Katika wote waliopata PhD za heshima, hakuna anayeistahili kama Babu Tale

Katika wote waliopata PhD za heshima, hakuna anayeistahili kama Babu Tale

Nilitak nikutu

Nilitak nikutukane ila haina maan nikakumbuk hizi honorary doctorate hata marekani wakina
1.denzel Washington
2.puff Diddy
3.mark Zuckerberg
4.0prah Winfrey n.k
Wanazo hizi heshima kutok vyuo mbalimbali marekani na nikuelez tu kwamb hii Ni heshima anapewa mtu alieleta changes or transformation in a community
N.b. Hawa watu hapo juu walitunukiwa na vyuo, hawakununua Wala kushinikiza kupewa hzo awards.
Sasa haufahamu jinsi mchango wa Dr. Tale ulivyomkubwa hapa nchini. Katika wote waliopata Phd za heshima, yupi anamchango kumzidi Tale?
 
Vimeleta impact gani kwa taifa na kimataifa
Hujaona mziki wa WCB ulivyotutangaza kimataifa? Hujaona watu waliopata ajira kupitia WCB na hata Tip Top? Unaweza usikubaliane na itikadi za Tale, lakini mchango wake ni wa kustahili Phd kabisa.
 
Kama hajapewa P Funk bas Tale bado sana
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
Kwani babu tale kafsnya nini? Ungetujuza basi. Naona speaker leo kawapasha hawa kina diallo wanunuzi wa Phd toka vyuo feki wauza vyeti.
 
kuna shida kidogo katika nchi hii.

wasomi wanawaonea wivu wasiosoma pale wanapofanikiwa wakiamini wao ndio wenye hati miliki ya mafanikio, wasiosoma nao wakifanikiwa basi huwadharau wasomi na elimu wakitaka kuaminisha elimu si kitu..

Shida iko wapi: Mamlaka zimeshindwa kuchora mstari kwa kuwapa watu elimu sahihi ili walete mabadiriko sahihi kwenye jamii. ELIMU NA WATU KUELIMIKA NI VITU VINAVYOWEZA KULETA MATOKEO YA HARAKA NA KUINUSURU JAMII NA MAMBO MENGI.

Wanasiasa kwa maslahi ya kisiasa wameitupa mkono elimu na misingi yake na kutukuza mambo ya kijingakijinga na matokeo yake ni Taifa kuwa na watu waajabu kabisa.
 
Sasa haufahamu jinsi mchango wa Dr. Tale ulivyomkubwa hapa nchini. Katika wote waliopata Phd za heshima, yupi anamchango kumzidi Tale?
Mimi npo 50/50 kwny hoja yako, maan inasemekan Hawa wananunua tu hzo phd
Ila kwann Hawa wabunge wa la saba tu wanashobokea Tena kwa kununua
 
Wangepewa Master J na P Funk kweli huyo asiyejua hata kuongea kiswahili vzr mbona kichekesho
 
Mimi npo 50/50 kwny hoja yako, maan inasemekan Hawa wananunua tu hzo phd
Ila kwann Hawa wabunge wa la saba tu wanashobokea Tena kwa kununua
Kweli wananunua. Na wengi wao hawastahili kabisa, kama Msukuma na Abood. Wanaona ni prestige kuitwa maDR. Lakini Taletale hata kama amenunua, anaistahili. Anaistahili kuliko hata Samia na JK
 
Wangepewa Master J na P Funk kweli huyo asiyejua hata kuongea kiswahili vzr mbona kichekesho
Kufanya tu vizuri kwenye taaluma yako siyo kigezo. Ufanye kitu kikubwa na cha tofauti sana. Uazniswai na ukuaji wa WCB ni kitu kikubwa sana.
 
Hapana huwez fananisha federal leaders km marais, mabalozi na huyo mtoto wa mtaani,,,yaan hapo ndo umechafua hali ya hewa
Kikwete ndo the best leader when it comes to solving diplomatic matters ashakuw kiongozi wa kitaif na kimataifa eac,au na sadc same kwa Samia Ni kiongoz mkubwa
Huyo tale wako hakun Cha maan amefany kuwasimamia wasanii wabongo huwez ku relate na shughuli za kitaifa.... Give me a break
 
Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.

Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
True naunga mkono hoja .labda amepewa kwa ajili ya kutuwekea tozo who knows
 
Hivi mnajua thamani ya PhD ??? Kama tungejua thamani yake kama Taifa tusingejadili Tale kupewa hiyo PhD... kiufupi ni aibu sanA kama taifa... angalia majirani zetu Kenya akina Sonko pamoja na mafanikio waliyokua nayo hawawezi kutaka kujiita PhD holder.. Mohamed Dewji pamoja na mafanikio yake yote+ usomi wa Washington University hajawahi kutaka kuitwa PhD holder...Wabunge wanaosaka hizo PhD wanazinguA sana...
Kuna Researchers hawalali vyuoni wanakuja na tafiti.. mfano
1. kuna tafiti hapo Ifikara Institute wamegundua jinsi gani kinyesi cha ng'ombe kinavyoweza kuzuia kusambaa kwa mbu
2. Muhimbili/ Bugando/ KCMC kuna Super specialist Doctors tena wana degree ya 2 tu.. wanaweza kuokoa maisha ya wagonjwa... bila kuwa na hiyo PhD...
 
Tale amekuja na majibu mepesi sana... eti amepata mafanikio makubwa sana kwa WBCs .. swali..
Music wa Bongo fleva akina
1. Ay
2.FA
3. Sugu
3. Prof. Jize
4. Lady jay dee
5. P funky
6. Master J
Na wenyewe si wapewe hiyo PhD???
 
Angegundua mziki wa Bongo Fleva labda hapo kwa mbaali.

Ila kumpa mtu mafanikio hapo nakataa.


Hiyo kazi hata wazazi wetu wameifanya.

Wametupeleka shule na kutulea mpaka tumefikia hapa.
 
Back
Top Bottom