Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Tupe Hilo Jibu Basi Mbona Mambo yanakuwa Mengi..

[emoji15]Alafu Kumbe Tunazungumzia Kitabu Cha Paulo[emoji1787][emoji1787] Mi Nikajua Utaniambia MUNGU kumbe Paulo yule Yule Aliyeenda Zake Arabuni Akasema Waliolala katika Kristo Wamepotea [emoji23][emoji23] Au Kuna mwingine

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Ndio huyo kiboko ya waislamu , ila Koran imesema alitumwa na masiha
 
Aisee msijidanganye hakuna Mkristo anaye weza kupambana na Jini aisee hakuna hayo unayo yaongelea wewe ni maigizo yenu na ushirikina wenu.
Mubarridi nyie mkiwa na ulinzi wa devil (shetani)

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good


Wakristo tuna ulinzi wa Malaika

Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.“
 
Usikimbie Maswali Fala Wewe Unatuona Watoto Au..? Uelewa Gani Kuuliza Hilo Swali..? Jibu Kama huna Tufunge Mjadala Maana Hatuwezi Kubishana Na Kibaka Anayejifanya Msomi Wa Biblia kumbe 00000 Kichwani...

Swali Rahisi HUO UJINGA WA MUNGU KATIKA BIBLIA NI UPI..?

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Ila son of Mutah punguza matusi , mwenzako kashatutosha na majini ila hatutishika tutayashughulikia
 
Mubarridi nyie mkiwa na ulinzi wa devil (shetani)

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good


Wakristo tuna ulinzi wa Malaika

Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.“
So companion=guidance?

Ungewezaje kufanya dhambi ilhali shetani hayuko karibu na wewe?Kwani shetani hakunong'onezi ubaya?

Mkuu mimi nimeenda shule na Kiingereza nakijua vizuri.
 
So companion=guidance?

Ungewezaje kufanya dhambi ilhali shetani hayuko karibu na wewe?Kwani shetani hakunong'onezi ubaya?

Mkuu mimi nimeenda shule na Kiingereza nakijua vizuri.
Msome Muhammad vizuri
Anasema wazi devil ndio anamuamrisha kufanya mema, na devil Kawa muislamu

he embraced Islam. He does not order me to do anything but good

 
So companion=guidance?

Ungewezaje kufanya dhambi ilhali shetani hayuko karibu na wewe?Kwani shetani hakunong'onezi ubaya?

Mkuu mimi nimeenda shule na Kiingereza nakijua vizuri.
Alafu anaesababisha utende dhambi ni Allah amesema wazi amekupangia mpaka uzinzi utazini mara ngapi
 
@Chemitoga spensa_e Sote kwa pamoja tumekubaliana kuwa Waisrael ndio Wanamjua Yesu Kuliko Wazungu Sio..[emoji12][emoji12][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji12]View attachment 2118318

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Mi kuongezeka kwa Waislamu na Uislamu sina shida nako kabisa kwakuwa.
Mwalimu wetu Yesu Kristo aliisha tuasa kitambo.

Mathayo 7:12
Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.
13 Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.
14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.
15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

Njoo kwa Yesu Kijana yeye ndiye
NJIA, KWELI na UZIMA
 
So companion=guidance?

Ungewezaje kufanya dhambi ilhali shetani hayuko karibu na wewe?Kwani shetani hakunong'onezi ubaya?

Mkuu mimi nimeenda shule na Kiingereza nakijua vizuri.
Allah amesema wazi usipo fanya dhambi anakutoa uhai analeta mwingine ambae atatenda dhambi
Sahih Muslim 2749
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
 
Msome Muhammad vizuri
Anasema wazi devil ndio anamuamrisha kufanya mema, na devil Kawa muislamu

he embraced Islam. He does not order me to do anything but good

Mkuu haufai kuwa mtafsiri wa lugha.

"Even me,yet Allah helped me against him until he embraced Islam.He does not order me to do anything but good."

Tafsiri:"Hata mimi,bado Mwenyezi Mungu alinisaidia dhidi yake mpaka yeye alipoukumbatia Uislamu.Mwenyezi Mungu haniamrishi kufanya chochote ila jema."

Alafu hiyo quotation yako ni ya kipuuzi.Eti "....he embraced Islam.He does not order me to do anything but good."

he embraced Islam- nakubali ni shetani.

He does not order me to do anything but good- huyu ni Mwenyezi Mungu.
 
Mi kuongezeka kwa Waislamu na Uislamu sina shida nako kabisa kwakuwa.
Mwalimu wetu Yesu Kristo aliisha tuasa kitambo.

Mathayo 7:12
Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.
13 Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.
14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.
15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

Njoo kwa Yesu Kijana yeye ndiye
NJIA, KWELI na UZIMA
Hivi hakuna manabii wauongo wanaotumia jina la yesu humo makanisani?
 
Mkuu haufai kuwa mtafsiri wa lugha.

"Even me,yet Allah helped me against him until he embraced Islam.He does not order me to do anything but good."

Tafsiri:"Hata mimi,bado Mwenyezi Mungu alinisaidia dhidi yake mpaka yeye alipoukumbatia Uislamu.Mwenyezi Mungu haniamrishi kufanya chochote ila jema."

Alafu hiyo quotation yako ni ya kipuuzi.Eti "....he embraced Islam.He does not order me to do anything but good."

he embraced Islam- nakubali ni shetani.

He does not order me to do anything but good- huyu ni Mwenyezi Mungu.
Acha kupotosha , huyu ni shetani Kawa muislamu na anamuamrisha Muhammad kafanya mema
 
Allah amesema wazi usipo fanya dhambi anakutoa uhai analeta mwingine ambae atatenda dhambi
Sahih Muslim 2749
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
Mbona kuna maneno hujayabold ilhali yametoa majibu kwa mtu mwenye hekima.

Mkuu mimi nina miaka 17 tu ila naona unanipotezea muda kwa sababu tangu nipitie hii thread naona unakimbia maswali na kuanzisha yako.

Sipo tayari kushare elimu kupitia hekima kwa mtu ambaye akilini amebase kwenye imani.

Ukitaka hoja na mimi weka Ukristo pembeni na Uislamu pembeni alafu tuanze kuchambua scriptures without biasing za kipumbavu.
 
Acha kupotosha , huyu ni shetani Kawa muislamu na anamuamrisha Muhammad kafanya mema
Yoyote mwenye kujitambua akipitia huu uzi atajua ukweli.Tangu lini shetani akamuamrisha mtu kufanya mema.Bora niende zangu naona umekaa ki imani zaidi pasipo kushirikisha cerebrum yako.
 
Wapo, kama Nabii Tito.
Na mwisho wao uko dhahiri kabisa kama mwisho wa Nabii Tito.
Basi jua yesu aliwazungumzia wao vilevile.Yesu alisema manabii na sio nabii hivyo kama wewe ni mkristo na kutokana na imani yako basi jua Muhhamad sio mtu pekee wa kumshamburia kama ulivyosema Kuna Nabii Tito na wengineo wengi.Wao waislamu Muhhamad ni mtume na nabii wa mwisho.Hivyo kuna baadhi ya wakristo wanapotoshwa na manabii wa uongo humo makanisani.

Nadhani sipo bias coz sitaki kutetea sehemu yoyote but let us discuss as brothers.
 
Yoyote mwenye kujitambua akipitia huu uzi atajua ukweli.Tangu lini shetani akamuamrisha mtu kufanya mema.Bora niende zangu naona umekaa ki imani zaidi pasipo kushirikisha cerebrum yako.
Kwa hiyo unataka kusema shetani Kawa muislamu na hawezi kushauri mema , umekubali mwenyewe kwamba devil ambae alikuwa attached na muhammad Kawa muislamu
 
Mbona kuna maneno hujayabold ilhali yametoa majibu kwa mtu mwenye hekima.

Mkuu mimi nina miaka 17 tu ila naona unanipotezea muda kwa sababu tangu nipitie hii thread naona unakimbia maswali na kuanzisha yako.

Sipo tayari kushare elimu kupitia hekima kwa mtu ambaye akilini amebase kwenye imani.

Ukitaka hoja na mimi weka Ukristo pembeni na Uislamu pembeni alafu tuanze kuchambua scriptures without biasing za kipumbavu.

Mbona kuna maneno hujayabold ilhali yametoa majibu kwa mtu mwenye hekima.

Mkuu mimi nina miaka 17 tu ila naona unanipotezea muda kwa sababu tangu nipitie hii thread naona unakimbia maswali na kuanzisha yako.

Sipo tayari kushare elimu kupitia hekima kwa mtu ambaye akilini amebase kwenye imani.

Ukitaka hoja na mimi weka Ukristo pembeni na Uislamu pembeni alafu tuanze kuchambua scriptures without biasing za kipumbavu.
Mbona ipo wazi kabisa Allah ana need ya watenda dhambi alafu wawe wanamuomba msamaha

By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
 
Back
Top Bottom