Katika watu waliopungukiwa na akili dudu baya ni namba moja

Katika watu waliopungukiwa na akili dudu baya ni namba moja

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Sijawai kuona mwanaume mwenye mambo ya kipumbavu kama huyu mpuuzi Anayejiita dudu baya,

WCB kumshika mkono huyu mdingi naona amechanganyikiwa kabisa
Kutwa nzima anashinda mtandaoni kutupa vijembe kwa Clouds Media

Mtu mwenyewe aliishafulia kitambo hata sioni anachokiimba eti na yeye anajiita msanii😂😂😂😂😂

Eti nako kadudubaya kanabifu na clouds hivi haka kadudubaya nako kana nini cha kushindana na clouds?

Kanabebwa na diamond halafu kama vile wastafi festival ni yakwake😂😂

Hata diamond mwenyewe hatoi vijembe kwa clouds kwa kasi hivyo kama haka ka dudubaya

Sijui hata huko wasafi festival katakua kanaperform nyimbo gani?

Dudu baya wewe ulikua kwenye game kitambo likakushinda huna hata jambo lolote la maana ulilolifanya saivi umebaki kua mlamba viatu Wa diamond platinum

Nakushauri acha umbea pambana na Hali yako clouds is a big brand

Bumbavu
 
Bongo kiki moja inakupa ugali mezani. WCB wanajua kutumia fursa kama hizo. Dudu bado anao mashabiki, kuna kitu WCB wananufaika.
Dudu naye anamashabiki😂😂😂😂😂😂
 
Sijawai kuona mwanaume mwenye mambo ya kipumbavu kama huyu mpuuzi Anayejiita dudu baya,

WCB kumshika mkono huyu mdingi naona amechanganyikiwa kabisa
Kutwa nzima anashinda mtandaoni kutupa vijembe kwa Clouds Media

Mtu mwenyewe aliishafulia kitambo hata sioni anachokiimba eti na yeye anajiita msanii😂😂😂😂😂

Eti nako kadudubaya kanabifu na clouds hivi haka kadudubaya nako kana nini cha kushindana na clouds?

Kanabebwa na diamond halafu kama vile wastafi festival ni yakwake😂😂

Hata diamond mwenyewe hatoi vijembe kwa clouds kwa kasi hivyo kama haka ka dudubaya

Sijui hata huko wasafi festival katakua kanaperform nyimbo gani?

Dudu baya wewe ulikua kwenye game kitambo likakushinda huna hata jambo lolote la maana ulilolifanya saivi umebaki kua mlamba viatu Wa diamond platinum

Nakushauri acha umbea pambana na Hali yako clouds is a big bland

Bumbavu

= brand
 
Huyo ni bendera fuata upepo. Kuishiwa kuna ya sana, hasa ukiwa huna jinsi ya kujikwamua.
 
Hapa palipofikia makundi mawili tu ya watu ndo yata survive na kuinjoy,
1. kundi la wasio na akili ila wameamua kua wanafki kupita kiwango
2. Kundi la walio smart kichwani na wataalam wakupangua changamoto wenyewe bila lawana na visingizio vya kushndwa

Makundi mawili yanayoelekea kufa kbsa
1. Wazee wa kudanga/mizinga na wajanja wajanja wa kihuni.
2. Wale wazee wa kusubr ma gap na wenye imani ya kua kutesa n kwa zamu, pasipo kujua ya kua unaweza ule msoto kuanzia unatoka kiunoni mpk unazama shimoni tena na dhambi za kutosha juu.
 
Back
Top Bottom