Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Imebidi nikaangalie tena The Storybook kuhusu cartoon ya The Simpson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzwazwa wa kamala umeupimaje?..ukiwa kama mtu uliyepata elimu ya kukaririHakuna mwenye afadhali.
Hujui na si haujuiNi kweli haujui kuandika kwa lugha moja iliyonyooka na kueleweka?
Huyu hapa muangalie na msikilize akielezea cloud storage 🤣.Uzwazwa wa kamala umeupimaje?..ukiwa kama mtu uliyepata elimu ya kukariri
Ni Kweli!Ni kweli haujui kuandika kwa lugha moja iliyonyooka na kueleweka?
Kama ilivyokuwa mwisho wa ubabe wa Uingereza mara baada ya malkia Elizabeth kuingia madarakani!Ishaandikwa Kamala anashinda na ndio itakua mwisho wa Marekani
Kumbe wanaachiana vijiti kama chama tawala hapa kwetuHuu anachukua Trump unaokuja ndo anachukua uyo mama💯
Safari hii wameingia cha kike,hizo Maigizo ni kama yakupanga,hizo cartoon zilitabiri Trump amekufa,kumbuka risasi zilimkosaMarch, 19-2000. TV show THE SIMPSONS wali'release SEASON 11
S0 11, Episode ya 17 "BART TO THE FUTURE" ilionyesha RAIS mwanamke akiongoza USA 🇺🇸
Scenes zinaonesha characters waliopo sasa kina KAMALA, na TRUMP
Hmm! wanajarbu kutwambia nini?🤔
Yani Series ya mwaka aftisa mia huko wakaigiza mambo yanayotokea leo!!😳😳
Kuna kitu hakipo sawa, Ila Ipo siku hata kama nitakuwa nimekufa Kitakuwa wazi..
Waliwahi Kutabiri Pia URais wa Trump na Pia Urais wa Obama
View attachment 3141766
View attachment 3141767View attachment 3141769
KIPANDE CHA video hili hapa .. Na ikumbukwe Hii Series ni Miaka ya 1990s mpaka 2000
View attachment 3141772
Huyu hapa muangalie na msikilize akielezea cloud storage 🤣.
View: https://youtu.be/0FjjJme1aVQ?si=Ok0ZC6jZ78jH37Fx
Angalia communication skills za Kamala 🤣.
View: https://youtu.be/CtppJxrcdE8?si=6hCpyToKjZfKQD59
Standard za akina Rooservelt ,Kennedy nk zimepotea kabisaKwahiyo unamaana maisha yetu yote haya ni Video Game?!
Mbona tunasemaga kuwa tuna Will Power ya kuamua maisha yetu?!
Kamala ndo mgombea urais zwazwa kupita wote katika historia ya Marekani!
Katika hilo [uzwazwa], anashindana na Trump.
Trump naye kichwani hamna kitu kabisa.
Viwango vya wagombea urais Marekani vimeshuka sana.
Angalia tu, kwa mfano, debate ya John Kennedy na Richard Nixon.Standard za akina Rooservelt ,Kennedy nk zimepotea kabisa
Bibi acha hizo, ujinga uko wapi?Acha ujinga babu
Ndo maana haitakiwi kushinda devil huyo
Yaani makamu rais'wa marekani awe zwazwa!?Bibi acha hizo, ujinga uko wapi?
Ndiyo. Nini cha ajabu hapo we bibi?Yaani makamu rais'wa marekani awe zwazwa!?
Acha ubogus wewe na fungus zako mkianiNdiyo. Nini cha ajabu hapo we bibi?
Kutawala kuko huku Kwetu Africa na baadhi ya nchi duniani. Huko kwao Kuna Kiongozi na sio mtawala. Mtawala hukanyaga na/au kubadilisha katiba apendavyo.Tangu Marekani Ipate Uhuru Haijawahi kutawaliwa na Rais mwanamke
Yetu macho...Duniani ipo kwenye wakati maalum Sana.Kuna Mungu pia nae ana mipango yake... Siamini kama wachawi wakiwa na Jambo lao na MUNGU kwenye same mazingira akawa na Jambo lake kwamba eti lile la wachawi litaprevail sijui..,ngoja tuone.... Ukraine,,, Russia..... Russia plus Iran kuwa na Jambo lao middle east dhidi ya Israel...etc,,,etc etc....Ni nani atakuwa ameandaliwa kuyahandle haya majambo....Kibibi kinaingia white house njia nyeupe
Bibi makasiriko ya nini sasa? Uko kwenye menopause?Acha ubogus wewe na fungus zako mkiani