Pre GE2025 Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA

Pre GE2025 Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
Lazima watoe boko.
 
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.

Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Ata wabunge hawatuzi wananchi ila ajabu hawakuja ata kutuuliza kama IGA tunaitaka au lah! Wao wemeenda kupitisha tu haijalishi ina nini huku wakijitapa kuwa jambo la mama hakuna wa kupinga!
 
BAKWATA watakuja kuwapinga hao wote, sio wa kuwatumainia kwenye maslahi ya umma.
Tangia lini hao the so call tec au kkkt wakawa na maslahi ya umma??

Labda umma wa WAKRISTO
 
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.

Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Acha ujinga mkuu. Pale bungeni hawafiki hata watu 500 wanawakilisha mawazo ya watanzania milioni 60+.

Ulishawahi weka sahihi yako?
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
Bakwata bado wanashangaa inakuwaje nchi kuongozwa na mwanamke kinyume na maagizo ya Koran!
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
BAKWATA wao wanateswa na udini hawatafanya chochote
 
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.

Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Ungejua hao hao wachache ndio wanaoiongoza dunia wala usingebeza hivyo
 
Mwenyekiti wa Tume anachaguliwa na Rais, DED anachaguliwa na Rais halafu unaenda kushiriki uchaguzi kuikataa CCM.
 
Mleta mada yaani kobazi wapinge mamlaka? Wale ukiwapa ubwabwa na juisi wanasahau kila kitu.
 
Niliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!
Alidhani ataishi milele kwa dhuluma aliyemfanyia maalim seif, wapo wote ahera anafanyiwa cross examination na Seif , Jecha to hell with you wlokutumia wapo wanadunda wewe umetangulia mbele ya haki
 
Back
Top Bottom