Kuna jamaa yangu tupo chuo mwaka wa tatu semister ya kwanza,alikua anajidai anajuana sana na ma-officet wa kesho,Basi bana kuna officer alimchek ktk nafasi hizi za JKT ipo chance baada ya jamaa angu kumsumbua sana kupata nafasi KWA ajili ya mtoto wa dada ake.
Si wanaambiwa aaandae laki6 then dogo ajiandae na kila kitu kinachofanyika,Dogo akajiandaa na safari inaanza,kufika Kabuki(migambo) jamaa wanawasiliana,akamwambia kuna gari ya chakula inakuja mambieni TOKA stend kabuki,ausubirie hapo ila watumie hyo hela kabisa,Jamaa kweli wanawasiliana saaafi ikabidi atume.Haya dogo akaanza kusubiri gari mpaka saa4 usiku hola na jamaa hapokei simu kabisaaaaaaaa,piga na kupiga holaaaa.
Ikabidi akalale guest asubuhi akarudi zake tu DSM,na ndo ntoleee.Jamaa anamtisha officer eti atamloga maana hela yenyewe ilikua ya boom.
Officer kakausha na kuendelea na mambo take.Mjini challenge za kudhulumiwa kawaida sanaaa,Mi mwenyewe hapa nishadhulumiwa ki150000 kangu nimenyuti tu