Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaah
Kweli bhana hila wanawake embu mjitahidi kujitegemea kwani Mimi binafsi naamini mapenzi ni 50/50 Yani hii ya kuombana hela inakata stimu Sana Sana Yani mpaka unaisi huyu kanipindea hela au kuna Hilo lingine Yani yupo straight kabisa Eti naomba hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwa namuangalia tu

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Kweli bhana hila wanawake embu mjitahidi kujitegemea kwani Mimi binafsi naamini mapenzi ni 50/50 Yani hii ya kuombana hela inakata stimu Sana Sana Yani mpaka unaisi huyu kanipindea hela au kuna Hilo lingine Yani yupo straight kabisa Eti naomba hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwa namuangalia tu

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si umpe hela mwenzio.
 
Kweli bhana hila wanawake embu mjitahidi kujitegemea kwani Mimi binafsi naamini mapenzi ni 50/50 Yani hii ya kuombana hela inakata stimu Sana Sana Yani mpaka unaisi huyu kanipindea hela au kuna Hilo lingine Yani yupo straight kabisa Eti naomba hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwa namuangalia tu

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hao ni wakugegeda tuu
 
Kweli bhana hila wanawake embu mjitahidi kujitegemea kwani Mimi binafsi naamini mapenzi ni 50/50 Yani hii ya kuombana hela inakata stimu Sana Sana Yani mpaka unaisi huyu kanipindea hela au kuna Hilo lingine Yani yupo straight kabisa Eti naomba hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwa namuangalia tu

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Kuomba omba hela wakat mwngne naona ni hulka. Kuna watu wana kazi zao tena nzuri lkn ni ombaomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na yeye baada ya kujuana wiki mbili tu

Yeye:Mambo my
Mimi😛oa mzima?
Yeye: Siko Poa
Mimi😛ole Nini shida?
Yeye:Tumbo linauma
Mimi😛ole,Tumbo la MP au la kawaida?
Yeye:MP
Mimi😛ole sana Jamani!
Yeye:Asante,naomba nitumie Hela nikanue Pedi
 
Pamoja na shida zangu hakuna kitu nachukia kama kuendekeza shida zangu kwa mwanaume mna dharau sana nyie viumbe. Kuna situation nilishapitia ilinifundisha sana toka pale najisemeaga maisha ni yangu nijitafutie cha kwangu ukiamua kunipa sawa usipotaka sitakuomba. Mna dharau sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
kujitafutia za kwako
 
Kuomba omba hela wakat mwngne naona ni hulka. Kuna watu wana kazi zao tena nzuri lkn ni ombaomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona kama huyu anaomba hela tena direct kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi Bora mtu aniombe indirect naweza kumpa uwa namchezea Tu akiniomba nacheka mzigo nabutua afu limke la mtu si amuombe Bwana Ake
Screenshot_20230408-111149~2.jpg


Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi tuligombana hiyo siku nikamuambia "yaan najitahid kushinda vishawishi huko nje, nakuheshimu natulia na wewe nakataa wanaume wengine kwa ajili yako alafu wewe unaniletea mambo meusi" akanijibu "sasa unangoja nini si uende kwa hao wanaume wengine" nikaanza kulia nikajua kishawaka ila alikuja akanisamehe baada ya mvurugano mkubwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

kwel ulikosea hiyo sio kauli ya kumwambia mtu ni km vile unamtishia kuwa "natongozwa sana kwahy afanye kukucare ili usije ukakubali"

hata km inngekuw ni mm ningekupa majibu ya ovyo
 
Back
Top Bottom