Vipi ile siku aliyopindua matokeo je🤪
Ulisikia wapi BAKWATA wakafanya tofauti na Serekali hawawezi kwenda njia moja na TEC yaan hao wawili ni km Chui na Paka hawafanani kimisimamoBAKWATA watakuja kuwapinga hao wote, sio wa kuwatumainia kwenye maslahi ya umma.
Bakwata ni mojawapo ya jumuiya za ccm, usiwategemee sana.Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha
Ahsanteni sana 😂
Usishangae hilo, kamishna wa polisi au afisa wa jw anastasfu leo, mwezi ujao anagombea cheo cha kisiasa kupitia ccmNiliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!
Hamna kitu kama hicho, wanapuuzwa tu, hata JPM alikuwa anaona bora amualike mchungaji Mashimo kuliko hao
Bakwata ????!! 😅Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha
Ahsanteni sana 😂
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Bakwata ni ndio mzee as long as rais ni kutoka nyota na mweziMambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. 😂
Wanataka kutoa kwenye reli Ili matamanio Yao yapite
Chuki zako dhidi ya TEC haziwezi kuwatikisa. Je, tangu uzaliwe hujawai kukutana na neno "uwakilishi"? Unataka saini za waumini? Wewe ni wa kuhurumia.!! Waumini wapi wanaotaka wakurugenzi wa almashahuri waendelee kuwa wasimamizi wa uchaguzi? Wewe una saini za hao wahumini waliokubali?Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Kama wewe kafiri hukijui kitabu chako sina muda wa kukuelezea
Jamba
Hata DP World walipinga ila muarabu kapewa. Kelele za chura ........
Alisha RIPNiliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!
BAKWATA ni kitu gani bwana?Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. 😂
Usishangae hilo, kamishna wa polisi au afisa wa jw anastasfu leo, mwezi ujao anagombea cheo cha kisiasa kupitia ccm