Pre GE2025 Katikati ya matangazo ya 'Live' ITV Mgeni aomba watu wote studio wasimame kumuombea Rais Samia, Watangazaji wapata kigugumizi kumzuia

Pre GE2025 Katikati ya matangazo ya 'Live' ITV Mgeni aomba watu wote studio wasimame kumuombea Rais Samia, Watangazaji wapata kigugumizi kumzuia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwahy watu wanalumbana kisa simba na Yanga afu mnaiita hoja?

Anyway, hii kusifiasifia n upumbavu mkubwa.
 
Mambo ya goli la mama

ova
Zamani katika gazeti la Mfanyakazi kulikuwa na ki segment cha "Amini Usiamini".

Nilikuwa napenda sana kukisoma.

Kilikuwa kinatupa habari za vituko na maajabu ambazo ukiambiwa unaweza usiamini, lakini, amini usiamini, ni kweli.

Habari hizi zingestahili kuwa katika ile safu ya "Amini Usiamini".
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118

kosa liko kwa Itv wenyewe, kushindwa kujua ni watu gani wenye sifa za kualikwa studio
 
Back
Top Bottom