Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Nililizwa na hawa jamaa wanaojifanya sijui TISS 1.5m ili nipate chansi ya kwenda huko kwa wanaokumbuka mwaka 2011 mlandizi kuna Mzee alipiga zaidi ya vijana 40 nahisi kuna wenzangu tupo wote humu

Shikamoo Mzee ukubwa dawa
Bora ulilizwa tu maana Sasa hivi kazi yao ingekua Ni kutoa watu kucha tu.
 
Kuna jamaa yangu tupo chuo mwaka wa tatu semister ya kwanza,alikua anajidai anajuana sana na ma-officet wa kesho,Basi bana kuna officer alimchek ktk nafasi hizi za JKT ipo chance baada ya jamaa angu kumsumbua sana kupata nafasi KWA ajili ya mtoto wa dada ake.

Si wanaambiwa aaandae laki6 then dogo ajiandae na kila kitu kinachofanyika,Dogo akajiandaa na safari inaanza,kufika Kabuki(migambo) jamaa wanawasiliana,akamwambia kuna gari ya chakula inakuja mambieni TOKA stend kabuki,ausubirie hapo ila watumie hyo hela kabisa,Jamaa kweli wanawasiliana saaafi ikabidi atume.Haya dogo akaanza kusubiri gari mpaka saa4 usiku hola na jamaa hapokei simu kabisaaaaaaaa,piga na kupiga holaaaa.

Ikabidi akalale guest asubuhi akarudi zake tu DSM,na ndo ntoleee.Jamaa anamtisha officer eti atamloga maana hela yenyewe ilikua ya boom.

Officer kakausha na kuendelea na mambo take.Mjini challenge za kudhulumiwa kawaida sanaaa,Mi mwenyewe hapa nishadhulumiwa ki150000 kangu nimenyuti tu
 
Nilikua 2007 tukiwa kijiwen kwetu tunapiga kazi gerej ya chini ya mwembe akaja jamaa Toyota balloon akatupa maelekezo gari yake inyanyuliwe suspension kwa kuweka maspesa madude flan hv ya kuchonga kwel wanaume tukaingia mzigon tukamfanyia km anavyotaka na yy akatupa stahili yetu lkn wakat kazi inaendelea akatupa dodoso kuwa kwa umahir wetu Dubai tutapiga pesa balaa ktk kukatakata magar na akatuahid kutuunganisha
Mkuu ukiona kazi inanza na mambo ya toa hela ujue umepigwa.
 
Kati ya watu waliopigwa, mimi ndiyo najiona boya kishenzi.

Utapeli wa kuuziwa mche wa sabuni baadala ya simu kila mtu anaujua siku hizi. Lakini mwaka jana nimeuziwa mche wa sabuni kwa sh. 10,000.

Wiki nzima moyo wangu ulikuwa na ganzi.
 
Nilikua 2007 tukiwa kijiwen kwetu tunapiga kazi gerej ya chini ya mwembe akaja jamaa Toyota balloon akatupa maelekezo gari yake inyanyuliwe suspension kwa kuweka maspesa madude flan hv ya kuchonga kwel wanaume tukaingia mzigon tukamfanyia km anavyotaka na yy akatupa stahili yetu lkn wakat kazi inaendelea akatupa dodoso kuwa kwa umahir wetu Dubai tutapiga pesa balaa ktk kukatakata magar na akatuahid kutuunganisha kwa mwarabu ambaye ndiye kazi zake hizo.

Baada ya kupita siku kadhaa jamaa akatuelekeza twende posta kwenye ofisi za huyo muarabu ili kuangalia uwezekano wa kazi wazee tukaenda mpaka ofisin kwa jamaa juu ya ghorofa full kipupwe na soda wengine kahawa ya maziwa tulikunywa baada ya maelezo mafupi sote alitukubali kushirik kwenye mradi wake lkn alisema ili kupata pesa ya kampun kugharamia mchakato mzima wa safar yetu ingegharimu miez km miwil na kwa muda huo lolote linaweza tokea sabab huko Dubai kuna watu kibao ambao hawana kazi ambao wanaweza wakachukuliwa hukohuko na kampun kupunguza gharama za matumiz km vp tujilipie wenyew viza na passport tukifika kule kampun itaturudishia gharama zetu hapo ndipo balaa lilipoanza.

Kwa vile sote hatuna passport tukalazimika kila mmoja wetu kutoa m1.1 ili kufanikisha mchakato wote kuanzia pasport,viza ya kazi,chanjo na mengineyo na kila mmoja wetu alitoa iwe kwa kukopa au kwa kuvunja kibubu.

Tukakaa km wiki hiv kimya hakuna kupigiwa simu tukaona isiwe tabu tukafunga safar mpaka kwenye lile jengo tunaingia ndan tunakuta watu wengine kabisa tukaona tayar baada ya kutoa maelezo kwa tuliowakuta wakatushangaa tukaambiwa kuwa wao wameanza kulitumia hilo jengo siku chache zilizopita na hakuna mwarabu mwajiriwa ktk taasis yao kinyoonge tuakatoka zetu na kuanza msako wa kuwasaka bila mafaniko mwishowe tukalazimika kukubali matokeo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom