Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Ndo maana mliambiwa mkizuia shughuli halali za siasa mtatengeneza makundi yasiyo halali...oneni sasa mnavombana kukanusha kuwa Rais hajafa, Chama halali kisingeweza kuzua hiyo taharuki...na mlivo wajinga mnashangilia, hamjui kuwa hilo dude jeusi laweza kupindua hata serikali!
Atleast umeeleweka... Je? Huyu omba omba mnyonge?
 
Upinzani umekandamizwa kiasi cha kubaki kuwa ombaomba.

Chama tawala kinapambana na kivuli chake chenyewe, na mtifuano ni mzito makonde ya kivuli yameshaharibu kabisa uso wa chama.
 
Katuni kila moja anaielewa kwa mtazamo wake
Usitulazishe tukufuate wewe

Mimi ninavyoona hapo ni mafisadi yanadundwa ngumi
Alafu yamevaa nguo za chama cha mpira

Kweli wasikulazimishe kuelewa wanachoelewa wao!!
 
Waweza nyamazisha upinzani halali ukaamsha usojulikana hata unakotokea ambao ni mbaya zaidi kwako kwani waweza tokea ndani yako
 
View attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...

Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Ndundi awali ilikuwa hivi
1571983624553.png
 
View attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...

Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Kweli haya ni mahaba yaani buku 7 unashabikia hiyo hiyo katuni! aisee uelewa wako ni mdogo saaaaaana!
 
View attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...

Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Yaani chama tawala kinapambana na kivuli chake chenyewe na upinzani umebaki unaomba omba[emoji2][emoji2]
 
Nasubiri uchambuzi wako kiongozi... Nione uelewa wako hapa...
Wa kwako hujui ulipo, utatumia nini kupima wa kwangu? Picha iko dhahiri upinzani upo pembeni na jizi dume anapigana na kivuli chake, umeshindwa kuielewa utazielewa akili zangu kweli?

Tafuta tu kazi ingine. Hii ya kupotosha falsafa ngumu ya Masoud kwako ni nzito
 
Hamna fair play mmoja lazima apoteane believe me siasa ingekuw ya wazi kama kipindi cha msure j ccm wangepata tabu mnoo
 
View attachment 1243908
Dongo gizani.... Wasio na vyama wana nguvu ya kupambana na chama dolla kuliko chama kikuu cha upinzani...

Kiufupi chama cha upinzani cha buluu, nyekundu na waiti kime nywea, kwisha habari.... Kupelekea chama dola kukosa mpinzani katika vyama na kuelekeza nguvu kwa wapinzani wasio julikana.
Jitahidi kuelewa tena ! Ni ccm inapambana na kivuli chake, kumejitokeza kashfa za rushwa, upendeleo, na hata kuvurugika uchaguzi wa uteuzi (mambo yaliyosababisha Katibu mkuu atoe agizo la marejaeo)
 
Back
Top Bottom