Lazima watoe boko.Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. 😂
Mnataka kuwatumia bakwata kama daraja? Hamuwezi kufanya jambo bila waislam, waislamu ni 75% ya watanzania wotena iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi
Ata wabunge hawatuzi wananchi ila ajabu hawakuja ata kutuuliza kama IGA tunaitaka au lah! Wao wemeenda kupitisha tu haijalishi ina nini huku wakijitapa kuwa jambo la mama hakuna wa kupinga!Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Hao akina yakhe ndivyo walivyo hawana lao.Usije kushangaa BAKWATA wakichukua msimamo tofauti na TEC, KKKT!
Tangia lini hao the so call tec au kkkt wakawa na maslahi ya umma??BAKWATA watakuja kuwapinga hao wote, sio wa kuwatumainia kwenye maslahi ya umma.
Hatari sana. Na wakamkata kama yeye alivyomkata rais mteule mzee Seif.Niliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!
Acha ujinga mkuu. Pale bungeni hawafiki hata watu 500 wanawakilisha mawazo ya watanzania milioni 60+.Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Bakwata bado wanashangaa inakuwaje nchi kuongozwa na mwanamke kinyume na maagizo ya Koran!Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. 😂
BAKWATA wao wanateswa na udini hawatafanya chochoteMambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. 😂
BAKWATA ni tawi la CCMhawa wapoo opposite, kama unabisha suburi, Govt imeweka mamluki mle ambao wao kazi yao ni ku-neutrize issue kama hizi ambazo zipo opposite na favor ya Serikali........ Wait and see!!
Ajuza andika vizuri basi BAKWATA, BAKWATA ni tawi kuu la CCMwabarikiwa wa tec na bakwata wana tofauti gani?
Awapi ni wadini balaaBakwata bado wanashangaa inakuwaje nchi kuongozwa na mwanamke kinyume na maagizo ya Koran!
Anaweza kuwatoa MaDED akaweka MaDAS bado kitu ni kilekileWananchi woote na taasisi zote na wadau wa Demokrasia wamewakataa.....kwanini Dr Samia anangangania?
Ungejua hao hao wachache ndio wanaoiongoza dunia wala usingebeza hivyoHao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Alidhani ataishi milele kwa dhuluma aliyemfanyia maalim seif, wapo wote ahera anafanyiwa cross examination na Seif , Jecha to hell with you wlokutumia wapo wanadunda wewe umetangulia mbele ya hakiNiliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!