Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Katika ulimwengu wa kutafuta pesa kudhulumiwa kawaida sana

Hapo hakuzulumiwa hapo ni mlitapeliwa[emoji23][emoji23] kaiwada sana changamoto kama hizo.
 
Kuna kipindi nilikua Ubungo nikawa naenda kuchill kwa pusha wangu mmoja maeneo ya Ubungo. Sasa kuna wadau walikuwa wanafanya kazi pale stendi walikuwa wanakuja kusizi shada pale.
Siku moja wakaja katika stori jamaa akatuambia alimpigia debe abiria mmoja anaenda mkoani mpaka akapata tiketi basi alivyofanikiwa kupanda ndani ya gari, akamuita jamaa, jamaa akasogea dirishani. Abiria akamwambia "nashukuru nimepata gari ndugu yangu" jamaa akamjibu "Usijali kabisa, lakini vizuri ukakata tiketi siku ukitaka kurudi dsm unapanda tu gari. Mteja kwa sifa akalipa nauli 35k akakatiwa tiketi. Jamaa akjipatia 35k kiulaini. Akaamsha. Nilicheka sana, ingawa inasikitisha kwa kiasi fulani.
 
Kuna kipindi nilikua Ubungo nikawa naenda kuchill kwa pusha wangu mmoja maeneo ya Ubungo. Sasa kuna wadau walikuwa wanafanya kazi pale stendi walikuwa wanakuja kusizi shada pale.
Siku moja wakaja katika stori jamaa akatuambia alimpigia debe abiria mmoja anaenda mkoani mpaka akapata tiketi basi alivyofanikiwa kupanda ndani ya gari, akamuita jamaa, jamaa akasogea dirishani. Abiria akamwambia "nashukuru nimepata gari ndugu yangu" jamaa akamjibu "Usijali kabisa, lakini vizuri ukakata tiketi siku ukitaka kurudi dsm unapanda tu gari. Mteja kwa sifa akalipa nauli 35k akakatiwa tiketi. Jamaa akjipatia 35k kiulaini. Akaamsha. Nilicheka sana, ingawa inasikitisha kwa kiasi fulani.
Unamaanisha alikata tiket ya kurud kabisa
 
Mimi kuna kipindi nikafatwa na mwanangu mmoja akaniambia kuna ajira imetoka, mshahara wa kutosha na nyumba pamoja na usafiri. Nikaona jambo jema, basi akawa anawasiliana na huyo mtu, huyo jamaa akatuagiza vyeti pamoja na 50k kila mmoja ili amlipe jamaa aweze kututetea katika interview. Tukajichanga hapo kama mtu nne hivi, tukatuma hela. Baada ya nusu saa tukampigia atupe utaratibu wa interview na eneo la interview. Jamaa hapatikani basi ikabaki kuangaliana na kusikitika. Na tulishiwa kumlaumu jamaa kwa sababu hata yeye aliunganishwa na huyo mtu, alikuwa hamfahamu kabisa na yeye akawa amepigwa 50k.
 
Daaah kiukweli inauma Sanaaa. Mm sijakutana na mazingira ya kutapeliwa ila ya kudhurumiwa baada ya kazi.
Kuna jamaa aliniunganisha na fundi wa magari nilihitaji kubadilisha body ya gari Suzuki escudo. Basi Alie niunganishia nikampa posho yake na gari ilibadilishwa body vzr. Baada ya wiki mbili akanipigua kua ana matatizo nimkopeshe elfu 50, atanilipa baada ya siku tatu. Toka mwezi wa 6 mpka Leo simu zangu hapokei, ila kitaa nakutana nae. Nilipoenda kumuuliza fundi nikaambiwa ndio tabia zake jamaa Ni mdhurumaji.

Kuna kazi nlifanya ilikua ya tsh 1.15m, nilipomaliza nililipwa laki 8.5 laki tatu iliuobaki mpka leo sijalipwa toka mwezi wa 8. Nikimpigia simu hapokei, message hajibu. Ndo imeisha hyo. Ila online kila siku yupo. Na hyo ilikua Ni kazi ya pili, ya kwanza alitulipa vzr.

Kuna engineer alinipa kazi ya kulipua mawe kwa baruti, ilikua ya mil 2.5. akanilipa milioni 1.45. ikabaki milioni 2 na elfu 50. Anazingua kunipa na mm nikagoma kulipua mawe yaliyobaki na Ni ingawa Ni machache. ila hskujua nikimpigia simu hapokei. Sasa siku ameenda kukagua baada ya miezi 2 akakuta sijamaliza ikabidi anitafute nikamchana tu ukweli kua ma engineer wengine Ni wakorofi hamlipi hela kazi ikiisha.

Kuna jamaa alikopa kazi ya laki 2 na 40. Toka mwezi wa 5 mpaka Leo nikimpigia ananijibu hela Hana. Yaan kirahic tu halafu Ni mbabe nimeamua kuacha tu.

Niliunganishiwa kazi na baba yangu mdogo kabisa, ilipoisha akaenda yeye kuchukua hela. Akabski ananizungusha tu, ilikua laki 5.

Kuna jamaa nilimpa kazi ya 240k, Sasa kabla hajaanza akadai advance ya 60k. Nilipompa sikumuona Tena. Nikamfuatilia Hadi kwake nikamkuta mkewe mjamzito kumuuliza akaanza tu kulia maana matatizo Ni mengi. Nilipanga nimpeleke polis ila nilipoona maisha yake na wife wake nikaamua kumuacha tu.
Matukio ya kudhurumiwa wakati wa upambani yanatokea Sana. Inauma Sana Lin hakuna namna.
 
Wale jamaa wana uzoefu na vurugu usije ukadundwa na kufokolewa vyako
Wanapigika vizuri tu.

Kuna teja mitaa ya Hazina alitaka kuniletea kibesi anidhulumu jero yangu, mbele ya mateja wenzie na ana silaha ya bisibisi nikamchakaza fasta.

Tapeli/mwizi kama kakuibia na kidhibiti kipo anaishiwa nguvu automatically. Ukishindwa kumpiga mwenyewe unampigia makelele ya mwizi, raia wanakusaidia kumpiga
 
Wanapigika vizuri tu.

Kuna teja mitaa ya Hazina alitaka kuniletea kibesi anidhulumu jero yangu, mbele ya mateja wenzie na ana silaha ya bisibisi nikamchakaza fasta.

Tapeli/mwizi kama kakuibia na kidhibiti kipo anaishiwa nguvu automatically. Ukishindwa kumpiga mwenyewe unampigia makelele ya mwizi, raia wanakusaidia kumpiga
Inaonesha upo vzr kidogo mim na ngum tofaut sichelew kujaa upepo na kuanza kutetemeka mwishowe naanza kulia kabla ngumi hazijaanza
 
Inaonesha upo vzr kidogo mim na ngum tofaut sichelew kujaa upepo na kuanza kutetemeka mwishowe naanza kulia kabla ngumi hazijaanza
Kumdhibiti mwizi siyo lazima uwe mbabe mkuu, 75% lazima umshinde hata kama ana mwili nyumba. Kama huna nguvu, kumshinda mwizi unampigia makelele ya kumjazia watu, bhaaasi.
 
Km hapa karume mchikichin kwa sis wauza viat kuna kipind tulikuwa tunazurumiwa sana,anakuja dalal anachukua viat mguu mmoja anakwambia anampelekea mteja wake kuna sehem kamuweka baadae anarud anakwambia kapenda kadhaa anataka mguu wa pil ili itimia pea mdau alipie baada ya hapo yule dalal anahama kijiwe na ww ishakula kwako mnaanza kutafutana ukienda uongoz wa soko anakubal deni na kukulipa kidogokidogo ktk lak anakwambia atatoa elf kum kwa kila wik.
Lkn baadae tukaona hawa dawa yao kumalizana nao kihun akichukua viat vyako unamtafuta muhun mwenzake unamwambia nitafutie jamaa fulan siku akiwa yupo vzr kipesa na kimavaz nishtue,siku akikushtua unamkamata na kumvua kila kitu unamuacha na boksa tu kias chochote cha pesa utakachomkuta nacho iwe kimepungua au kimezid hapo mnakua mmemalizana nae.
Tangu tuanze utaratibu huo siku hiz hata akikuchukulia siku ya pil asubuh anakuja na kukupa utaratibu wa kulipa.
 
Km hapa karume mchikichin kwa sis wauza viat kuna kipind tulikuwa tunazurumiwa sana,anakuja dalal anachukua viat mguu mmoja anakwambia anampelekea mteja wake kuna sehem kamuweka baadae anarud anakwambia kapenda kadhaa anataka mguu wa pil ili itimia pea mdau alipie baada ya hapo yule dalal anahama kijiwe na ww ishakula kwako mnaanza kutafutana ukienda uongoz wa soko anakubal deni na kukulipa kidogokidogo ktk lak anakwambia atatoa elf kum kwa kila wik.
Lkn baadae tukaona hawa dawa yao kumalizana nao kihun akichukua viat vyako unamtafuta muhun mwenzake unamwambia nitafutie jamaa fulan siku akiwa yupo vzr kipesa na kimavaz nishtue,siku akikushtua unamkamata na kumvua kila kitu unamuacha na boksa tu kias chochote cha pesa utakachomkuta nacho iwe kimepungua au kimezid hapo mnakua mmemalizana nae.
Tangu tuanze utaratibu huo siku hiz hata akikuchukulia siku ya pil asubuh anakuja na kukupa utaratibu wa kulipa.
Daaah huo moyo mm Sina kabisa yaani nakataga tamaa mapema Sanaa. Hata iwe kubwa vipi. Najijua Nina hasira Sana nikijaa upepo naweza kuvunja mtu mifupa.
 
Daaah huo moyo mm Sina kabisa yaani nakataga tamaa mapema Sanaa. Hata iwe kubwa vipi. Najijua Nina hasira Sana nikijaa upepo naweza kuvunja mtu mifupa.
Muda mwingine tabia ya MTU inabadilika kulingana na mazingira kwa hiyo hata ww ukija mazingira haya jazba zako zitapungua tu
 
Back
Top Bottom