Pre GE2025 Katikati ya matangazo ya 'Live' ITV Mgeni aomba watu wote studio wasimame kumuombea Rais Samia, Watangazaji wapata kigugumizi kumzuia

Pre GE2025 Katikati ya matangazo ya 'Live' ITV Mgeni aomba watu wote studio wasimame kumuombea Rais Samia, Watangazaji wapata kigugumizi kumzuia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118
Mnaweza ita chawa kumbe mwamba anajuwa yanayo endelea kilengeni na hakuna anaye juwa well mengi tutasikia ila neno la Mungu no timilifu. Amen
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118
Uchawa na ukosefu ubunifu mbali na kuishiwa na kujipendekeza mwanangu.
 
  1. Huyo aliyecheka watamtafuta
Hawana cha kumfanya na hakuna kosa lolote alilofanya maana aliyeamuru hayo yafanyike hakuwa na uhalali wa kushurutisha watu kufanya hayo, hiyo ni alert next time hizi Television kuwa dhibiti chawa wa Aina hii kutekeleza mambo Yao ya faida zao binafasi while for the expense ya taasisi na washiriki wa kipindi husika.

Vetting is necessary!!
 
Sasa hawataki Rais aombewe ili ashindwe kutimiza majukumu yake? Wakamate wote sukuma ndani. Rais ni wa kuombewe kila siku kama dozi ya dawa full stop na wote semeni amina,
kodi yetu inatosha kuwalipa yeye ba mabodyguard wake , je yeye lin kawaombea watanzania ambao ni maboss zake
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118
 

Attachments

  • images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    12.5 KB · Views: 1
Ni aibu kusema mimi ni Mtanzania
kwa maujinga kama haya yanayoendelea nchini!
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118
Huu sasa ni ugonjwa mpya nchini.
Wenye akili visoda wamefanikiwa sana kwenye hili!
 
Back
Top Bottom