Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Kama haujawahi kutapeliwa basi bado wewe hujafika mjini, niliuziwa simu Kariakoo 60K , nilijihami mi mtoto wa mjini siwezi kuuziwa Sabuni na kweli alivyonipa tu nikaicheki kweli inawaka vizuri, nikaisweka mfukoni kisha nikamwaambia sepa huku nimeweka uso wa mbuzi.

loh kuja baadae naweka line niwashe inataka codes fulani ambazo sina, kwenda kwa mafundi wote kkoo hawawezi kutoa hizo lock, kucheki mtandaoni wanataka dola 60 sijui huko.

nikaona heee nisije pigwa mara mbili, Bongo na Ulaya coz nitakuwa zuzu la maisha, maadam nisipoweka simcard simu inawaka mpaka mwisho napata calculeta, napiga picha, nasikiliza nyimbo kwenye memory card n.k basi nikawa naitumia kama ipod, ni mwendo wa entertainment tu.

Hahahah sa hv nikiona mtu anauziwa simu za mkononi Kkoo nakuwa emotional, tuweni makini jamani mbinu ni nyingi hujui lini utanasa
 
Mkuu uandishi wako bado sio mzuri, nitaendelea kukukosoa kila siku.
Jifunze namna ya kupangilia mtiririko mzuri wa fikra na Maneno.
Kukosoa sio mbaya kwa sabab hii inamfanya mtu ajifunze ukizingatia sis wengine hatuna ujuzi wa darasan ktk uandish
 
Kati ya watu waliopigwa, mimi ndiyo najiona boya kishenzi.

Utapeli wa kuuziwa mche wa sabuni baadala ya simu kila mtu anaujua siku hizi. Lakini mwaka jana nimeuziwa mche wa sabuni kwa sh. 10,000.

Wiki nzima moyo wangu ulikuwa na ganzi.
Kipande cha songas pale ubungo wizi huo ni maarufu sana,walikuuzia wap hiyo sabun???
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha unacheka km mazur au ww ni mmoja kati ya waliotuchakachua
 
Kama haujawahi kutapeliwa basi bado wewe hujafika mjini, niliuziwa simu Kariakoo 60K , nilijihami mi mtoto wa mjini siwezi kuuziwa Sabuni na kweli alivyonipa tu nikaicheki kweli inawaka vizuri, nikaisweka mfukoni kisha nikamwaambia sepa huku nimeweka uso wa mbuzi.

loh kuja baadae naweka line niwashe inataka codes fulani ambazo sina, kwenda kwa mafundi wote kkoo hawawezi kutoa hizo lock, kucheki mtandaoni wanataka dola 60 sijui huko.

nikaona heee nisije pigwa mara mbili, Bongo na Ulaya coz nitakuwa zuzu la maisha, maadam nisipoweka simcard simu inawaka mpaka mwisho napata calculeta, napiga picha, nasikiliza nyimbo kwenye memory card n.k basi nikawa naitumia kama ipod, ni mwendo wa entertainment tu.

Hahahah sa hv nikiona mtu anauziwa simu za mkononi Kkoo nakuwa emotional, tuweni makini jamani mbinu ni nyingi hujui lini utanasa
Stail hiyo hata mim wangenipata
 
Kama haujawahi kutapeliwa basi bado wewe hujafika mjini, niliuziwa simu Kariakoo 60K , nilijihami mi mtoto wa mjini siwezi kuuziwa Sabuni na kweli alivyonipa tu nikaicheki kweli inawaka vizuri, nikaisweka mfukoni kisha nikamwaambia sepa huku nimeweka uso wa mbuzi.

loh kuja baadae naweka line niwashe inataka codes fulani ambazo sina, kwenda kwa mafundi wote kkoo hawawezi kutoa hizo lock, kucheki mtandaoni wanataka dola 60 sijui huko.

nikaona heee nisije pigwa mara mbili, Bongo na Ulaya coz nitakuwa zuzu la maisha, maadam nisipoweka simcard simu inawaka mpaka mwisho napata calculeta, napiga picha, nasikiliza nyimbo kwenye memory card n.k basi nikawa naitumia kama ipod, ni mwendo wa entertainment tu.

Hahahah sa hv nikiona mtu anauziwa simu za mkononi Kkoo nakuwa emotional, tuweni makini jamani mbinu ni nyingi hujui lini utanasa

at least ulitumia kili zako mpaka mwisho.

ni kama ulipata theluthi hasara.
 
Mi nilitapeliwa na aliyekuwa rafiki yangu..na urafiki ukaishia hapo mpaka leo pamoja na juhudi kubwa za kupatanishwa zilifeli
Angekulipa ungekubali kupatanishwa?
 
ila jamani mbele ya msoto wa maisha,mtu kupigwa sio udhaifu ni bahati mbaya tu.

fikria umemaliza shule unaambiwa kuna kazi tanapa inahitajika 2mln ya fasta watu waende,kama roho mtakatifu hajaingilia kati hapa sio rahisi kuchomoka[emoji23][emoji23]
 
Shuhuda za ofisi fake zishaletwa sana humu.

Kwenye kuuziana vitu watu wanatengeneza ofisi fake pamoja na maofisa fake.

Hii ndio Bongo, hasa Bongo Dar es Salaam
Km kuuziwa maeneo pembezon mwa miji wanakuwekea ofisi ya serikal ya mtaa na watendaj unawakuta tena mchakato unasimamiwa na mtendaj na mwenyekit anahusishwa lkn wote ni feki
 
ila jamani mbele ya msoto wa maisha,mtu kupigwa sio udhaifu ni bahati mbaya tu.

fikria umemaliza shule unaambiwa kuna kazi tanapa inahitajika 2mln ya fasta watu waende,kama roho mtakatifu hajaingilia kati hapa sio rahisi kuchomoka[emoji23][emoji23]
Ktk mchakato wa ajira za serikal mambo hayo huwa yanatokea sana
 
Angekulipa ungekubali kupatanishwa?
Kwa huyu kwa kweli hata angenilipa nilishakata shauri kutoweka ukaribu nae tena manake moyo wa mtu kiza kinene unaweza wekewa sumu. Kama alikuwa na ujasiri wa kudhulumu pesa isiyo yake na akijua hana means za kuilipa unaweza fikiria kichwani mwake alikuwa na plan gani za kufifisha deni lipotee machoni mwake kabisa. Inanikumbusha habari moja ilirushwa channel ten mda kidogo ila YouTube ipo jamaa alimuua rafiki yake kosa tsh 36m za gari aliloahidi kuumuuzia na miezi ikakatika hakuna gari wala mlio wa gari. Jamaa mwisho wa siku kamualika rafiki yake kwake kamuua kamzika mulemule ndani ya uwa na kisha akahama mtaa. Hadi mwaka mmoja baadae maiti ilivobainika kwa wapangaji wapya. Iko YouTube habari hiyo
 
Back
Top Bottom