Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Imetenguliwa na virungu[emoji16][emoji16]Tatizo anapigaje miguu yote imetenguliwa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imetenguliwa na virungu[emoji16][emoji16]Tatizo anapigaje miguu yote imetenguliwa mkuu
Apige mpira wa adhabu kwa kichwa? Inawezekana kweli mkuu?Hata kwa kichwa anaweza akafunga tu
Mpiga paneti hata akipiga nje hao ma beki wanaweza wakaurudisha ndani wakajifunga wenyewe kwasababu wameka pembeni ya lago wataurudisha ndani ya langoMpiga penalty anaweza kushindwa kupiga hiyo penalty au hata akipiga anaweza Kupiga nje au mpira usifike kabisa golini pamoja na goli kuwa wazi..
Upinzani wanahitaji kuwa majasiri kidogo tu kuiyumbisha CCM wakati huu.. Bila ujasiri hawataweza kuitoa CCM..
Apige mpira wa adhabu kwa kichwa? Inawezekana kweli mkuu?
Mpiga paneti hata akipiga nje hao ma beki wanaweza wakaurudisha ndani wakajifunga wenyewe kwasababu wameka pembeni ya lago wataurudisha ndani ya lango
Yani wao ndo wako tayari kuliko Upinzani...!!![emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa lumumba wako tayari kufanya hujuma
Yani wao ndo wako tayari kuliko Upinzani...!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Simba vs yangaMsanii Kipanya ameendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa michoro hiyo hasa kipindi hiki ambacho ccm ipo kwenye sintofahamu ya kiuongozi.
Tafadhali tazameni hiyo picha chini hapoView attachment 1158779
Simba vs yangaMsanii Kipanya ameendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa michoro hiyo hasa kipindi hiki ambacho ccm ipo kwenye sintofahamu ya kiuongozi.
Tafadhali tazameni hiyo picha chini hapoView attachment 1158779
Jiwe ndo anauwasha moto mwenyewe..[emoji23][emoji23][emoji23]Kule moto unawaka na kwa hali ilivyo hakuna mtu wa kuuzima
Simba vs yanga
Simba mlemavu sana hawezi funga ingawa goli liko wazi
Im not desparate,arif. Nipo konkiii yaani halafu my status naijua mwenyewe. Hivyo nenda kichwani.
Umeeleweka sana mkuu na huu ni wakati wa wapinzani kuutumia vizuri ili hiyo penalt waweze kuitumia kufunga goli maana lango liko wazi
Konyo.utajua mwenyewe.
Hujaona mpiga penalt ni mlemavu wa miguu
Ndipo Ccm wakaamua wamuachie goli wakijua hawezi kupiga afunge goli
Miguu ina pop umeonaaa
Alivunjika miguu
Hawezi kupiga penalty
Konyo.
Siyo tusi hilo. Namaanisha kalale kwa kilugha cha home.Wacha matusi kama umeishiwa cha kuandika basi nenda lumumba kamsaidie chakubanga jinsi ya kujibu mapigo ya wapinzani
Siyo tusi hilo. Namaanisha kalale kwa kilugha cha home.