Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

We Kafiri Tumia Akili..

Hata Na Wewe Ni Shetani Vilevile upo Hapa kupoteza Watu..

Nimekuuliza Maswali Mengi Hujajibu Hata Moja..

Aya Gani Katika Qur'an Inasema Hayo Maneno Ya Waislam Kulindwa Na Shetani..?

Qur'an Inafundisha Nini Kuhusu Mashetani...[emoji116]

Qur'an 24:21.. Enyi mlio amini! Msizifuate nyayo za Shet'ani. Na atakaye fuata nyayo za Shet'ani basi yeye huamrisha machafu na maovu..

Qur'an 17:53. Waambie waja wangu waseme maneno mazuri, maana Shet'ani huchochea ugomvi baina yao. Hakika Shet'ani ni adui aliye dhaahiri kwa mwanaadamu.

Qur'an 17:37.. Hakika wabadhirifu ni ndugu wa Mashet'ani. Na Shet'ani ni mwenye kumkufuru Mola wake Mlezi...

Zipo Nyingi Ila Hizi Ni Mfano Tu Wa Qur'an inavyowafundisha Waislam kuhusu ubaya wa Shetani..

Kuhusu Kujilinda Pia Qur'an Imetupa Muongozo Wa Kumtegemea MWENYEZI MUNGU MMOJA[emoji116]

Qur'an 114:1-6.. 1. Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, 2. Mfalme wa wanaadamu, 3. Mungu wa wanaadamu, 4. Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, 5. Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, 6. Kutokana na majini na wanaadamu.



TOA HIYO AYA YAKO NAISUBIRIA KAMA WEWE KWELI KIDUME..

Sifa Kubwa Ya Shetani Ni kupoteza Watu kwa Uongo na kuficha Ukweli. Hata Wewe Kafiri Pia Ni Shetani Wa Kibinadamu..


Wakorintho 15:18

Hivyo basi, wooote waliolala katika Kristo wamepotea...
“Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Uislamu ni dini ya haki sio tu ndoa mambo mengi katika uislamu yametolewa ufumbuzi ila wachache katika watu ndio wataelewa.
Hata mirathi pia imewekwa wazi,na sio mirathi tu Bali pia ukarimu,wema,haki,dhulma na uadilifu vyote vipo wazi.
 
We Kafiri Tumia Akili..

Hata Na Wewe Ni Shetani Vilevile upo Hapa kupoteza Watu..

Nimekuuliza Maswali Mengi Hujajibu Hata Moja..

Aya Gani Katika Qur'an Inasema Hayo Maneno Ya Waislam Kulindwa Na Shetani..?

Qur'an Inafundisha Nini Kuhusu Mashetani...[emoji116]

Qur'an 24:21.. Enyi mlio amini! Msizifuate nyayo za Shet'ani. Na atakaye fuata nyayo za Shet'ani basi yeye huamrisha machafu na maovu..

Qur'an 17:53. Waambie waja wangu waseme maneno mazuri, maana Shet'ani huchochea ugomvi baina yao. Hakika Shet'ani ni adui aliye dhaahiri kwa mwanaadamu.

Qur'an 17:37.. Hakika wabadhirifu ni ndugu wa Mashet'ani. Na Shet'ani ni mwenye kumkufuru Mola wake Mlezi...

Zipo Nyingi Ila Hizi Ni Mfano Tu Wa Qur'an inavyowafundisha Waislam kuhusu ubaya wa Shetani..

Kuhusu Kujilinda Pia Qur'an Imetupa Muongozo Wa Kumtegemea MWENYEZI MUNGU MMOJA[emoji116]

Qur'an 114:1-6.. 1. Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, 2. Mfalme wa wanaadamu, 3. Mungu wa wanaadamu, 4. Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, 5. Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, 6. Kutokana na majini na wanaadamu.



TOA HIYO AYA YAKO NAISUBIRIA KAMA WEWE KWELI KIDUME..

Sifa Kubwa Ya Shetani Ni kupoteza Watu kwa Uongo na kuficha Ukweli. Hata Wewe Kafiri Pia Ni Shetani Wa Kibinadamu..


Wakorintho 15:18

Hivyo basi, wooote waliolala katika Kristo wamepotea...

"I looked for the Messenger of Allah and I put my hand on his hair." He said: "Your Shaitan has come to you." I said: "Don't you have a Shaitan?" He said: "Yes, but Allah helped me with him, so he submitted." Sunan an-Nasa'i 3960
 
[emoji1787][emoji1787] Kafiri Mbona Huna Hoja Na kingereza Chako Cha kucopy Ilete Basi Kwa Lugha Yetu Tuone Inasemaje Kama haitakuumbua...

Sisi Waislam Tunafata Qur'an Nimekuambia Nipe Aya Ya Qur'an inayosema Waislam Tunalindwa Na Shetani Hilo Tu..

Mimi Nimeshakupa Ushahidi Kuwa Qur'an Inatuambia Shetani Ni Adui Yetu Mkubwa Waislam Tena Zipo Nyingi sanaaaa..

Hiyo Hadithi Unaleta Kwanza Haijasema Kuwa Shetani Ni Mlinzi Wa Waislam...

Kisa Hicho ulicholeta Ukiacha Mbali Usahihi Wake.. Kinamaanisha Kila Mwanaadamu anayo Nafsi Inayomtuma kufanya maovu hiyo Nafsi Ndio Shetani aliyekusudiwa Hapo. Mfano Unapopanga Kuiba au kuzini au kufanya Dhambi yoyote hiyo Nafsi inayokupa hayo mawazo ndio Shetani aliyetajwa kuwa katika kila nafsi ya Mwanaadamu Ndio Maana Hakuna mtu ambaye hajawahi kuwa na mawazo ya kufanya Dhambi hata wewe Ni shahidi katika Nafsi yako juu ya Hilo. Umeshawahi kuwaza kuzini nk..

Kwetu Waislam hata Wewe Kafiri Mpotoshaji Tunaamini Ni Shetani So Hapa Mimi Nabishana Na Shetani Wa Kibinadamu Likaafir..

LETA AYA KATIKA QUR'AN INAYOSEMA TUNALINDWA NA SHETANI UKISHINDWA WEWE PIA NI SHETANI WA KIBINADAMU..

Jibu na Hili Swali Kutoka Katika Biblia Yako.. HUO UPUMBAVU WA MUNGU KATIKA BIBLIA NI UPI...?

Kor 1:25

Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

YANI KITABU CHA MUNGU KINAMTUKANA MUNGU KWELII [emoji848][emoji848]

Soma hiyooooooooo[emoji116]

Wakorintho 15:18

Hivyo basi, woooooote waliolala katika Kristo wamepotea.
Mutah boy Kama wewe unatumia koran tu weka wazi kwamba bisha hapa na kataa maandiko ya hadith ili nikupige kwa kutumia koran tu

Alafu usilete maana zako za shetani wakati muhammad ameweka wazi kabisa shetani wake kawa muislamu , alafu wewe unambishia
"I looked for the Messenger of Allah and I put my hand on his hair." He said: "Your Shaitan has come to you." I said: "Don't you have a Shaitan?" He said: "Yes, but Allah helped me with him, so he submitted." Sunan an-Nasa'i 3960
 
Katika swala la ndoa dini ya kiislamu ipo vizuri

Ulichokosea ni kusema ipo vizuri bila kumalizia SANA

Uzi wako ungekuwa na maana sn km ungeongezea vizuri sana.

Kifupi ndoa zenu zina uhalisia
 
[emoji1787][emoji1787] Kafiri Unajipa Upofu Wakati Unaelewa. Ila Unaruka ruka Kama Maharage Mabichi. Turudi pale uliposema Waislam Tunalindwa Shetani...

Nimekuambia Hakuna sehemu imeandika Shetani analinda Waislam Kama ulivyokuwa unasema iwe hadithi au iwe aya ya Qur'an Hilo hujajibu umeruka Tayari unasema habari za Shetani kusilimu.

TUMALIZE HILO KWANZA KAMA ULIKUWA UNADANGANYA KUBALI TUJUE WEWE SHETANI WA KIBINADAMU KWANZA..

We Kafiri huna hoja hiyo Hadithi Ilete kwa Lugha Yetu au Kama huwezi Ilete katika Lugha yake ya Asili ambayo Ni kiarabu unionyeshe hapo unaposema Waislam wanalindwa naa Shetani..

Alafu Ujibu Na maswali Yangu sio unarukaruka tu na Vihoja..
Mutah boy kwa nini unampinga Muhammad ambae amesema mna devil companion
...“Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814

companion -one of a pair of things that go together
 
Kama Wewe Kafiri Sio Shetani Kweli Uliopo Hapa kupotosha Watu Waingie katika njia Yako ya UPOTOFU Naomba Tupe Aya Au Hadithi inayohusu Hichi Ulichoandika Hapa.

"Waislam Tunalindwa Na Shetani."

Leta Kwa Lugha Tunayozungumza hapa Ya kiswahili UKISHINDWA Leta katika Lugha yake original ya Arabic..

Kama Vyote Utashindwa Kutakuwa Hakuna Haja Ya kuendelea Na Huu Mdahalo Kwakua Utakuwa Umeonyesha Nia Yako Dhahiri Ya Upotoshaji kwa kuzusha Uongo..

Kwasasa Tumalize Hili Kwanza Kama Hutojibu Basi Baki Na Ukafiri Wako....View attachment 2121037
حَدَّثَنَا عُثْمَانُ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، وَإِسْحَاقُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ، قَالَ إِسْحَاقُ أَخْبَرَنَا وَقَالَ، عُثْمَانُ حَدَّثَنَا جَرِيرٌ، عَنْ مَنْصُورٍ، عَنْ سَالِمِ بْنِ أَبِي الْجَعْدِ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ مَسْعُودٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏"‏ مَا مِنْكُمْ مِنْ أَحَدٍ إِلاَّ وَقَدْ وُكِّلَ بِهِ قَرِينُهُ مِنَ الْجِنِّ ‏"‏ ‏.‏ قَالُوا وَإِيَّاكَ يَا رَسُولَ اللَّهِ قَالَ ‏"‏ وَإِيَّاىَ إِلاَّ أَنَّ اللَّهَ أَعَانَنِي عَلَيْهِ فَأَسْلَمَ فَلاَ يَأْمُرُنِي إِلاَّ بِخَيْرٍ ‏"‏ ‏.‏
 
Kama Wewe Kafiri Sio Shetani Kweli Uliopo Hapa kupotosha Watu Waingie katika njia Yako ya UPOTOFU Naomba Tupe Aya Au Hadithi inayohusu Hichi Ulichoandika Hapa.

"Waislam Tunalindwa Na Shetani."

Leta Kwa Lugha Tunayozungumza hapa Ya kiswahili UKISHINDWA Leta katika Lugha yake original ya Arabic..

Kama Vyote Utashindwa Kutakuwa Hakuna Haja Ya kuendelea Na Huu Mdahalo Kwakua Utakuwa Umeonyesha Nia Yako Dhahiri Ya Upotoshaji kwa kuzusha Uongo..

Kwasasa Tumalize Hili Kwanza Kama Hutojibu Basi Baki Na Ukafiri Wako....View attachment 2121037
Unataka kusema nimeumbwa kwa moto au?
Koran 15:27. Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto
 
Ohoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hayo Maswali Hapo Hujayaona Mbona Unarusha Mada..

We Kafiri Nakuita Shetani kwasababu unatabia na Sifa za Shetani Za Uongo Na Kupotosha Watu..


Turudi Kwenye Mada Soma Tena hizo Post Zangu Mbili Hapo Juu Kisha Lete Majibu....
Ndio nimekujibu mutah boy ,kwa nini unamuita mtu shetani wakati hajaumbwa kwa moto, ukiacha kumpinga Allah ndio tutajadiliana
 
Mutah boy kwa nini unampinga Muhammad ambae amesema mna devil companion
...“Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814

companion -one of a pair of things that go together
Sasa hapa cha ajabu ni kipi? Kila binaadamu ana companion (rafiki) wa kijini , once unapozaliwa unaambatana nae mpaka unapokufa. Na hii ni elimu ya ghaibu ambayo ALLAH alimfunulia Mtume wake awafahamishe watu. Yes huyu jini unaeambatana nae anaweza akasilimu na kuwa na imani moja na muislam au anaweza akawa ni muasi na kupelekea kumchochea mwanadamu afanye maasi. SHIDA NINI HAPO?

Najua christians elimu kuhusu majini huwa hamna na kama mnayo basi ni ya juu juu, hamuwaelewi kiundani cuz mnajua majini wote ni Mashetani kitu ambacho sio kweli Majini wapo waumini na pia wapo waliokufuru ambao huitwa (mashetani/devils). Na wanadamu kadhalika wapo walioaminu na pia wapo wasioamini (mashetani/devils/unbelivers/disbelivers/kuffar).
 
WE KAFIRI NIAMBIE Wapi Hapo Katika Hiyo Hadithi Inasema Shetani Analinda Waislam...? HAKUNA WALA HAITAWAHI KUWEPO KWAKUA UPO HAPA UNAFANYA KAZI YA BABA YAKO SHETANI KUPOTOSHA WATU..View attachment 2121064
Kuna kitu huelewi bisha kwanza kwamba Hadith haisemi shetani Kawa muislamu ndio tuendelee
 
Rafiki wa kijini kwa mwanadamu anaitwa (Qareen)...huyu Qareen akiwa muovu anakuamrisha maasi ndio huitwa shetani (devil) sawa na ukiwa na rafiki wa kibinadamu anaekuamrisha ufanye madhambi tu( huyu rafiki ataitwa Shetani).
 
Sasa hapa cha ajabu ni kipi? Kila binaadamu ana companion (rafiki) wa kijini , once unapozaliwa unaambatana nae mpaka unapokufa. Na hii ni elimu ya ghaibu ambayo ALLAH alimfunulia Mtume wake awafahamishe watu. Yes huyu jini unaeambatana nae anaweza akasilimu na kuwa na imani moja na muislam au anaweza akawa ni muasi na kupelekea kumchochea mwanadamu afanye maasi. SHIDA NINI HAPO?

Najua christians elimu kuhusu majini huwa hamna na kama mnayo basi ni ya juu juu, hamuwaelewi kiundani cuz mnajua majini wote ni Mashetani kitu ambacho sio kweli Majini wapo waumini na pia wapo waliokufuru ambao huitwa (mashetani/devils). Na wanadamu kadhalika wapo walioaminu na pia wapo wasioamini (mashetani/devils/unbelivers/kuffar).
Hii elimu mpe Lotajr nafikiri atakuwa kashakuelewa
 
Sheytwaan (Shetani) ni sifa ya kiumbe muovu/muasi kwa Mungu. So either akiwa jini au mwanadam as long as ni muasi/muovu amekataa kumuamini Mungu...huyu ataitwa shetani (sifa).

Shetani ni kivumishi.

Binadamu/Jini/Iblis /ifreet ni Nomino.

Wapi msipoelewa.?
 
Faida ya kuoa mabinti wa kiislam ni kuwa hawajasoma...hivyo ni rahisi kukadanganya kama katoto...ubaya vinakuwaga viswahili sana
 
Sheytwaan (Shetani) ni sifa ya kiumbe muovu/muasi kwa Mungu. So either akiwa jini au mwanadam as long as ni muasi/muovu amekataa kumuamini Mungu...huyu ataitwa shetani (sifa).

Shetani ni kivumishi.

Binadamu/Jini/Iblis /ifreet ni Nomino.

Wapi msipoelewa.?
Mbona hao viumbe hawapo?
 
Back
Top Bottom