Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
acha kuleta mambo yako ya ki-local, Katoro centre inayokua? maduka yote yamejaa takataka za china na taiwan. sidhani kama kuna kitu naweza nunua pale zaidi ya nanasi na matikiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaza upande ambao sijafikiria kuwaza...huwa naangalia mambo chanya tu...acha kuleta mambo yako ya ki-local, Katoro centre inayokua? maduka yote yamejaa takataka za china na taiwan. sidhani kama kuna kitu naweza nunua pale zaidi ya nanasi na matikiti
Sawa mkuu ila miaka hiyo palikuwa na biashara sana sijui kwa sasa na kuna jamaa yangu ninae huku nilimshauri anunue kiwanja hapoHaya wasalimie sana hapo ndola!!
Hapana sijawahi kujuta kuondoka mahali maana huwa nashukuru mungu ninapo pita mahali na kuondoka salamaTafsiri huu msemo "Utajuta kuondoka"
Hapana sijawahi kujuta kuondoka mahali maana huwa nashukuru mungu ninapo pita mahali na kuondoka salama
Maana mikoa mingi nimepita sijawahi kujuta ninge juta nilivyo kuwa morogoro kilosa huko kulikuwa na fulsa ya kilimo na ufugaji
Asante mkuu nikipata nafasi mwaka huu nitakuja kwaajili ya kuangalia ujenzi wa nyumba ya rafiki yangu nikikumbuka nitakuchekiVyema mkuu ...karibu tena
HahahahaViwanja vinafika bei gani? Ninafikiria kuwekeza kwenye bed and breakfast.
Why are you laughing?Hahahaha
Nimefurahi kuona mmoja ya watu wanao ona wajiwekeze huko kwa kuanzia na aridhiWhy are you laughing?
Bed and breakfast classic chumbani kuanzia 30,000Nimefurahi kuona mmoja ya watu wanao ona wajiwekeze huko kwa kuanzia na aridhi
Huko au hapo kwa mtogoleBed and breakfast classic chumbani kuanzia 30,000
Kwamtogole wana guest house zao za 5,000. Wanaotaka mambo mazuri wanakwenda Kinondoni au KariakooHuko au hapo kwa mtogole
Ila gest za 5000 unakutana na kunguni hatariKwamtogole wana guest house zao za 5,000. Wana orals mambo mazuri wanakwenda Kinondoni au Kariakoo
Huku bush kama Katoro ukiwa na kitu kidogo cha uhakika utapata wageniIla gest za 5000 unakutana na kunguni hatari
Hata huko karikoo na kwenyewe huwa naona vyumba vyao vya kawaida wanatupiga Bei kubwa kwa kuwa no karibu na mahitaji mhimu
Sawa mkuu ila kwa wanao simliwa kuhusu dar na wanavyo iona kwenye move wanahisi hakuna sehemu kama kwa azizi ally kwa mtogole kimbiji wanahisi kila sehemu ni kama masakiHuku bush kama Katoro ukiwa na kitu kidogo cha uhakika utapata wageni
TrueSawa mkuu ila kwa wanao simliwa kuhusu dar na wanavyo iona kwenye move wanahisi hakuna sehemu kama kwa azizi ally kwa mtogole kimbiji wanahisi kila sehemu ni kama masaki
Sawa mkuu uwe na siku njemaTrue