Katika wote waliopata PhD za heshima, hakuna anayeistahili kama Babu Tale

Katika wote waliopata PhD za heshima, hakuna anayeistahili kama Babu Tale

Hizo PhD ni award tu na wala kwenye CV hazikai kwenye section ya education history.
Na utaratibu aliyepewa hapaswi kiiongeza kwenye jina lake sema wabongo wakipata basi wanataka watambulike kama vile wamesomea
Warejee kwa JK wa kwanza, alipewa PhD ya Sheria na chuo cha Edinburgh lakini hakuwahi kujiita Dokta.
 
Huyo kijana mdogo tu wako wakongwe wa hizo kazi. Bora hata marehemu Ruge angepewa
 

Attachments

  • images (21).jpeg
    images (21).jpeg
    35.7 KB · Views: 4
Hapana huwez fananisha federal leaders km marais, mabalozi na huyo mtoto wa mtaani,,,yaan hapo ndo umechafua hali ya hewa
Kikwete ndo the best leader when it comes to solving diplomatic matters ashakuw kiongozi wa kitaif na kimataifa eac,au na sadc same kwa Samia Ni kiongoz mkubwa
Huyo tale wako hakun Cha maan amefany kuwasimamia wasanii wabongo huwez ku relate na shughuli za kitaifa.... Give me a break
Kikwete na viongozi wengi hamna kitu. Huwa wanaenda tu ilimradi mihula yao iishe salama na wao kujitajirisha tu.
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
Hana tofauti na Dr Chinga anayeuza mitumba pale Kariakoo.
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.
toa comparative advantage kwa ushahidi kwa hayo unayosema badala ya kutoa kauli za jumla

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Hujaona mziki wa WCB ulivyotutangaza kimataifa? Hujaona watu waliopata ajira kupitia WCB na hata Tip Top? Unaweza usikubaliane na itikadi za Tale, lakini mchango wake ni wa kustahili Phd kabisa.
Miziki imejaa mitusi kila verse ndio inatutangaza?. Nani asiyeijua Tanzania mpaka tutangazwe na kina tale?.
 
Na utaratibu aliyepewa hapaswi kiiongeza kwenye jina lake sema wabongo wakipata basi wanataka watambulike kama vile wamesomea.
Ajabu sana. Nyerere alipewa zaidi ya kumi, lakini hakuwahi kujiita Dr Nyerere. Hawa wa leo sasa...
 
Waliopewa wote mkiwapa karatasi wajitetee au kujieleza kwanini walipewa, hawana uwezo wa kuandika hata karatasi 2
 
Kumbe PhD zinauzwa kama njungu kwennye viunga vya Bunge!!

Tatizo watu wanataka teuzi.

Mamlaka za uteuzi nazo zibadilike wasidhani Masters au PHD ndio kigezo kikubwa cha weledi ktk utendaji.

Watu wengi wanaamini akiwa dokta au akiwa ma masters basi ni raihisi sana kuteuliwa au hata kupandishwa juu zaidi!! matokeo yake sasa wananunua kama njugu
Vigezo vingi ktk ajira vinataka ubobezi kwenye fani husika, ila ubobezi unasaidia mtu anapoajiriwa na taasisi zenye kutengeneza mipango,research na zenye kuandika paper at least masters ni muhimu.
sasa unamchukua mtu wa digrii moja hajui kuandika itakuwaje.
sema katika huo ubobezi ndiko zinakoibgia fake, lakini pia kwa vijana wengi siku hizi hasa wale vipanga wakimaliza tu digrii ya kwanza wanaunga kwenye ubobezi na inakua advantage kwao panapohitajika watu wa namna hiyo.
siku hizi digrii ya kwanza ktk ajira unabaki kua desk clerk tu.
wasomi ni wengi sana na ajira ni chache.
 
Back
Top Bottom