Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

vipi ikiwa alimaanisha simba na yanga tatizo nafsi yako imejazwa siasa tu
 
Mpiga penalty anaweza kushindwa kupiga hiyo penalty au hata akipiga anaweza Kupiga nje au mpira usifike kabisa golini pamoja na goli kuwa wazi..

Upinzani wanahitaji kuwa majasiri kidogo tu kuiyumbisha CCM wakati huu.. Bila ujasiri hawataweza kuitoa CCM..
Mpiga paneti hata akipiga nje hao ma beki wanaweza wakaurudisha ndani wakajifunga wenyewe kwasababu wameka pembeni ya lago wataurudisha ndani ya lango
 
Kwa sasa lumumba wako tayari kufanya hujuma
Mpiga paneti hata akipiga nje hao ma beki wanaweza wakaurudisha ndani wakajifunga wenyewe kwasababu wameka pembeni ya lago wataurudisha ndani ya lango
 
Hujaona mpiga penalt ni mlemavu wa miguu
Ndipo Ccm wakaamua wamuachie goli wakijua hawezi kupiga afunge goli
Miguu ina pop umeonaaa
Alivunjika miguu
Hawezi kupiga penalty
Umeeleweka sana mkuu na huu ni wakati wa wapinzani kuutumia vizuri ili hiyo penalt waweze kuitumia kufunga goli maana lango liko wazi
 
Mkuu huyo siyo mlemavu jitahidi kutofautisha mlemavu na majeruhi
Hujaona mpiga penalt ni mlemavu wa miguu
Ndipo Ccm wakaamua wamuachie goli wakijua hawezi kupiga afunge goli
Miguu ina pop umeonaaa
Alivunjika miguu
Hawezi kupiga penalty
 
Lazima kuwepo na kipindi cha kukata mnyororo ili kipindi kipya kianze, Nyerere aliondoka safii maana hakuwa mbinafsi wa kujenga himaya ya watoto na wajukuu kutawala, kizazi cha akina Nape waliopata fulsa watangulizi Baba zao na dharau zao wanataka watufanye Watanzani wote tuko mazuzu wao ndio wenye akili. JPM tumempenda wenyewe na tunaridhika naye. Malengo yao hayatofanikiwa aslani. Washindwe na waleegee.
 
Wacha matusi kama umeishiwa cha kuandika basi nenda lumumba kamsaidie chakubanga jinsi ya kujibu mapigo ya wapinzani
Siyo tusi hilo. Namaanisha kalale kwa kilugha cha home.
 
Back
Top Bottom