Warejee kwa JK wa kwanza, alipewa PhD ya Sheria na chuo cha Edinburgh lakini hakuwahi kujiita Dokta.Hizo PhD ni award tu na wala kwenye CV hazikai kwenye section ya education history.
Na utaratibu aliyepewa hapaswi kiiongeza kwenye jina lake sema wabongo wakipata basi wanataka watambulike kama vile wamesomea
Akudo. Hii ndio impact pekee vilivyoleta πππVimeleta impact gani kwa taifa na kimataifa
Kikwete na viongozi wengi hamna kitu. Huwa wanaenda tu ilimradi mihula yao iishe salama na wao kujitajirisha tu.Hapana huwez fananisha federal leaders km marais, mabalozi na huyo mtoto wa mtaani,,,yaan hapo ndo umechafua hali ya hewa
Kikwete ndo the best leader when it comes to solving diplomatic matters ashakuw kiongozi wa kitaif na kimataifa eac,au na sadc same kwa Samia Ni kiongoz mkubwa
Huyo tale wako hakun Cha maan amefany kuwasimamia wasanii wabongo huwez ku relate na shughuli za kitaifa.... Give me a break
Hana tofauti na Dr Chinga anayeuza mitumba pale Kariakoo.Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janjq, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili Phd ya heshima kama Dr Taletale.
toa comparative advantage kwa ushahidi kwa hayo unayosema badala ya kutoa kauli za jumlaAjabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.
Miziki imejaa mitusi kila verse ndio inatutangaza?. Nani asiyeijua Tanzania mpaka tutangazwe na kina tale?.Hujaona mziki wa WCB ulivyotutangaza kimataifa? Hujaona watu waliopata ajira kupitia WCB na hata Tip Top? Unaweza usikubaliane na itikadi za Tale, lakini mchango wake ni wa kustahili Phd kabisa.
ππππππ Hatari sana.PhD ya kusimamia wakata mauno
Ova
Ajabu sana. Nyerere alipewa zaidi ya kumi, lakini hakuwahi kujiita Dr Nyerere. Hawa wa leo sasa...Na utaratibu aliyepewa hapaswi kiiongeza kwenye jina lake sema wabongo wakipata basi wanataka watambulike kama vile wamesomea.
Wewe mama chenga sana yaani unafanisha kuongoza taifa na kuongoza kundi la mziki?Kufanya tu vizuri kwenye taaluma yako siyo kigezo. Ufanye kitu kikubwa na cha tofauti sana. Uazniswai na ukuaji wa WCB ni kitu kikubwa sana.
Performing artPhD ya kusimamia wakata mauno
Ova
Hata Iddi Amin na Bokassa waliongoza mataifa.Wewe mama chenga sana yaani unafanisha kuongoza taifa na kuongoza kundi la mziki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama naye chawa tuu, kamwonea Tale tuu hapo lakini kina JK na Samia mbona hajasema chochote, kiukweli hizi honorary degree sio kitu cha kuonyesha au kujivunia
Dr Manyaunyau sijui siku hizi kapotelea wapi!!?Ipigwe marufuku ku jiita Dr. Wana waandishi wamchongo kwa kujipendekeza huwaita Doctor
Vigezo vingi ktk ajira vinataka ubobezi kwenye fani husika, ila ubobezi unasaidia mtu anapoajiriwa na taasisi zenye kutengeneza mipango,research na zenye kuandika paper at least masters ni muhimu.Kumbe PhD zinauzwa kama njungu kwennye viunga vya Bunge!!
Tatizo watu wanataka teuzi.
Mamlaka za uteuzi nazo zibadilike wasidhani Masters au PHD ndio kigezo kikubwa cha weledi ktk utendaji.
Watu wengi wanaamini akiwa dokta au akiwa ma masters basi ni raihisi sana kuteuliwa au hata kupandishwa juu zaidi!! matokeo yake sasa wananunua kama njugu
πππππ€£π€£π€£Dr Manyaunyau sijui siku hizi kapotelea wapi!!?