muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Sijawai kuona mwanaume mwenye mambo ya kipumbavu kama huyu mpuuzi Anayejiita dudu baya,
WCB kumshika mkono huyu mdingi naona amechanganyikiwa kabisa
Kutwa nzima anashinda mtandaoni kutupa vijembe kwa Clouds Media
Mtu mwenyewe aliishafulia kitambo hata sioni anachokiimba eti na yeye anajiita msanii😂😂😂😂😂
Eti nako kadudubaya kanabifu na clouds hivi haka kadudubaya nako kana nini cha kushindana na clouds?
Kanabebwa na diamond halafu kama vile wastafi festival ni yakwake😂😂
Hata diamond mwenyewe hatoi vijembe kwa clouds kwa kasi hivyo kama haka ka dudubaya
Sijui hata huko wasafi festival katakua kanaperform nyimbo gani?
Dudu baya wewe ulikua kwenye game kitambo likakushinda huna hata jambo lolote la maana ulilolifanya saivi umebaki kua mlamba viatu Wa diamond platinum
Nakushauri acha umbea pambana na Hali yako clouds is a big brand
Bumbavu
WCB kumshika mkono huyu mdingi naona amechanganyikiwa kabisa
Kutwa nzima anashinda mtandaoni kutupa vijembe kwa Clouds Media
Mtu mwenyewe aliishafulia kitambo hata sioni anachokiimba eti na yeye anajiita msanii😂😂😂😂😂
Eti nako kadudubaya kanabifu na clouds hivi haka kadudubaya nako kana nini cha kushindana na clouds?
Kanabebwa na diamond halafu kama vile wastafi festival ni yakwake😂😂
Hata diamond mwenyewe hatoi vijembe kwa clouds kwa kasi hivyo kama haka ka dudubaya
Sijui hata huko wasafi festival katakua kanaperform nyimbo gani?
Dudu baya wewe ulikua kwenye game kitambo likakushinda huna hata jambo lolote la maana ulilolifanya saivi umebaki kua mlamba viatu Wa diamond platinum
Nakushauri acha umbea pambana na Hali yako clouds is a big brand
Bumbavu