Katika watu waliopungukiwa na akili dudu baya ni namba moja

Katika watu waliopungukiwa na akili dudu baya ni namba moja

Dudu naye anamashabiki😂😂😂😂😂😂
Kama una marinda mikono Juuu, Konki konk konki master. Fiesta ya wasio na marinda nasikia iko Kawe. Watu wanashangilia mshiko unaingia.
 
Sijawai kuona mwanaume mwenye mambo ya kipumbavu kama huyu mpuuzi Anayejiita dudu baya,

WCB kumshika mkono huyu mdingi naona amechanganyikiwa kabisa
Kutwa nzima anashinda mtandaoni kutupa vijembe kwa Clouds Media

Mtu mwenyewe aliishafulia kitambo hata sioni anachokiimba eti na yeye anajiita msanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti nako kadudubaya kanabifu na clouds hivi haka kadudubaya nako kana nini cha kushindana na clouds?

Kanabebwa na diamond halafu kama vile wastafi festival ni yakwake[emoji23][emoji23]

Hata diamond mwenyewe hatoi vijembe kwa clouds kwa kasi hivyo kama haka ka dudubaya

Sijui hata huko wasafi festival katakua kanaperform nyimbo gani?

Dudu baya wewe ulikua kwenye game kitambo likakushinda huna hata jambo lolote la maana ulilolifanya saivi umebaki kua mlamba viatu Wa diamond platinum

Nakushauri acha umbea pambana na Hali yako clouds is a big brand

Bumbavu

marinda aka soda bado hipo.wenzako wanatafuta pesa kwa usanii wewe una baki kuuliza
 
Nawaza hii Kik ya konk konk ikiisha atajificha wap....maan anafosi mno.
 
Back
Top Bottom