Katika wote waliopata PhD za heshima, hakuna anayeistahili kama Babu Tale

Katika wote waliopata PhD za heshima, hakuna anayeistahili kama Babu Tale

Kumbe PhD zinauzwa kama njungu kwennye viunga vya Bunge!!

Tatizo watu wanataka teuzi.

Mamlaka za uteuzi nazo zibadilike wasidhani Masters au PHD ndio kigezo kikubwa cha weledi ktk utendaji, unaweza kuta Diploma au degree holder akawa mzuri zaidi kuliko mwenye masters ya mchongo.

Watu wengi wanaamini akiwa dokta au akiwa ma masters basi ni raihisi sana kuteuliwa au hata kupandishwa juu zaidi!! matokeo yake sasa wananunua kama njugu, tija 0.
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
Na ya kumtoa kafara mkewe ili apate ubunge bila kupingwa
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
Wewe kama siyo mtoto wa miaka 17 basi una mtindio
 
kumbe PHD zinauzwa kama njungu kwennye viunga vya Bunge!!

Tatizo watu wanataka teuzi.

Mamlaka za uteuzi nazo zibadilike wasidhani Masters au PHD ndio kigezo kikubwa cha weledi ktk utendaji.

watu wengi wanaamini akiwa dokta au akiwa ma masters basi ni raihisi sana kuteuliwa au hata kupandishwa juu zaidi!! matokeo yake sasa wananunua kama njugu
Hizo PhD ni award tu na wala kwenye CV hazikai kwenye section ya education history.

Na utaratibu aliyepewa hapaswi kiiongeza kwenye jina lake sema wabongo wakipata basi wanataka watambulike kama vile wamesomea.
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
PhD za mchongo
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
Ningekua na uwezo wa kusafirisha makofi ningekutumia kontena. Yani wiki nzima kila unavyohema unayaoga. Uso ungechanika huo.

Wewe una miliki simu ina akili kuliko wewe!! Inakataa hadi kuandika vilivyonyooka inaweka spelling mistakes bado umo tu.
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
Jipeleke mirembe mwenyewe
 
CCM motoni DIRECT
FB_IMG_1675965265640.jpg
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Ta

Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.ilNiN
Nilitak nikutu
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
Nilitak nikutukane ila haina maan nikakumbuk hizi honorary doctorate hata marekani wakina
1.denzel Washington
2.puff Diddy
3.mark Zuckerberg
4.0prah Winfrey n.k
Wanazo hizi heshima kutok vyuo mbalimbali marekani na nikuelez tu kwamb hii Ni heshima anapewa mtu alieleta changes or transformation in a community
N.b. Hawa watu hapo juu walitunukiwa na vyuo, hawakununua Wala kushinikiza kupewa hzo awards.
 
Kuna watu nchi hii ni maboga kweli....
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.

Vimeleta impact gani kwa taifa na kimataifa
 
Back
Top Bottom