Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Nyingine hyo!
tapatalk_1528450732282.jpeg
 
Mambo ni motooooooo[emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95]
tapatalk_1528449316702.jpeg
 
MSIMPE SIFA ZOTE YEYE...yeye ni mwanzilishi tu wa hiyo brand ya kipanya, lkn kuna ofc kabisa vijana wameajiriwa...ndo huwa wana brainstorm na kuchora, tena katuni nyingi then zinapigiwa kura kwenye group lao la whatsapp, masoud anaidhinisha. hana akili zozote kukuzidi ww mtoa mda.
 
MSIMPE SIFA ZOTE YEYE...yeye ni mwanzilishi tu wa hiyo brand ya kipanya, lkn kuna ofc kabisa vijana wameajiriwa...ndo huwa wana brainstorm na kuchora, tena katuni nyingi then zinapigiwa kura kwenye group lao la whatsapp, masoud anaidhinisha. hana akili zozote kukuzidi ww mtoa mda.
Mkuu kama ndio hivyo basi umenifumbua macho, sikuwahi kulifahamu hilo..
 
MSIMPE SIFA ZOTE YEYE...yeye ni mwanzilishi tu wa hiyo brand ya kipanya, lkn kuna ofc kabisa vijana wameajiriwa...ndo huwa wana brainstorm na kuchora, tena katuni nyingi then zinapigiwa kura kwenye group lao la whatsapp, masoud anaidhinisha. hana akili zozote kukuzidi ww mtoa mda.
Mmeshaanza figisu...masoud ameanza kuchora kipanya tangu enzi za "no internet" na ameendelea kubamba mpk leo
 
MSIMPE SIFA ZOTE YEYE...yeye ni mwanzilishi tu wa hiyo brand ya kipanya, lkn kuna ofc kabisa vijana wameajiriwa...ndo huwa wana brainstorm na kuchora, tena katuni nyingi then zinapigiwa kura kwenye group lao la whatsapp, masoud anaidhinisha. hana akili zozote kukuzidi ww mtoa mda.
Labda nnikuulize Masoud ameanza kuchora katuni lini....???
 
Back
Top Bottom