Wewe hata hujui PhD ni shahada au tuzo ya aina gani😂🤣Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.
And then kila mbunge ana uwezo kununua PhD magumashi. Kwa hiyo wabunge wote wanajiita Dr so and so😂🤣
Mimi nimeonesha contribution ya JK na position yake kwa ufupi plus his status hadhi yake ukilinganisha na babu tale tale!Kuwa Rais na kutumikia umma si kigezo cha kupewa digrii ya heshima. Hata watu kama Iddi Amin, Bokassa na Franco Nguema walikuwa viongozi wa nchi. Tena JK aliesema hajui kwa nini nchi yake ni Masikini na ambaye utawala wake ulijaa mafisadi anatakiwa kupokonywa hata ile digrii yake moja.
Muulize kiwango chake Cha Elimu akikijibu nitag! Kina babu tale ndo wanafanya PhD IONEKANE NI tuzo na sio shahadaWewe hata hujui PhD ni shahada au tuzo ya aina gani😂🤣
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ningekua na uwezo wa kusafirisha makofi ningekutumia kontena. Yani wiki nzima kila unavyohema unayaoga. Uso ungechanika huo.
Wewe una miliki simu ina akili kuliko wewe!! Inakataa hadi kuandika vilivyonyooka inaweka spelling mistakes bado umo tu.
Mbunge wa huko Tanga mh Rashid Shangazi amesema PhD zinauzwa kama njugu kwani yeye binafsi aliambiwa atoe US Dollar 1500 atunukiwe.Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.
PhD ya kilaza Babu Tale ni ya kununua.Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.