Atleast umeeleweka... Je? Huyu omba omba mnyonge?Ndo maana mliambiwa mkizuia shughuli halali za siasa mtatengeneza makundi yasiyo halali...oneni sasa mnavombana kukanusha kuwa Rais hajafa, Chama halali kisingeweza kuzua hiyo taharuki...na mlivo wajinga mnashangilia, hamjui kuwa hilo dude jeusi laweza kupindua hata serikali!
Lakini anae umia ni omba omba sio?naona hapo polepole kapokea ya chembe hadi jino limemogoka
KongoleUkishaudhibiti upinzani uliopo kisheria basi unaotesha upinzani invisible...huo ndiyo hatari mno...
Huyo mcheke tu leo, unaweza kuungana naye mtaani siku si nyingi, with shame!Atleast umeeleweka... Je? Huyu omba omba mnyonge?
Fisadi ni huyo mwenye bukta ya Kijani, kwa sababu ndo aliyepigwa ngumiKatuni kila moja anaielewa kwa mtazamo wake
Usitulazishe tukufuate wewe
Mimi ninavyoona hapo ni mafisadi yanadundwa ngumi
Alafu yamevaa nguo za chama cha mpiraKatuni kila moja anaielewa kwa mtazamo wake
Usitulazishe tukufuate wewe
Mimi ninavyoona hapo ni mafisadi yanadundwa ngumi
Ndundi awali ilikuwa hiviView attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...
Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Kweli haya ni mahaba yaani buku 7 unashabikia hiyo hiyo katuni! aisee uelewa wako ni mdogo saaaaaana!View attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...
Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Whatever ....lakini asubuhi hii umetudhihrishia kuwa wewe ni mpum..vu mjinga!Lakini anae umia ni omba omba sio?
Angalizo:
CDM ina pokea jina jipya toka kwa KP kuwa Omba omba...
Yaani chama tawala kinapambana na kivuli chake chenyewe na upinzani umebaki unaomba omba[emoji2][emoji2]View attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...
Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Wapinzani hawajanyazishwa na CCM,bali Serikali kupitia PolisiAngalia vizuri CCM inapigana yenye kupitia kivuli chake(mitafaruku ndani ya chama), wapinzani wamenyamazishwa na CCM halisi.
Wapi [emoji360] go go [emoji23] [emoji23]Ukishaudhibiti upinzani uliopo kisheria basi unaotesha upinzani invisible...huo ndiyo hatari mno...
Wa kwako hujui ulipo, utatumia nini kupima wa kwangu? Picha iko dhahiri upinzani upo pembeni na jizi dume anapigana na kivuli chake, umeshindwa kuielewa utazielewa akili zangu kweli?Nasubiri uchambuzi wako kiongozi... Nione uelewa wako hapa...
Jitahidi kuelewa tena ! Ni ccm inapambana na kivuli chake, kumejitokeza kashfa za rushwa, upendeleo, na hata kuvurugika uchaguzi wa uteuzi (mambo yaliyosababisha Katibu mkuu atoe agizo la marejaeo)View attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...
Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Ni kweli, upinzani upo hoi, unatembeza bakuli.Katuni inaonesha Chama Twawala kinapigana na kivuli chake.
CCM inajikung'uta yenyewe.
Hiyo si tafsiri ya katuniHamna fair play mmoja lazima apoteane believe me siasa ingekuw ya wazi kama kipindi cha msure j ccm wangepata tabu mnoo