Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.