Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Unaweza ukafanikiwa kufanya dhuluma lakini laana au adhabu itokanayo na dhuluma huwezi ikwepa hapahapa Duniani.
Utakuta familia inasamaratika au hata mkiishi ni kimkanda mkanda tu, watoto wanawasumbua kitabia hamuelewani, kuwa mtumwa wa madeni kwa mikopo isoisha, kuharibikiwa vitu mala Gari imegongwa mara vile n.k mara changamoto za magonjwa n.k
Tutubu tuache mabaya tutendeane mema kama alivyoagiza Mwenyezi Mungu.
Utakuta familia inasamaratika au hata mkiishi ni kimkanda mkanda tu, watoto wanawasumbua kitabia hamuelewani, kuwa mtumwa wa madeni kwa mikopo isoisha, kuharibikiwa vitu mala Gari imegongwa mara vile n.k mara changamoto za magonjwa n.k
Tutubu tuache mabaya tutendeane mema kama alivyoagiza Mwenyezi Mungu.