Wanufaika wengi wa elimu ya hio shule ni wakazi wa karibu na shule, hivyo wanyakyusa huwa ni kawaida kuwa wengi hapo saint francis. Ni sawa na Kaizarage ya Bukoba wanafunzi wengi wahaya wa Bukobda.
Ndio maana nikasema Mnyakyusa ni Mhaya aliechangamka sio unaona umeitaja Bukoba,. Mkitoa Rais wa kuiongoza Nchi hii Mimi nitakua nipo mifupa huko chini
Ndio maana nikasema Mnyakyusa ni Mhaya aliechangamka sio unaona umeitaja Bukoba,. Mkitoa Rais wa kuiongoza Nchi hii Mimi nitakua nipo mifupa huko chini
When you talk about power, you refer to the present and not to political history!! Hao uliowataja are politically dead na ndio maana mmoja wao amekimbilia kwenye kuhubili dhidi ya masuala ya USHOGA!!