Katoro ni Business center inayokua kwa kasi ya ajabu

Katoro ni Business center inayokua kwa kasi ya ajabu

Katoro mji utakuwa sana sema mipango miji wajipange.Nyumba zinakuwa kama uyoga.Vijana wadogo wamefanikiwa.
 
Nakuja Katoro mwezi wa 10 kusaka fursa
 
Katoro mji uliopo ndani ya Geita, Mangi alikuja hapa miaka 6 iliyopita leo nimefika tena kwakweli mji unakua kwa kasi, kama unamtaji wako mzuri na ulitegemea kuinvest lakezone bila shaka Katoro ndio penyewe! Kama upo Katoro .... karibu uweke ushuhuda wako hapa mmewezaje kuujenga mji kwa kasi mdani ya muda mfupi hivi....

Fursa alilizoziona mangi

Kwasasa kitu cha haraka haraka ni mzigo wa nguo za special...vifaa vya electronics...Hardware....kuuza pikipiki/Baiskeli au/na spare...saloon kubwa (executive Barbershop) ... nafaka kwasababu hawalimi sana...kampuni za ulinzi ..kuinstall cctv..electric fence..e.t.c...la mwisho ni kufungua Katoro Fm huku watu wanapenda sana radio

Wengine karibuni..

View attachment 1091682
Veep kuhusu biashara ya miamala ya mitandao ie mpesa, halopesa, airtel money, NMB, crdb inaenda hapo Katoro??
 
Katoro ni pazuri sana kwa biashara ni eneo ambalo watu kutoka maeneo mbalimbali wanafuata bidhaa,after Mwanza na Kahama, Katoro ni next kwenye ukuaji Kanda ya ziwa, miji kama Bukoba, Kigoma, Nyakanazi, Runzewe, Biharamulo, Geita, Wafanyabiashara wake wanafuaata bidhaa katoro
 
Veep kuhusu biashara ya miamala ya mitandao ie mpesa, halopesa, airtel money, NMB, crdb inaenda hapo Katoro??
Inaenda Mkuu, Pale kuna wafanyabiashara wengi sana uhitaji wa transction Lazima uwe mkubwa, Naona kuna watu wachanganya hiyo biashara pamoja na biashara ya kuuza Simu na accesories zake kama Charger, SD Cards, USB Cables, Covers E.T.C
 
Inaenda Mkuu, Pale kuna wafanyabiashara wengi sana uhitaji wa transction Lazima uwe mkubwa, Naona kuna watu wachanganya hiyo biashara pamoja na biashara ya kuuza Simu na accesories zake kama Charger, SD Cards, USB Cables, Covers E.T.C
Sawa ngoja nijipange mkuu.
 
Katoro ni pazuri sana kwa biashara ni eneo ambalo watu kutoka maeneo mbalimbali wanafuata bidhaa,after Mwanza na Kahama, Katoro ni next kwenye ukuaji Kanda ya ziwa, miji kama Bukoba, Kigoma, Nyakanazi, Runzewe, Biharamulo, Geita, Wafanyabiashara wake wanafuaata bidhaa katoro
Sema ina kaeneo kadogo sana ambako ndio sphere of interest.
 
Katoro ni pazuri sana kwa biashara ni eneo ambalo watu kutoka maeneo mbalimbali wanafuata bidhaa,after Mwanza na Kahama, Katoro ni next kwenye ukuaji Kanda ya ziwa, miji kama Bukoba, Kigoma, Nyakanazi, Runzewe, Biharamulo, Geita, Wafanyabiashara wake wanafuaata bidhaa katoro
Pamoja na uzuri wake kibiashara lakini ndiyo mji wenye huduma mbovu ya maji (wengi wanategemea maji ya visima), barabara ya lami ni moja tu(barabara kuu), vumbi la ule mji ni hatari, usalama pia ni mdogo, nyaya za umeme zinaning'inia kama kamba za kuanikia nguo vile, ufinyu wa vyakula, ufinyu wa maeneo ya starehe baada ya kazi... Tegemea kufanya biashara kwa kupata faida ndogo ndogo sana kulingana na ushindani, unless ujiingize kwenye madini ndiyo utoboe haraka

By the way ni mji mzuri kiutafutaji ila sio kuishi
 
Back
Top Bottom