Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Unaokutana nao wewe, mimi sihusiki huko.Mmezidi tatizo mtu hana story za mapenzi kila akitext ni hela kama kaziweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaokutana nao wewe, mimi sihusiki huko.Mmezidi tatizo mtu hana story za mapenzi kila akitext ni hela kama kaziweka
Balaa Sana Value hijawah kuniangusha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] muda mwingine mpaka unasusa mbususu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbususu inatoa cheche [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ujana changamoto unalewa Juu,zinashuka chini...
Piga value changanya na coca,piga na kongoro asee balaa lake sio poa
Sure sure umeongea kitu sana demu wa hivyo unaisi kweli alikua anashida au atakama anapenda hela pia ata mapenzi yapo yani unaomba hela kavu ata mayai hakuna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukitaka kujikysanyia credit kwa mwanaume ni kitu kdg sana sema wanawake wengi hawalijui hilo sisi wanaume tuna vitu tunavihusudu sana binafs yang mm napenda mwanamk akiomba hela nikimwambia sina lkn mwanmke huyo haonyeshi ishara ya kuchukia na atakutext km kawaida hii inakuongezea point kwa mwanaume akikunyima hela ww mwambie utapata siku nyingine Mungu atakujalia hii inatia moyo hata km mtu kakunyima kusud ila ataitoa huko iliko na atakupa
[emoji23][emoji23] tuligombana kwenye simu. Kasafiri hatujaonana bado.Hahaha ulipatikana vizuri. Alafu huu usenge wenu wa kusema nakataa wanaume wengi sijui nani aliwaambia ni akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila hujamalizia story...onglea basi kile kipande ambapo alikuchakaza vizuri kitandani wakati wa make up sex[emoji12]
Ah trouble in paradise 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23] tuligombana kwenye simu. Kasafiri hatujaonana bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewai kuwa na rafiki mgogo?? Mimi niliwai kuwa na demu mgogo aseeh ili kabila watu wanaomba yaani kuanzia yeye demu,mama mkwe, dada zake na wadogo zake ni balaa tupuKuomba omba hela wakat mwngne naona ni hulka. Kuna watu wana kazi zao tena nzuri lkn ni ombaomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliwakimbia aje[emoji23]Umewai kuwa na rafiki mgogo?? Mimi niliwai kuwa na demu mgogo aseeh ili kabila watu wanaomba yaani kuanzia yeye demu,mama mkwe, dada zake na wadogo zake ni balaa tupu
Wangu hatukugombana kisa pesa, soma comment ya juu. Nilimpa kauli mbaya baada ya kuona ananizingua hakuipenda hiyo kauli ndio tukakosana.ukitaka kujikysanyia credit kwa mwanaume ni kitu kdg sana sema wanawake wengi hawalijui hilo sisi wanaume tuna vitu tunavihusudu sana binafs yang mm napenda mwanamk akiomba hela nikimwambia sina lkn mwanmke huyo haonyeshi ishara ya kuchukia na atakutext km kawaida hii inakuongezea point kwa mwanaume akikunyima hela ww mwambie utapata siku nyingine Mungu atakujalia hii inatia moyo hata km mtu kakunyima kusud ila ataitoa huko iliko na atakupa
Wanakuwaga watamu sana hao,maana mpaka kukupa ni amekuelewa sana.Wao ubize wao ni Simu,muziki na kupendeza,Yaani ana kazi yake au amejiajiri na ana moyo safii.Hawa wapo wachache sana lakini.hiv ushawah kupata manz umetoka kumnyandua unampa pesa alaf anakuuliza "hii pesa ya nn" oya inaraha yake sana sio makurumbembe wengine
Namkumbuka hadi naumwa.Ah trouble in paradise [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usijali andunje akirudi mtapeana raha mpaka bas
Mwingine anakwambia baby usinipe hela unakua kama unaninunua hivi siipendi unipe hela awa wa hivi wajengewe sanamu Chato standhiv ushawah kupata manz umetoka kumnyandua unampa pesa alaf anakuuliza "hii pesa ya nn" oya inaraha yake sana sio makurumbembe wengine
Nilikua sijui sifa ya wagogo kumbe ndo tabia hii nimewakimbia muda ila mpaka leo tukikutana njiani lazima aombe nimnunulie kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1]Uliwakimbia aje[emoji23]
Mdomo wako umekuponza.
Ulijiona umemshika kumbe mwenzako alikuwa anakuchora tu!!Wangu hatukugombana kisa pesa, soma comment ya juu. Nilimpa kauli mbaya baada ya kuona ananizingua hakuipenda hiyo kauli ndio tukakosana.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2]Ni ninyi tunndio mnasumbua watu kulalamika mimi tena naweza kukuomba hela siku ya kwaza kunitongoza
Wanawake mnatakiwa mtambue Hela haziokotwi[emoji23]Ni ninyi tunndio mnasumbua watu kulalamika mimi tena naweza kukuomba hela siku ya kwaza kunitongoza
Na ninyi mtambue mnapo tukunja tunaumia sema tunavumilia kuwafurahisha na bado mnatuachaWanawake mnatakiwa mtambue Hela haziokotwi[emoji23]
Alinisamehe. Alafu kuna kauli aliongea mbaya yeye ndio alinipush mimi kusema yale sitakaa nirudie mana moto uliniwakia kweli.Mdomo wako umekuponza.
Never tell a man kwamba eti kuna wanaume wengine nawakataa haswa mwanaume mwenye hela.
Hapo atamrudiane tayari alishaweka question mark juu yako