Mbona una hasira hivyo mkuu, au kitumbua chako cha ccm unaoa kama vile katuni ya Masou inakimwagia mchanga? Relax bro hiyo ji katuni tu.Upuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?