Mahitaji
1) Nyama ya kusaga robo
2) Viazi mbatata kg 1
3) Karoti 1 kubwa
4) Pilipili hoho 1
5) Ndimu/limao 2
6) Pilipili manga ya unga 1 tea spoon.
7) Uzile wa unga 1 tea spoon
8) Kitunguu thomu nusu
9) Tangawizi kiasi
10) Chumvi kiasi..
11) Mafuta nusu lita
12) Mayai 4.
14) Unga wa ngano robo
Namna ya kutaarisha
1) Katakata hoho ndogo ndogo na karoti
2) Saga thomu na tangawizi kwa pamoja
3) Weka nyama kwenye sufuria safi then add chumvi,limao,uzile na pilipili manga.iache iwive kwa dakika 10..
4) Weka karoti na pilipili hoho changanya vizuri baada ya kuwiva opoa weka pembeni
5) Chemsha viazi vyako ulivomenya hadi viwive lainiii
6) Viponde ponde
7) Changanya viazi vyako pamoja na nyama hadi vichanganyike
8) Viringa viringa viwe vya duara au shepu kama ya yai
9) Pakaaa unga wa ngano juu yake
10) Weka mafuta kwenye karai hadi yapate moto
11) Vunja mayai yako na uyakoroge vizuri
12) Chovya viazi vyako ambayo umetengeneza shepu kwenye mayai na ukaange kwenye karai hadi viwe brown...
Katles tayari kwa kuliwa.
1) Nyama ya kusaga robo
2) Viazi mbatata kg 1
3) Karoti 1 kubwa
4) Pilipili hoho 1
5) Ndimu/limao 2
6) Pilipili manga ya unga 1 tea spoon.
7) Uzile wa unga 1 tea spoon
8) Kitunguu thomu nusu
9) Tangawizi kiasi
10) Chumvi kiasi..
11) Mafuta nusu lita
12) Mayai 4.
14) Unga wa ngano robo
Namna ya kutaarisha
1) Katakata hoho ndogo ndogo na karoti
2) Saga thomu na tangawizi kwa pamoja
3) Weka nyama kwenye sufuria safi then add chumvi,limao,uzile na pilipili manga.iache iwive kwa dakika 10..
4) Weka karoti na pilipili hoho changanya vizuri baada ya kuwiva opoa weka pembeni
5) Chemsha viazi vyako ulivomenya hadi viwive lainiii
6) Viponde ponde
7) Changanya viazi vyako pamoja na nyama hadi vichanganyike
8) Viringa viringa viwe vya duara au shepu kama ya yai
9) Pakaaa unga wa ngano juu yake
10) Weka mafuta kwenye karai hadi yapate moto
11) Vunja mayai yako na uyakoroge vizuri
12) Chovya viazi vyako ambayo umetengeneza shepu kwenye mayai na ukaange kwenye karai hadi viwe brown...
Katles tayari kwa kuliwa.