Katikati ya vitendo viovu, mauaji na utekaji, tuendelee kumsifu na kumshukuru Mungu

Katikati ya vitendo viovu, mauaji na utekaji, tuendelee kumsifu na kumshukuru Mungu

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!!

Nitumie fursa hii kuwatia moyo ndugu zangu Watanzania wenzangu kuwa, haya tunayoyapitia ni ya Muda tu, kama ambavyo Kuna usiku mnene, Giza Totoro, tukumbuke kuwa Giza ni la muda tu, KUTAPAMBAZUKA na Nuru itaonekana tena,

Kodi zetu ndizo zinatumika kuwalipa waovu Kuteka, kuumiza, kuua Watanzania wasio na hatia,

Yupo Mungu aliyetuumba na kutupa Nchi hii nzuri niipendayo TANZANIA Ili tuishi Kwa Amani, UOVU umepanda na kuingilia madirishani ukitafuta wenye HAKI wasio na hatia, ilikuwa wanaume ndio wanaotekwa kuuwawa na kupotea, sasa ni mama zetu, nani wa kutunza na kutulea watoto ikiwa mama anatekwa, kuumizwa na kuteswa?

Nichukue fursa hii Leo Jumapili kuinua MIOYO ya ndugu zangu Watanzania wenzangu tuendelee kumshukuru na kumsifu Mungu hata katika nyakati hizi ngumu, Mungu ni mwaminifu na WA HAKI, atajilipizia kisasi,

Na wote tuseme aamin.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.
 
Ardhi ikatae kupokea Damu ya wasio na hatia.

Mtu au kikundi Cha wa hache, kisiharibu Nchi yetu nzuri tuipendayo TANZANIA 🇹🇿
 
Salaam, shalom!!

Nitumie fursa hii kuwatia moyo ndugu zangu Watanzania wenzangu kuwa, haya tunayoyapitia ni ya Muda tu, kama ambavyo Kuna usiku mnene, Giza Totoro, tukumbuke kuwa Giza ni la muda tu, KUTAPAMBAZUKA na Nuru itaonekana tena,

Kodi zetu ndizo zinatumika kuwalipa waovu Kuteka, kuumiza, kuua Watanzania wasio na hatia,

Yupo Mungu aliyetuumba na kutupa Nchi hii nzuri niipendayo TANZANIA Ili tuishi Kwa Amani, UOVU umepanda na kuingilia madirishani ukitafuta wenye HAKI wasio na hatia, ilikuwa wanaume ndio wanaotekwa kuuwawa na kupotea, sasa ni mama zetu, nani wa kutunza na kutulea watoto ikiwa mama anatekwa, kuumizwa na kuteswa?

Nichukue fursa hii Leo Jumapili kuinua MIOYO ya ndugu zangu Watanzania wenzangu tuendelee kumshukuru na kumsifu Mungu hata katika nyakati hizi ngumu, Mungu ni mwaminifu na WA HAKI, atajilipizia kisasi,

Na wote tuseme aamin.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.
Ni muhimu sana kumshukuru Mungu katika kila jambo bila yeyote kujipa umuhimu zaidi ya wengine mbele zake 🐒
 
Salaam, shalom!!

Nitumie fursa hii kuwatia moyo ndugu zangu Watanzania wenzangu kuwa, haya tunayoyapitia ni ya Muda tu, kama ambavyo Kuna usiku mnene, Giza Totoro, tukumbuke kuwa Giza ni la muda tu, KUTAPAMBAZUKA na Nuru itaonekana tena,

Kodi zetu ndizo zinatumika kuwalipa waovu Kuteka, kuumiza, kuua Watanzania wasio na hatia,

Yupo Mungu aliyetuumba na kutupa Nchi hii nzuri niipendayo TANZANIA Ili tuishi Kwa Amani, UOVU umepanda na kuingilia madirishani ukitafuta wenye HAKI wasio na hatia, ilikuwa wanaume ndio wanaotekwa kuuwawa na kupotea, sasa ni mama zetu, nani wa kutunza na kutulea watoto ikiwa mama anatekwa, kuumizwa na kuteswa?

Nichukue fursa hii Leo Jumapili kuinua MIOYO ya ndugu zangu Watanzania wenzangu tuendelee kumshukuru na kumsifu Mungu hata katika nyakati hizi ngumu, Mungu ni mwaminifu na WA HAKI, atajilipizia kisasi,

Na wote tuseme aamin.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.
Tumsifu kwa lipi sasa, au kwakua tumeamua kua mazezeta wasiojua hata hitaji lao
 
Tumsifu kwa lipi sasa, au kwakua tumeamua kua mazezeta wasiojua hata hitaji lao
Kwamba unashauri tuanzishe sungusungu kuwasaka wasiojulikana?

Je tumshukuru Mungu katika mema pekee na Si mabaya?

Anyway, Watanzania ni wabarikiwa na ndio chanzo Cha Amani na utulivu uliopo.

KUTAPAMBAZUKA!
 
Kwamba unashauri tuanzishe sungusungu kuwasaka wasiojulikana?

Je tumshukuru Mungu katika mema pekee na Si mabaya?

Anyway, Watanzania ni wabarikiwa na ndio chanzo Cha Amani na utulivu uliopo.

KUTAPAMBAZUKA!
Unapoamua kufikiri uwepo wa mazuri unakua umeyapima kwa kiwango gani?

Umeshawahi kukaa na kuifikiria Tanzania kwa ukubwa wake?
Unadhani kwa mtizamo wako ni kiongozi yupi ukimtafakari kwa kina unaona kabisa huyu kawekwa na Mungu ili awatumikie watanzania
 
Salaam, shalom!!

Nitumie fursa hii kuwatia moyo ndugu zangu Watanzania wenzangu kuwa, haya tunayoyapitia ni ya Muda tu, kama ambavyo Kuna usiku mnene, Giza Totoro, tukumbuke kuwa Giza ni la muda tu, KUTAPAMBAZUKA na Nuru itaonekana tena,

Kodi zetu ndizo zinatumika kuwalipa waovu Kuteka, kuumiza, kuua Watanzania wasio na hatia,

Yupo Mungu aliyetuumba na kutupa Nchi hii nzuri niipendayo TANZANIA Ili tuishi Kwa Amani, UOVU umepanda na kuingilia madirishani ukitafuta wenye HAKI wasio na hatia, ilikuwa wanaume ndio wanaotekwa kuuwawa na kupotea, sasa ni mama zetu, nani wa kutunza na kutulea watoto ikiwa mama anatekwa, kuumizwa na kuteswa?

Nichukue fursa hii Leo Jumapili kuinua MIOYO ya ndugu zangu Watanzania wenzangu tuendelee kumshukuru na kumsifu Mungu hata katika nyakati hizi ngumu, Mungu ni mwaminifu na WA HAKI, atajilipizia kisasi,

Na wote tuseme aamin.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.
Wewe endelea kumtegemea Mungu wakati akili unayo, Mungu hawezi kufanya kila kitu, kila mmoja afanye majukumu yake
 
Salaam, shalom!!

Nitumie fursa hii kuwatia moyo ndugu zangu Watanzania wenzangu kuwa, haya tunayoyapitia ni ya Muda tu, kama ambavyo Kuna usiku mnene, Giza Totoro, tukumbuke kuwa Giza ni la muda tu, KUTAPAMBAZUKA na Nuru itaonekana tena,

Kodi zetu ndizo zinatumika kuwalipa waovu Kuteka, kuumiza, kuua Watanzania wasio na hatia,

Yupo Mungu aliyetuumba na kutupa Nchi hii nzuri niipendayo TANZANIA Ili tuishi Kwa Amani, UOVU umepanda na kuingilia madirishani ukitafuta wenye HAKI wasio na hatia, ilikuwa wanaume ndio wanaotekwa kuuwawa na kupotea, sasa ni mama zetu, nani wa kutunza na kutulea watoto ikiwa mama anatekwa, kuumizwa na kuteswa?

Nichukue fursa hii Leo Jumapili kuinua MIOYO ya ndugu zangu Watanzania wenzangu tuendelee kumshukuru na kumsifu Mungu hata katika nyakati hizi ngumu, Mungu ni mwaminifu na WA HAKI, atajilipizia kisasi,

Na wote tuseme aamin.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.
Mungu atairudishia jamii akili ambayo imechukuliwa na baadhi ya watu walio amua kuutumia unyumbu wa kisiasa, kuihadaa jamii ikashindwa kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto, zilizopo na zitakazo kuja, (uncertainty)
 
Wewe endelea kumtegemea Mungu wakati akili unayo, Mungu hawezi kufanya kila kitu, kila mmoja afanye majukumu yake
Unashauri Kila Mtanzania aajiri bodyguard wa kumlinda sio!

Kumshukuru Mungu ni jambo la Kila siku, Kwa mazuri na mabaya, huku ufumbuzi wa matatizo ukiendelea.
 
Unashauri Kila Mtanzania aajiri bodyguard wa kumlinda sio!

Kumshukuru Mungu ni jambo la Kila siku, Kwa mazuri na mabaya, huku ufumbuzi wa matatizo ukiendelea.
Kama huwezi kujua namna ya kujilinda, utaandika sana hizi nyuzi humu, Mungu angekuwa anashtuka watu kufa mauaji duniani yasinge kuwepo
 
Salaam, shalom!!

Nitumie fursa hii kuwatia moyo ndugu zangu Watanzania wenzangu kuwa, haya tunayoyapitia ni ya Muda tu, kama ambavyo Kuna usiku mnene, Giza Totoro, tukumbuke kuwa Giza ni la muda tu, KUTAPAMBAZUKA na Nuru itaonekana tena,

Kodi zetu ndizo zinatumika kuwalipa waovu Kuteka, kuumiza, kuua Watanzania wasio na hatia,

Yupo Mungu aliyetuumba na kutupa Nchi hii nzuri niipendayo TANZANIA Ili tuishi Kwa Amani, UOVU umepanda na kuingilia madirishani ukitafuta wenye HAKI wasio na hatia, ilikuwa wanaume ndio wanaotekwa kuuwawa na kupotea, sasa ni mama zetu, nani wa kutunza na kutulea watoto ikiwa mama anatekwa, kuumizwa na kuteswa?

Nichukue fursa hii Leo Jumapili kuinua MIOYO ya ndugu zangu Watanzania wenzangu tuendelee kumshukuru na kumsifu Mungu hata katika nyakati hizi ngumu, Mungu ni mwaminifu na WA HAKI, atajilipizia kisasi,

Na wote tuseme aamin.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.
Kioo Cha Demokrasia ya Chadema 🤣🤣👇👇

View: https://x.com/bbcswahili/status/1848242854088294621?t=i4ATB3rFS6uThJRDfGgMmA&s=19
 
Mungu ni mwema sana hata shetani alianza hivihivi lkn mwisho wake aliishia jehenam.
Hawa watu wanaofanya haya wakumbuke kuwa Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakabo yupo na atatoa hukumu yake ya haki.
 
Back
Top Bottom