Katoro ni Business center inayokua kwa kasi ya ajabu

Katoro ni Business center inayokua kwa kasi ya ajabu

Buseresere vp
Changamoto iliyopo n kwamba mji wa Buseresere umekuwa kama umemezwa na katoro ,,,lakn tunaweza sema city center pako vzr na n karbu na Katoro...pale kuna lile soko ,,pia biashara ya baiskel inalipa sana koz watu wa huko daladala zao m baiskel ,,,nk

Lakni katoro ki ukweli inakuwa sana nenda mitaa ya Ludete ,luke Calfonia pia pale senta utakutana na matajiri kama kina Marase ,,,kuna soko la nguo utadhani uko Karume dar.....hotel zipo za maana kama ile Paradise ! Nk so karibun tu kuwekeza huko na kilomo pia kinalipa sana hasa mihogo na mahindi
 
Kwasasa kitu cha haraka haraka ni mzigo wa nguo za special...vifaa vya electronics...Hardware....kuuza pikipiki/Baiskeli au/na spare...saloon kubwa (executive Barbershop) ... nafaka kwasababu hawalimi sana...kampuni za ulinzi ..kuinstall cctv..electric fence..e.t.c...la mwisho ni kufungua Katoro Fm huku watu wanapenda sana radio swali la kuwa na mtaji kiasi gani halijawahi kuwa jepesi kwangu!
Mkuu kwa Radio steshen n uwekezaji mzur sana pale katoro kwanza nadhani wana access na storm fm kama sikosei ya geita na sengerema fm tu kwa pale hamna labda na kahama fm lakn pale mjin katoro hakuna ...kingine kulima panafaa sana hasa kilimo cha mahindi koz watu wa huko wanatumia sana chakula hicho na pia mihogo inalipa sana mimi na experience na hiki kitu lakn pia kuna mnada wa Ng'ombe kule Ccm nadhan so n mji ambao chochote utakacho kuwekeza kitakulipa
 
Nipo Katoro ni mji wa biashara.
Bidhaa bei che sanaa mangi hawezi kuuza hapa.

Jamaa wengi wa mwanza.... Muleba huja kufanya shopping Katoro. Wafanya biashara wengi ni wasukuma (wananyantuzu) wanaridhika na faida ndogo sana
 
Katoro kujenga ni kugusa tuu.
Mawe lori 1 60,000
Mchanga mlaini lori 50,000.
Changarawe 50,000.
Kokoto 180,000
Material za kununua kama sementi ndo gharama kidogo...18,000 hadi 19,500


Mimi leo nimenunua kwa 21000 simba cement
 
Utakua sahihi maana majina mengine kuyamaster ni ngumu

Beda ipo wapi? Na nitegemee nini huko !?
Rwagasa au Rwamgasa? Au mi ndo nimechanganya, Usisahau kwenda Beda pia.
 
Beda kuna mgodi, njia ya kwenda kule unapita karibu na soko la ccm, kuna barabara kabla ya kuifikia stendi ya ushirombo. Au unaweza ukapitia barabara Buselesele .
Utakua sahihi maana majina mengine kuyamaster ni ngumu

Beda ipo wapi? Na nitegemee nini huko !?
 
Nitafika nijionee juhudi za wasakatonge !
Beda kuna mgodi, njia ya kwenda kule unapita karibu na soko la ccm, kuna barabara kabla ya kuifikia stendi ya ushirombo. Au unaweza ukapitia barabara Buselesele .
 
Katoro mji uliopo ndani ya Geita, Mangi alikuja hapa miaka 6 iliyopita leo nimefika tena kwakweli mji unakua kwa kasi, kama unamtaji wako mzuri na ulitegemea kuinvest lakezone bila shaka Katoro ndio penyewe! Kama upo Katoro .... karibu uweke ushuhuda wako hapa mmewezaje kuujenga mji kwa kasi mdani ya muda mfupi hivi....

Fursa alilizoziona mangi

Kwasasa kitu cha haraka haraka ni mzigo wa nguo za special...vifaa vya electronics...Hardware....kuuza pikipiki/Baiskeli au/na spare...saloon kubwa (executive Barbershop) ... nafaka kwasababu hawalimi sana...kampuni za ulinzi ..kuinstall cctv..electric fence..e.t.c...la mwisho ni kufungua Katoro Fm huku watu wanapenda sana radio

Wengine karibuni..

View attachment 1091682
Vp huko Rwamgasa hali ya biashara ikoje ukilinganisha na katoro na Geita Mjin
 
Back
Top Bottom