Katika watu waliopungukiwa na akili dudu baya ni namba moja

Wewe muongezee tu hiyo akili maana hapa kila mmoja zinamtosha mwenyewe tu!kama huna za kumbust mpotezee.
 
Heshima yako bibi kifimbo cheza ki ukweli tumekumisi mama.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha masihara na wazee wa jf...hawa wanaheshimika sana humu...ni kama wastaafu kwa hyo wanakula kinuua mgongo cha 25%
 
Mambo yao waachie wenyewe...

Mwisho wa siku its all about business...


Cc: mahondaw
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…