Uchaguzi 2020 Katika wagombea Urais, Tundu Lissu ndiye mwenye uwezo, historia na haiba ya kupaisha heshima ya Tanzania katika diplomasia na ushirikiano wa kimataifa

Katika vitu ambavyo CCM wamewakosea watanzania ni kumpa nchi Jiwe , huku wakijua kabisa kwa kuonywa na kuelezwa Haiba yake na historia yake , eti nchi ina uwt mhutu anachukuaje nchi ? Usalama wa Taifa nchi inakabidhiwa mikononi mwa mhutu yapo tu yanaangalia.
 
Unajua chadema wanajirusha mitandaoni kama wamekatwa vichwa ndiyo maana uungwaji mkono wa Lissu unazidi kupungua kwa kasi ya SS kwenye mikutano yake.mfano SHY TOWN, TABORA NA LEO DODOMA.Mnatetea hoja zenye mashaka mbele ya wapiga kura. Badala ya kumjenga mnambomoa kwa kupalilia ujuha.Mawazo yenu mnajidanganya kuwa mitandaoni mmejificha
 
Wajinga bado wapo. Siku hizi ni zama za Sayansi na Teknolojia. Si kama ilivyokuwa miaka ya zamani.
Chukua mfano wa Marais kama Trump,Xi Jinping, Vladmir Putin nk tangu waingie madarakani wamefanya safari ngapi za kwenda nje ya Nchi zao?
Siku hizi ukitaka kufanya biashara na Nchi yoyote ile siyo lazima kwenda kufanya majadiliano huko. Kuna njia nyingi za mawasiliano.
 
Jiwe ameanza jana kuwashikisha adabu ili siku nyingine mkome kujilinganisha naye leo kawapiga goli la pili pale simiyu,kesho mtakipata cha moto mkendo stadium, atakapoingia viwanja vyake pale rocky city mtapigwa goli la nne.Chezea hengine siyo lake zone . Lissu walimpokea pale furahisha akazani amechukua nchi. Jiandaeni kujificha kuanzia kesho.Poleni kwa weekend mbaya yenye
Mwambieni mgombea wenu haraka aende Mbeya japo akapunguze stress kwa sugu.Lake zone inakwenda kumaliza mechi, hahaha mliyataka wenyewe
 

..hao wanaweza kukusanya African Union nzima kwenda ktk nchi zao.

..hukusikia Russia-Africa summit iliyofanyika mwaka 2019 Sochi?

..sasa tunatakiwa tuwe na Raisi ambaye akifika ktk summit kama hiyo anatoka na deal nzuri kuliko wenzake.

..Nyerere alikuwa anapewa nafasi ya kuzisemea nchi za Africa kutokana na jinsi bongo yake ilivyokuwa inachemka.

.. jiulize kama Jpm anaweza kupewa heshima kama hiyo.
 
Ukweli mchungu
 
Sasa ni Zamu ya Tundu Lissu kulindima kwenye vyombo vya kimataifa
 
NI YEYE!
 
Kwanza huyo tundulisu wenu atuambie yeye na chadema yake yote kwa ujumla, jeee naowameungana na MAGUFULI kwamba korona imeisha Tanzania?
Mbona hawachukui tahadhali yoyotee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…