kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Wewe hata hujui PhD ni shahada au tuzo ya aina gani😂🤣Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.