Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

We Kafiri Ni Shetani Hilo Halina Shaka Hata Kama Umeumbwa kwa udongo Allah anasema katika Qur'an Kuna Mashetani wa Kibinadamu kwamaana kwamba nyinyi Makafiri mnaopoteza watu kwa Makusudi mkifanya kazi ya baba Yenu Shetani nanyi mnakuwa Ni Mashetani vile vile.

Mfano Wewe Unapozusha na Kupotosha Watu kuhusu Hili..[emoji116][emoji116]

Leta Hiyo Aya au Hadithi Inasema Haya Uliyosema Kama Huna Wewe Ni Shetani Wakibinadamu..View attachment 2121077
Msome mwenzako hapo juu kaweka sawa ulinzi mnaopatiwa na jini
 
[emoji1787][emoji1787] Kafiri Mbona Huna Hoja Na kingereza Chako Cha kucopy Ilete Basi Kwa Lugha Yetu Tuone Inasemaje Kama haitakuumbua...

Sisi Waislam Tunafata Qur'an Nimekuambia Nipe Aya Ya Qur'an inayosema Waislam Tunalindwa Na Shetani Hilo Tu..

Mimi Nimeshakupa Ushahidi Kuwa Qur'an Inatuambia Shetani Ni Adui Yetu Mkubwa Waislam Tena Zipo Nyingi sanaaaa..

Hiyo Hadithi Unaleta Kwanza Haijasema Kuwa Shetani Ni Mlinzi Wa Waislam...

Kisa Hicho ulicholeta Ukiacha Mbali Usahihi Wake.. Kinamaanisha Kila Mwanaadamu anayo Nafsi Inayomtuma kufanya maovu hiyo Nafsi Ndio Shetani aliyekusudiwa Hapo. Mfano Unapopanga Kuiba au kuzini au kufanya Dhambi yoyote hiyo Nafsi inayokupa hayo mawazo ndio Shetani aliyetajwa kuwa katika kila nafsi ya Mwanaadamu Ndio Maana Hakuna mtu ambaye hajawahi kuwa na mawazo ya kufanya Dhambi hata wewe Ni shahidi katika Nafsi yako juu ya Hilo. Umeshawahi kuwaza kuzini nk..

Kwetu Waislam hata Wewe Kafiri Mpotoshaji Tunaamini Ni Shetani So Hapa Mimi Nabishana Na Shetani Wa Kibinadamu Likaafir..

LETA AYA KATIKA QUR'AN INAYOSEMA TUNALINDWA NA SHETANI UKISHINDWA WEWE PIA NI SHETANI WA KIBINADAMU..

Jibu na Hili Swali Kutoka Katika Biblia Yako.. HUO UPUMBAVU WA MUNGU KATIKA BIBLIA NI UPI...?

Kor 1:25

Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.

YANI KITABU CHA MUNGU KINAMTUKANA MUNGU KWELII [emoji848][emoji848]

Soma hiyooooooooo[emoji116]

Wakorintho 15:18

Hivyo basi, woooooote waliolala katika Kristo wamepotea.
Huyo kafiri spensa_e anakimbia kujibu maswali. Mpaka sasa hajajibu upumbavu wa Mungu ni upi aliyeandika Paulo?
 
Faida ya kuoa mabinti wa kiislam ni kuwa hawajasoma...hivyo ni rahisi kukadanganya kama katoto...ubaya vinakuwaga viswahili sana
Screenshot_2022-02-12-12-55-08-887_com.instagram.android~2.jpg
 
Msome mwenzako hapo juu kaweka sawa ulinzi mnaopatiwa na jini
Hakuna ulinzi unaopewa na jini....Mwanadamu anapozaliwa tu , ALLAH humpa ulinzi wa malaika watano. Malaika wawili wapo mbele na nyuma yako, wawili wapo kushoto na kuliani kwako na mwingine yupo karibu na wewe anakuita ufanye mambo ya kheri. Huu ndio ulinzi wa mwanadamu anaopewa na Mungu. Malaika hawa wanahakikisha kuwa hakuna shari/ kiumbe chochote kitakachoweza kukudhuru isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu.
 
Mutah boy shida husomi nimeshawela majibu mda mrefu Sana

Haujaweka jibu we kafiri

1 Wakorintho

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Jadilianeni pasi na kutukanana au kutoleana maeneno ya kashfa. Waislam nawakumbusha kuwa msiwatukane wasiokuwa waislam ili wasije wakamtukana ALLAH pasi na kujua.
 
Hakuna ulinzi unaopewa na jini....Mwanadamu anapozaliwa tu , ALLAH humpa ulinzi wa malaika watano. Malaika wawili wapo mbele na nyuma yako, wawili wapo kushoto na kuliani kwako na mwingine yupo karibu na wewe anakuita ufanye mambo ya kheri. Huu ndio ulinzi wa mwanadamu anaopewa na Mungu. Malaika hawa wanahakikisha kuwa hakuna shari/ kiumbe chochote kitakachoweza kukudhuru isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu.
Weka andiko
 
Kuna kitu huelewi bisha kwanza kwamba Hadith haisemi shetani Kawa muislamu ndio tuendelee
Kwanza wewe huelwi hata dini yako, maana kama unaelewa usingeliongelea kuhusu shetani.
4:41.LUKA. Inaeleza wazi kuwa Shetani ndie aliesema kuwa Yesu ni mwana wa Mugu. Kishwa wewe unafuata hayo maneno ya Shetani na kujinadi @ mimi ni mkriso.
Pia unatakiwa ujue kuwa Bibilia sio kitabu cha mungu. Soma 1:1. LUKA.
Na uelewe kuwa KRISO sio dini bali ni jila ama cheo cha Bwana Yesu. 4:25-26. YOHANA.
Dini ya Mungu ni hii QURAN. 42:13.
YESU alisema jitieni nira yanu, njifunze kwangu. Wakristo mnao waowa wanawake hayo mafunzo ya kuowa mlijifunza kwa nani?
 
MIMI NATAKA NIMALIZE HILI KWANZA USINIYUMBISHE BAKI NJIA KUU

Leta ushahidi wa Aya au Hadithi inayosema Haya Maneno hapa.

Katika Hiyo Hadithi sijaona Shetani akitajwa hayo Ni Maneno Yako..

Leta hii Aya au Hadithi ikiwa wewe Sio Shetani UKISHINDWA Basi We Kafiri Ni Shetani kwakua una Sifa Za Shetani.. [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2121079
Nimekuwekea maneno ya Muhammad akisema wazi waislamu wote mmeambatanishwa na devil from jinn wakamuuliza mpaka yeye akajibu akasema ndio ata Mimi ninae devil from jinn , ila Allah amemfanya shetani wake Kawa muislamu na shetani wake anamshahuri mazuri

Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good saḥīḥ Muslim 2814

 

Msaidie kafiri mwenzako kwanza​

1 Wakorintho​

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
Usishangae kukutana na Kauli kama hizo za kufru kusema kuwa Mungu ana upumbavu au udhaifu.

ALLAH amewaelezea kina spensa na wenzake katika Aya hii ndani ya Quran

39:67. Na wala hawakumhishimu Mwenyezi Mungu kama anavyo stahiki kadiri yake. Na Siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake, na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kuume. Subhanahu wa Taa´la Ametakasika na Ametukuka na hayo wanayo mshirikisha nayo.
 
Nimekuwekea maneno ya Muhammad akisema wazi waislamu wote mmeambatanishwa na devil from jinn wakamuuliza mpaka yeye akajibu akasema ndio ata Mimi ninae devil from jinn , ila Allah amemfanya shetani wake Kawa muislamu na shetani wake anamshahuri mazuri

Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good

Tuache kuwa hujui kiarabu wala maana ya Qareen kama ilivyotajwa kwenye hadith.

Ikiwa kama wewe ni mkweli hebu tupe andiko iwe kwenye Quran au hadith linalosema Mungu amewapa kazi majini/mashetani wawalinde waislam.
 
Embu Ilete kwa kiswahili Kama ilivyo tuijadili hapa Chap Maana naona unajifunga mwenyewe [emoji1787][emoji1787]
"I looked for the Messenger of Allah and I put my hand on his hair." He said: "Your Shaitan has come to you." I said: "Don't you have a Shaitan?" He said: "Yes, but Allah helped me with him, so he submitted." Sunan an-Nasa'i 3960

Hapa Muhammad anakiri shaitan ambae yupo nae Kawa muislamu
 
Tuache kuwa hujui kiarabu wala maana ya Qareen kama ilivyotajwa kwenye hadith.

Ikiwa kama wewe ni mkweli hebu tupe andiko iwe kwenye Quran au hadith linalosema Mungu amewapa kazi majini/mashetani wawalinde waislam.
Sio Mimi ndio nimeandika shaitan au devil ni nyiee wenyewe waislamu ndio mmeandika
 
Back
Top Bottom