DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #41
Inamuonyesha Hilary clinton Halafu hilary clinton Aongelee kuhusu Rais Trump kuharibh Uchumi??Acha uongo. Hiyo clip inamuonesha Hillary Clinton na alishindwa na Trump.
Trump ndiye rais wa US 2024
Bora umesemaKamala ndo kaamua kuiga mavazi ya hiyo character,
Mpalestina wa buza😂Ishaandikwa Kamala anashinda na ndio itakua mwisho wa Marekani
Baada ya Trump, Biden kashika miaka 4 akiwa na Kamala. Halafu hiyo Marekani inayoamini hivyo ni ya huko huko kwenu. Biden ndiye analaumiwa sasa hivi.Umeangalia Costomes za Huyo rais na Hizo za Katuni kuanzia Kuongea Mapozi na Pia hata Uvaazi wa cheni na Hereni na Rangi ya Nguo??
Marekani mpaka Leo wanaamini kwamba Aliyefanya Dollar Ikashuka na uchumi ukaanguka Ni trump baada ya Kuachiwa Urais na Obama aliharibu
Inaonyesha atachukua nchi kutoka kwa Trump...Trump alitoka akaingia Biden, Biden atatoka atarudi Trump..baada ya hapo utabiri utatimia akiingia Hariss Baada ya muhula wa pili wa TrumpMarch, 19-2000. TV show THE SIMPSONS wali'release SEASON 11
S0 11, Episode ya 17 "BART TO THE FUTURE" ilionyesha RAIS mwanamke akiongoza USA 🇺🇸
Scenes zinaonesha characters waliopo sasa kina KAMALA, na TRUMP
Hmm! wanajarbu kutwambia nini?🤔
Yani Series ya mwaka aftisa mia huko wakaigiza mambo yanayotokea leo!!😳😳
Kuna kitu hakipo sawa, Ila Ipo siku hata kama nitakuwa nimekufa Kitakuwa wazi..
Waliwahi Kutabiri Pia URais wa Trump na Pia Urais wa Obama
View attachment 3141766
View attachment 3141767View attachment 3141769
KIPANDE CHA video hili hapa .. Na ikumbukwe Hii Series ni Miaka ya 1990s mpaka 2000
View attachment 3141772
Uko Jimbo Gani mkuu?Baada ya Trump, Biden kashika miaka 4 akiwa na Kamala. Halafu hiyo Marekani inayoamini hivyo ni ya huko huko kwenu. Biden ndiye analaumiwa sasa hivi.
OkayHapana Mwaka Huwa hasemi!
Alipotabiri Kuhusu Corona hakusema Mwaka pia, Alipotabiri Kuhusu Obama hakusema mwaka , alipotabiri Kuhusu Ile ajali ya Bilionea kwenye Nyambizi ya Majini hakusema mwaka, Alipotabiri Kuhusu Trump Kushinda na Kampeni yake ya Maje america Great again hakusema Mwaka!
Alipotabiri kuhusu Perfomance ya Lady gaga hakutaja mwaka..
Ila kutokana na matukio Rangi ya mavazi na mfuatano wa matukio utagundua hasa ni lini..
Tafuta Hiyi series Ipo Mtandaoni na utajionea mwenywe
Kwa nini.mwisho?Ishaandikwa Kamala anashinda na ndio itakua mwisho wa Marekani
Kibibi kinaingia white house njia nyeupeWamarekani watafanya kosa kubwa Sana kukichagua kibibi chenye Sera mbovu za kiliberali....Kimara haris.
Kamala akishinda niite Zuchu.Ishaandikwa Kamala anashinda na ndio itakua mwisho wa Marekani
Huyu manzi anashinda trust me bro.Kamala akishinda niite Zuchu.
kwani mkuu wewe sio mpumbavu?Mmh mbon najion Kam mpumbavu sanaa
Kibibi kinaingia white house njia nyeupe
Kwa comment hii Kamala = tunayeTrump anashinda hakuna tight race hapo. Na ikitokea Kamala akashinda nitaiona Marekani ni shit hole country Kama Tanzania nchi ya machawa.
Kamala hawezi kuwa rais wa USIshaandikwa Kamala anashinda na ndio itakua mwisho wa Marekani