Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Anamaanisha kuwa goli lipo wazi, wao na nyavu, washindwe wao.Msanii Kipanya ameendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa michoro hiyo hasa kipindi hiki ambacho ccm ipo kwenye sintofahamu ya kiuongozi.
Tafadhali tazameni hiyo picha chini hapoView attachment 1158779
Acha kukaririshwa wewe. Yaani picha ya chumba tu ndo kinakufanya uaminishwe kulikua na wizi wa kura? What if kama walitaka kuonyesha jinsi walivyopambana kulinda ushindi wa CCM. Maana msisahau wale vijana 8 wa Chadema waliokamatwa wamehack system za NEC ili Lowassa ashinde.Juzi kina makamba na kinana walipost picha za chumba Masaki, waliiibia chadema kura zake za uraisi, chadema walishinda kwa kishindo
Kwani penati inapigwa na watu wangapi!!??Mbona wacezaji wa CCM ni wengi wakati wa chadema ni mmoja tu? Inamaana ccm itasimamisha wagombea wengi na chadema itasimamisha mgombea mmoja?
Jibu zuri sanaKwani penati inapigwa na watu wangapi!!??
Acha kukaririshwa wewe. Yaani picha ya chumba tu ndo kinakufanya uaminishwe kulikua na wizi wa kura? What if kama walitaka kuonyesha jinsi walivyopambana kulinda ushindi wa CCM. Maana msisahau wale vijana 8 wa Chadema waliokamatwa wamehack system za NEC ili Lowassa ashinde.
Anamaanisha kuwa goli lipo wazi, wao na nyavu, washindwe wao.
Je muda huu macho yao yapo katika mikakati ya ushindi au wapo bize na drama za CCM?
You be the judge!
polisi na NEC. Ndo nguvu ya CCM ilipo sio kwa wagombea wao.
Huna akili
Kifupi hamna goli hapo..mabek wameachia goli, ila kibaya zaid mpiga penati ni majeruhi
Baba kuna penalty ya kichwa...? Kweli maajabu
Goli liko wazi ila sio kwa wapinzani hawa wa TZ, hata hawajielewi.
Ila huyo aliyetengewa penalty bado hajapiga, swali anaweza?Acha ajifariji. Chadema haitakaa ishinde Urais. Wakitaka kushinda basi wapinzani wote waungane watoe jina moja tu la mgombea.
Huyu Ki.nya.pa si ndo yule tuliambiwaga naye aliwananilihi wale wenye nanilihii hadi wakaamua kumnanilihi kwa siku km sio wiki kadhaa?
Nakumbuka wanazengo walinanilihii sana huko twita, mainsta na kwingineko hadi jamaa wakaona isiwe taabu acha wamnanilihii aweze kuungana na ndugu na jamaa au sio huyu yeye?
Au huyu sie ndo yule?
Mpigaji mwenyewe lisu amevunjwa migui yupo na magogo hata kupiga mpira hawezi
Angapicha vizuri
Wapinzani wanashindwa kutumia vizuri Fursa ya mgogoro ndani ya CCM ambao kiukweli umekua mkubwa sana.
CCM walifanikiwa kuisambaratisha CUF kwa dhulma.
Mbinu zile zile za kujenga dhulma zinaendelea kutumika kusambaratishana wenyewe kwa wenyewe.
Hakika Bila CCM kufa kwa muda na kuibuka tena kikiwa Chama chini ya mfumo imara wa Katiba bora itakayoofanya nchi hii ipate viongozi kwa Hoja sio kwa vioja na migogoro.
Tanzania kwa muda mrefu tunanufaika kupata viongozi kupitia migogoro badala ya kupata migogoro kwa Hoja.
Nadhani 2020 iwe Mara ya kwanza kabisa kwa Tanzania kupata viongozi kupitia Hoja zenye agenda ya maendeleo na utaifa.
Hatutegemei kupata viongozi kwa kutumia Migogoro ,hasira, mabomu na kuhujumiana badala yake tutoe Fursa ya kupata viongozi bora kabisa kwa hoja,Historia safi ya kutetea Mali za umma kwa kujitoa sio kwa kushiriki kisha kugeukana.
Wapinzani waungane kwa kujenga itikadi moja kama ile ya Ukawa lakini awamu hii wasiwe na pupa ya Ikulu tu bila kiachiana majimbo na kutumia Rasilimali zao kidogo kuweza kujenga Mtandao.
Mbowe pia ni Tatizo kubwa Mana ana ubinafsi na uroho wa Mali kupindukia.
Hatuwezi kuwa na nchi itakayokuwa kiongozi mkubwa wa Chama mkwepa kodi.
Ikitokea Mbowe kwa uingwana akaachia Chama kwa Tundu Lisu au John Heche na kutoa ushirikiano mkubwa basi CCM ingesambaratika kabisa.
Watu wengi sana wanaipenda Chadema lakini wanamchukulia Mbowe kama MTU asiye na mikakati na mbinu za Kisomi zaidi ya kusubiri matukio ndipo aibuke.
CCM imepoteza dira kwa sasa ila wapinzani wakichelewa wataikuta CCM ikiendelea na safari yake kama kawaida.
Ni Chama kinachocheza na udhaifu wa wapinzani na ujinga wa watanzania.
Mbowe hata jimbo lake ameshindwa kufanya siasa na kuongeza wanachama badala yake wanatimkia CCM na kila kukicha wanazidi kuunga mkono juhudi.
Mbowe amefanya mengi lakini kwa sasa amwachie mwingine.
Akichelewa baada ya mgogoro wa CCM kuisha ataegemee mgogoro mkubwa sana kuobuka Chadema na utakisambaratisha kabisa
Kwani umepanic dogo?Upuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?
Of which sidhani kama itatokea maana wanasiasa wa TZ wote ni wachumia tumbo.Acha ajifariji. Chadema haitakaa ishinde Urais. Wakitaka kushinda basi wapinzani wote waungane watoe jina moja tu la mgombea.