Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Muuza viatu

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2020
Posts
3,840
Reaction score
7,920
Nilikua 2007 tukiwa kijiwen kwetu tunapiga kazi gerej ya chini ya mwembe akaja jamaa Toyota balloon akatupa maelekezo gari yake inyanyuliwe suspension kwa kuweka maspesa madude flan hv ya kuchonga kwel wanaume tukaingia mzigon tukamfanyia km anavyotaka na yy akatupa stahili yetu lkn wakat kazi inaendelea akatupa dodoso kuwa kwa umahir wetu Dubai tutapiga pesa balaa ktk kukatakata magar na akatuahid kutuunganisha kwa mwarabu ambaye ndiye kazi zake hizo.

Baada ya kupita siku kadhaa jamaa akatuelekeza twende posta kwenye ofisi za huyo muarabu ili kuangalia uwezekano wa kazi wazee tukaenda mpaka ofisin kwa jamaa juu ya ghorofa full kipupwe na soda wengine kahawa ya maziwa tulikunywa baada ya maelezo mafupi sote alitukubali kushirik kwenye mradi wake lkn alisema ili kupata pesa ya kampun kugharamia mchakato mzima wa safar yetu ingegharimu miez km miwil na kwa muda huo lolote linaweza tokea sabab huko Dubai kuna watu kibao ambao hawana kazi ambao wanaweza wakachukuliwa hukohuko na kampun kupunguza gharama za matumiz km vp tujilipie wenyew viza na passport tukifika kule kampun itaturudishia gharama zetu hapo ndipo balaa lilipoanza.

Kwa vile sote hatuna passport tukalazimika kila mmoja wetu kutoa m1.1 ili kufanikisha mchakato wote kuanzia pasport,viza ya kazi,chanjo na mengineyo na kila mmoja wetu alitoa iwe kwa kukopa au kwa kuvunja kibubu.

Tukakaa km wiki hiv kimya hakuna kupigiwa simu tukaona isiwe tabu tukafunga safar mpaka kwenye lile jengo tunaingia ndan tunakuta watu wengine kabisa tukaona tayar baada ya kutoa maelezo kwa tuliowakuta wakatushangaa tukaambiwa kuwa wao wameanza kulitumia hilo jengo siku chache zilizopita na hakuna mwarabu mwajiriwa ktk taasis yao kinyoonge tuakatoka zetu na kuanza msako wa kuwasaka bila mafaniko mwishowe tukalazimika kukubali matokeo.
 
Wamenifanya kuchukia kazi zote za connection serikalini
Baada ya kumaliza masomo nilikaa mtaan hatar akatokea jamaa akaniambia km vp niende magereza kazi ambayo sijawah hata kuifikiria kiutan utan, nikamwambia fulesh ada lak tano nikamshawish akakubal kwa lak barua ya maomb na makaratas mengine tulipeleka wote makao makuu alipoingia mule ndan alipiga nao soga wale jamaa nikaona baas nimeshakua askar magereza nikawa nalazimika Kununua gazet la mwananch kila siku ili nione tangazo la kuitwa kwenye usail mwishowe nilichoka,kuna siku nikapewa habar kuwa siku iliyopita kuliwekwa tangazo la magereza nikalazimika kwenda tabata relin kulitafuta gazet baada ya kuwaelezea washkaj wakanipa ukurasa husika hawakuchukua hata mia na majibu yalikua hola jina halijatoka na laki yangu ikaenda na maji.
 
Mi nilitapeliwa na aliyekuwa rafiki yangu..na urafiki ukaishia hapo mpaka leo pamoja na juhudi kubwa za kupatanishwa zilifeli
Ni vitu vya kawaida nishatapeliwa na rafiki yangu wa utotoni akiwa sasa ni meneja wa bank toa toa pesa hadi laki saba Ili amsaidie jamaa yangu kupata Kazi bank.Pesa akala na akaniruka sijampa pesa.
 
Back
Top Bottom