
Back
Top Bottom